shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,325
Huu wimbo ni mzuri kwa kweli....ila video sijui! Kwani video nzuri ikoje?? Ni mpaka iwe na ma rolls royce, ferrari,yatch,majumba ya kifahari???!!! Maanake naona wabongo wengi video wanasifia nzuri ikiwa na majumba makubwa,magari ya kifahari na location expensive,ila ikiwa na mazingira ya kawaida inaonekana mbaya.
Swali kwa ali kiba au mameneja au washabiki wenye uelewa, kulikuwa na ulazima gani kwenda kufanya hio video sa[not sure]??? Hio location na vitu vilivyotumika havipatikani hapa?? Au walimfuata director fulani huko??
number one remix nyimbo iliyotingisha africa nzima.. video imefanywa studio tu.. hakuna gari wala nyumba iliyoonekana..
ni watu kuimba na kucheza tu kwa furaha..
video kama nzuri ni nzuri tu na kama mbaya ni mbaya tu hata ufanyie stoo tu