Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
mmmh, kutembelea ma.ta.ako kunahitaji kazi ya ziada shosti haswa pale ambapo hela haitoki mfukoni mwako. halafu naomba mwongozo nikaichabo pande zipi hicho kideo.
Nenda Rahatupu blog...utaikuta...
mmmh, kutembelea ma.ta.ako kunahitaji kazi ya ziada shosti haswa pale ambapo hela haitoki mfukoni mwako. halafu naomba mwongozo nikaichabo pande zipi hicho kideo.
ndio adhabu gani hiyo? lawyer wangu EMT sijui yupo wapi.
Binti hakai kwao kitambo acha uongo.
Nenda Rahatupu blog...utaikuta...
dah, sahv ntakuwa namwambia tuzime simu zote hadi mchezo uishe. sio uko busy unalamba koni mwenzio anachezea simu. stuka hapo.
Ipitishwe sheria nchini kwamba yeyote atakayepost video/picha za uchi bila ya ridhaa ya muhusika basi muhusika awe na haki ya kumpandisha kizimbani na adhabu yake ianzie mvua tatu.
:becky:
nipo shem nafuatilia mikomenti yenu tu humu...nimekumiss hadi naugua shem langu la nguvu.
heeeeee! nashukuru kwa ufafanuzi. yaani wanawake tuna kazi, tujilinde na mimba zisizotarajiwa, tujilinde na magonjwa, bado tujilinde na camera. bora haka kamchezo nikaache tu sasa.LOL! Hahahahaha mvua moja ni mwaka mmoja, kwa hiyo mvua tatu ni miaka mitatu. Kuna baadhi ya nchi huwezi ukaanika picha za uchi au video za mtu hadharani bila ridhaa yake ukifanya hivyo basi mkono wa sheria lazima utakugusa pindi muhusika akifungua mashtaka.
camera zinatisha kuliko ukimwi ujue.hahhha haisaidii hiyo, ka kadhamilia kuchomoka ni bonge la issue.... kuna vikamera kibao sio lazima ya simu, na nguvu za bia zinachangia
heeeeee! nashukuru kwa ufafanuzi. yaani wanawake tuna kazi, tujilinde na mimba zisizotarajiwa, tujilinde na magonjwa, bado tujilinde na camera. bora haka kamchezo nikaache tu sasa.
mmmh, kutembelea ma.ta.ako kunahitaji kazi ya ziada shosti haswa pale ambapo hela haitoki mfukoni mwako. halafu naomba mwongozo nikaichabo pande zipi hicho kideo.
Nenda Rahatupu blog...utaikuta...
Kumbe one night stand hiyo? Ndo anamchezea vile? Kweli mwanamke kujiamini.....
Ilizagaa sana jamaa alikiwa anagegeda ofisini kwa demu CRDB
... bora haka kamchezo nikaache tu sasa.
shem nimekubakishia bilioni moja ya escrow, njo na magunia. benki kimenuka.nipo shem nafuatilia mikomenti yenu tu humu...
miye nimekumis pia shem tena sana tu sema ndio wapotea weye kama fedha za eskrow...