PreGE2025 Video za Askofu Gwajima zafutwa Youtube

PreGE2025 Video za Askofu Gwajima zafutwa Youtube

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Bora Askofu Josephat Gwajima, Masudi Kipanya wamejitokeza kuzungumzia watu wasiojilikana katika utekaji nchini Tanzania.

Kwa siku kadhaa tumetegemea mbeleko za raia wapendwa ndugu zetu wa Kenya huku vyombo vyetu na mawaziri wa Tanzania wakiwa kimya kabisa. Ni aibu kubwa kwa vyombo na pia taifa letu la Tanzania

TOKA MAKTABA :
Boniface Mwangi akiongea na watu wasiojulikana waliokuwa wanagonga mlango wa chumba chake Hoteli ya Serena usiku wa manane jijini Dar es Salaam

View: https://m.youtube.com/watch?v=BGoZfL0eYl0
 
Gwaji anasema haamini kama ni 🕒💯 aliyehusika wakati huo huo kama kweli hausiki kwa nini hakuna kanusho lolote toka kwa 🕒💯 pamoja kutajwa na watekaji kuwa jina lake lisifiwe na kwa nini kachimba biti na kuagiza vyombo vya usalama juu ya wageni wanaochezea "amani"...
 
Zisharekodiwa dunia nzima
 
Bora Askofu Josephat Gwajima, Masudi Kipanya wamejitokeza kuzungumzia watu wasiojilikana katika utekaji nchini Tanzania.

Kwa siku kadhaa tumetegemea mbeleko za raia wapendwa ndugu zetu wa Kenya huku vyombo vyetu na mawaziri wa Tanzania wakiwa kimya kabisa. Ni aibu kubwa kwa vyombo na pia taifa letu la Tanzania

TOKA MAKTABA :
Boniface Mwangi akiongea na watu wasiojulikana waliokuwa wanagonga mlango wa chumba chake Hoteli ya Serena usiku wa manane jijini Dar es Salaam

View: https://m.youtube.com/watch?v=BGoZfL0eYl0


Mkurugenzi Mkuu wa Usalama kuona rais akichafuka, mkuu wa jeshi la Polisi IGP wasiojulikana wanamchafua rais .. askofu Josephat Gwajima leo 24 May 2025 azungumzia wakuu wa vyombo kuwajibika ...


ASKOFU GWAJIMA - WAKUU WA VYOMBO, NI VIZURI KUWAJIBIKA

TOKA MAKTABA:
Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, watatu kutoka kulia ni Mama Balozi Jane Nchimbi, Bw. Frank J. Mhina, Afisa Ubalozi na Mkuu wa Utawala; na Bw. Suleiman Abubakar Mombo (the Plenipotentiary Minister of the Embassy) yaani Afisa Mwandamizi wa Ubalozi.
Katibu mkuu ni mtu aliye karibu sana na aliyekuwa afisa ubalozi ktk ubalozi wa Tanzania nchini Brazil ambaye sasa ni mkurugenzi mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Suleiman Mombo.

Nchimbi asichukizwe na tamko la CHADEMA, bali iwe chachu ya kuichagiza serikali ya CCM na vyombo vya dola kulipata hili dude lililowahifadhi watu wasiojulikana wanaoteka watu, kushikilia kupoteza na kuua :


13 September 2024

SAKATA LA UTEKAJI CCM WATOA TAMKO KUPITIA NCHIMBI, WACHUKIZWA NA KAULI ZA CHADEMA


View: https://m.youtube.com/watch?v=wzhd5pVK0zs

Dr. Emmanuel Nchimbi na Suleiman Mombo wameishi jijini Brasil katika ubalozi wa Tanzania. Wameona na kusikia makundi ya kihalifu kule Ecuador, El Salvador na mataifa kadhaa ya bara la Latino Amerika ambayo yalikuja kuwa hatari siyo kwa raia tu bali hata serikali zilizo madarakani.

Ukaribu wa Katibu mkuu Emmanuel Nchiimbi na Mkuu wa Usalama wa Taifa Suleiman Mombo ni lulu ambayo ikitumika kwa uzuri na nia njema ya kukipata kikundi hiki cha wasiojulikana ni wakati huu wa sasa.

Dr. Emmanuel Nchimbi na mkuu Sukeiman Mombo waielekeze hali hiyo ya kuchukizwa kwa Kundi la Watu Wasiojulikana watumie ushawishi wao, rasilimali za serikali na waajiriwa safi wa vyombo vya ulinzi na usalama kuweza kuwatia mbaroni watu hawa wasiojulikana na kutupa umma mrejesho wa mafanikio ya kazi waliyopewa na mwenyekiti wa CCM ambaye ni rais wa JMT kuwasaka haraka watu hawa wanaoleta hofu kwa kuteka na kuua watu.
.PICHA TOKA MAKTABA :

Mhe. Rais Michel Temer na Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil Mhe. Aloysio Nunes Ferreira Filho (wa tatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, watatu kutoka kulia ni Mama Balozi Jane Nchimbi, Bw. Frank J. Mhina, Afisa Ubalozi na Mkuu wa Utawala; na Bw. Suleiman Abubakar Mombo (the Plenipotentiary Minister of the Embassy) yaani Afisa Mwandamizi wa Ubalozi.

Balozi Dkt. Nchimbi na Mama Balozi Jane Nchimbi, wakisindikizwa Mara baada ya kumaliza kuwasikisha hati za Utambulisho kwa Rais


 
Askofu Gwajima awaangazia viongozi wa vyombo ikiwemo inspekta jenerali wa polisi IGP kutokana na mambo yanayotokea sasa nchini mfano IGP Wambura na viongozi wengine wa vyombo

1748113240863.jpeg
 
Askofu Gwajima kwanini wakuu wa usalama wa taifa TISS wamebalishwa wengi 2021 - 2025

DG TISS CP Diwani Athumani

1748113748870.jpeg

Director General PCCB (2018-19). Director TISS (2019-22). Permanent Secretary, State House (2023).

Profile :

  • Shinyanga Regional Police Commander (2010-13)
  • Deputy Director Criminal Investigations, Tanzania Police Force (2013-14)
  • Acting Commissioner of the Criminal Intelligence Commission, Tanzania Police Force (2014-15)
  • Director Criminal Investigations, Tanzania Police Force (2015-16)
  • Regional Administrative Secretary, Kagera Region (2016-18)
  • Director General PCCB (2018-19)
  • Director TISS (2019-22)
  • Permanent Secretary, State House (2023
President Samia sacks Diwani Athumani after two days', The Citizen, President Samia sacks Diwani Athumani after two days

'CP Diwani Athumani Msuya', PCCB, https://www.pccb.go.tz/index.php/2022/05/29/cp-diwani-athumani-msuya/
 
Nilidownload mapema nilijua tu upuuzi kama huu ungetokea kama ile interview ya Kikeke na Muliro .

Kwa zama hizi kitu kikishaenda hewani hata ukifuta unajisumbua.
Bado ipo youtube. Nimecheki dakika zote 45
 
Askofu Gwajima kwanini wakuu wa usalama wa taifa TISS wamebalishwa wengi 2021 - 2025

DG TISS CP Diwani Athumani

View attachment 3344395
Director General PCCB (2018-19). Director TISS (2019-22). Permanent Secretary, State House (2023).

Profile :

  • Shinyanga Regional Police Commander (2010-13)
  • Deputy Director Criminal Investigations, Tanzania Police Force (2013-14)
  • Acting Commissioner of the Criminal Intelligence Commission, Tanzania Police Force (2014-15)
  • Director Criminal Investigations, Tanzania Police Force (2015-16)
  • Regional Administrative Secretary, Kagera Region (2016-18)
  • Director General PCCB (2018-19)
  • Director TISS (2019-22)
  • Permanent Secretary, State House (2023
President Samia sacks Diwani Athumani after two days', The Citizen, President Samia sacks Diwani Athumani after two days

'CP Diwani Athumani Msuya', PCCB, https://www.pccb.go.tz/index.php/2022/05/29/cp-diwani-athumani-msuya/
Leo kaongea mambo mazito. Ni kana kwamba kuna watu wapo nyuma yake wamemwomba aongee kw niaba
 
Nilidownload mapema nilijua tu upuuzi kama huu ungetokea kama ile interview ya Kikeke na Muliro .

Kwa zama hizi kitu kikishaenda hewani hata ukifuta unajisumbua.
Hazijafutwa zipo mbona
 
Leo kaongea mambo mazito. Ni kana kwamba kuna watu wapo nyuma yake wamemwomba aongee kw niaba

Inabidi tuwe wengi kwa maelfu kama kina Askofu Josephat Gwajima, mchora katuni tajwa Masudi Kipanya, Tundu Lissu, Maria Sarungi, Mdude Said Nyagali, Boniface Mwabukusi n.k hadi watawala wapate ujumbe
 
Back
Top Bottom