PreGE2025 Video za Askofu Gwajima zafutwa Youtube

PreGE2025 Video za Askofu Gwajima zafutwa Youtube

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Bora Askofu Josephat Gwajima, Masudi Kipanya wamejitokeza kuzungumzia watu wasiojilikana katika utekaji nchini Tanzania.

TOKA MAKTABA :

23 May 2025
CloudsMedia

Masood Kipanya anahoji Mkenya Boniface Mwangi Ametupwa Na Polisi Wa TZ | Maswali Mgumu Ya Kipanya Akiuliza kwenye kipindi cha Power Breakfast ya Cloudsfm, waandishi wenzie Studio wagwaya hoja na tafakari ya Masoud Kipanya kuwa hawaelewi Kipanya anahoji nini na wanaongeza no comment ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=KkQ-neWFT3c
 
kumeibuka wimbi la wanaharakati wanaochipua kama uyoga watanzania tuwe makini amani yetu isichezewe
Hiyo AMANI yenu waTanzania haiwasaidii kitu.
Kama mnayo AMANI nyinyi, hiyo ni yenu, waTanzania hawaioni hiyo mnayo iimba nyinyi.

Subirini, waTanzania watakapokuja huko mliko nyinyi, AMANI ya kweli itakuwepo.
Jiandaeni kufyekwa na tsunami.
 
Yah hata mimi nimeona hii mambo

Wabongo wanakuwa wabishi sana ,zimefutwa baadhi ,zilizobaki nadhani waliopo juu wameshindwa kuwafikia ma ADMIN ila zimefutwa nyingine,zimebakia Jambo,Chanzo na account yake Gwajima tu.
 
Hii Banning ya habari za gwajima kuhusu utekaji ni hatari ,leo kwenye Kipindi Cha Kurasa Wazee wa Minyama hata kuongelea wameogopa ,hakuna hata mmoja aliyezungumzia as if hakuna kilichotokea.
 
Nmeisikiliza Jana usiku sa9 kwa umakini , alooo jamaa ana sanaa ya mdahalo na press .
 
Mbona zipo mkuu

Ova
Yes ,kuna baadhi ambazo nilisave links zimefutwa.

Magazeti hakuna aliyeandika.

Kwenye radio hakuna mtangazaji aliyethubutu kuzungumzia.

Hizo zilizopo youtube nadhani wamegoma kutii amri kutoka juu.
 
Back
Top Bottom