Vidole kuwasha na mwili kuwasha

buswagg

JF-Expert Member
Oct 21, 2023
418
726
Wakuu habari za wakati huu.

Kuna aunty angu amenishirikisha jambo nami nikaona niwashirikishe wana JF huenda tukapata suluhisho.

Anasema , ni muda kidogo tangu askie hiyo hali na alichukulia pia cas hana ugonjwa wowote wa ajabu. Kuna muda hua anaskia viganja vya mikono yake kuanza kuwasha ghafla, na mwili huanza kuwasha hata jwa saa nzima hata akiwa kazini (hua anatamani hata kuvua nguo akiwa mbele za watu, na baada ya muda anakua sawa.

Na hii hali hua inamtokea mala moja moja sana, anataka kujua shida ni nini manake haelewi, ili ajue jama ni allergy au vipi.

Msaada wenu tafadhali na ushauri wenu wakuu. Shukrani sana.
 
Duuh, aisee pole yake Mungu amfanyie wepesi ila ajaribu kuangalia labda ana allergy na kitu flani.
 
Inatokeaga bhana.. nilishawahi kuexperience kwenye kiganja… wadau wanakanidanganya kama ni cha mkono wa kushoto utapoteza hela, kama kulia utapokea.

Wadau wa Tanzania ni waongo waongo sana..
 
Inatokeaga bhana.. nilishawahi kuexperience kwenye kiganja… wadau wanakanidanganya kama ni cha mkono wa kushoto utapoteza hela, kama kulia utapokea.

Wadau wa Tanzania ni waongo waongo sana..
asante mkuu, ngoja nimjulishe ni hali ya kawaida tu asihofu
 
Duuh, aisee pole yake Mungu amfanyie wepesi ila ajaribu kuangalia labda ana allergy na kitu flani.
ndio anataka muongozo ajaribu hasa vitu gani mkuu ili ajue ni allergy ya nini hasa, shukrani mkuu
 
Wakuu habari za wakati huu.

Kuna aunty angu amenishirikisha jambo nami nikaona niwashirikishe wana JF huenda tukapata suluhisho.

Anasema , ni muda kidogo tangu askie hiyo hali na alichukulia pia cas hana ugonjwa wowote wa ajabu. Kuna muda hua anaskia viganja vya mikono yake kuanza kuwasha ghafla, na mwili huanza kuwasha hata jwa saa nzima hata akiwa kazini (hua anatamani hata kuvua nguo akiwa mbele za watu, na baada ya muda anakua sawa.

Na hii hali hua inamtokea mala moja moja sana, anataka kujua shida ni nini manake haelewi, ili ajue jama ni allergy au vipi.

Msaada wenu tafadhali na ushauri wenu wakuu. Shukrani sana.
1.maombi
2,arnde hosp amwone dk na acheki damu ukiwa na inf inatesaga sana
3.ale vitunguu swaumu hata punje sita kwa siku na tangawizi mwez mzim
 
asante mkuu, ngoja nimjulishe ni hali ya kawaida tu asihofu
Ndugu hali hii ni zaidi ya hiyo wanayoita utapata pesa, muwasho huu hauvumiliki, mwili unawasha kuliko kawaida muwasho wake hauvumiliki hata kidogo. Kama anavyosema, unaweza hata kuvua nguo mbele za watu si utani ni zaidi ya upupu ndugu. Ajaribu kwenda hospital.
 
Nimemsikia Professor Janabi anasema kuwashwa kwa mwili unaweza kuwa dalili ya matatizo ya Figo
 
Back
Top Bottom