SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,975
- 75,064
Ni wachungaji wa Kanisa analoliongoza kama Askofu.Hivi hao wa nyuma ni nani na nani? Gwaji ana mbwembwe 😄
Ni wachungaji wa Kanisa analoliongoza kama Askofu.Hivi hao wa nyuma ni nani na nani? Gwaji ana mbwembwe 😄
Kushindana na teknolojia ni sawa na kushindana na upepo.Kama JF zipo basi ni kheri waziache maana muda huu calls zinatembea kwa ma-admini wa youtube wenye video wazifute.
we muongo.Umuofia Kwenu wana JF,
Nimejaribu kupitia link karibu tatu zilizorusha Stream ya Askofu Gwajima ,Zote zimefutwa.
View attachment 3344333
Sawa mkuu ,kwani kuna mashindano boss? Haujaelewa nivyoandika? Wewe haujui kwamba habari za gwajima kuhusu utekaji zimekuwa banned kwenye vyombo vya habari? Hakuna media yoyote iliyoreport press yake na hakuna gazeti lolote lililoreport na kwenye youtube baadhi ma admini wamefuta ,zimebaki links chache tu ambazo huku nyuma nilishaeleza.we muongo.
na hii haifunguki"
Rasmi! Askofu Gwajima ameliamsha "dude" kuhusu utekaji? Aibuka na orodha ya watu 83 Waliotekwa.
na hii
Mwanzo-Mwisho Alichokisema Askofu Gwajima Kuhusu Utekaji Nchini | Aapa Kuongea Tena Akichokonolewa
na hii
Askofu Gwajima Afunguka Mazito Sakata la Utekaji
nk
mimi nilizi downloadNilisave links kama tatu hivi then nije kuangalia nikifka sehemu yenye network nzuri ,sasa nimefika nimejaribu mbili zote video unavaible ,nikajaribu ya mwisho katikati nayo ikaleta video unavalailable...Kuna moja noona ipo nahisi bado hajapokea simu kutoka juu ili nayo ifutwe.