Video ya binti akivuta sigara

Video ya binti akivuta sigara

Muulize kashafanya ngono na watu wangapi, hapo utachoka kabsa na kuona hilo la sigara ni jambo dogo sana.

Aina ya wasanii na sanaa yetu ya sasa inachangia sana kuharibu maadili yetu, kuna tabia zimeshika kasi sana hichi kipindi.

Ulevi wa hali ya juu kwa mabinti
Ubebaji mimba hovyo
Ngono
Uvutaji bangi
Biashara ya ngono

Hizi tabia zimechochewa na wasanii na kazi zao za sanaa kwa sasa.
Kawaulize Chama Mboga kinachwaacha vijana wanazagaa mitaani huku hio mikopo ya Halmashauri wanayosema wanaitoa wakipeana wenyewe kwa kujuana
 
Katika siku kadhaa kumekuwa na video ikimuonesha binti mdogo mwenye miaka inayokadiriwa kuwa kati ya 12 mpaka 14 akifika duka moja na kuwasha sigara kisha kuivuta. Ni video fupi ambayo imesambaa kwa kasi sana, Facebook, Tiktok na hapa X (Twitter).

Kwa baadhi ya watu inaweza kuwa ni video inayofurahisha na wengine kuona ni kawaida kukutana na hali hii ila kiuhalisia sio picha nzuri hata kidogo ukizingatia umri na rika ya mtu ambaye anaonekana akivuta sigara.
View attachment 3295551

Mimi Naona shida ni malezi ya mzazi mmoja yaani ndo wale watoto wanakuzwa na mama tu yaani single Maza japo nikweli mtoto akishakuwa mtukutu hata Kama atalelewa na wazazi Wote ila ataendelea tu kuwa mtukutu ila Kuna Hali flani kama baba yupo huyo mtoto hata Kama akiwa sugu atalegea maana kipigo Cha baba huwa sio cha hii nchi.

Hivi ushawahi kupigwa Kofi la uso ama banzi la mgongo? Wapo wanaokula kichapo na unafungiwa stoo, Ulijisikiaje? Ulijisikiaje maumivu ya mgongo ulipopigwa Kofi.
au ulishawahi kupigwa konzi la kichwa na baba?
View attachment 3295551

Sasa hebu imagine umepigwa Kofi la mgongo ile unajifikiria, ukapigwa Kofi la shavu hebu niambie mtoto utaendelea kuwa mtukutu?

Jamani acheni masiala watu tumepigwa hawa watoto wa siku hizi wanapapaswa ndo maana tabia mbovumbovu tu kitoto kidogo kama hiki.! Ukikiangalia hata miaka 15 hakijafikisha tayari kishahalibikiwa?

Sasa hebu shangaa kama kinalelewa mama tu inamaana mama yake kimemshinda kukinyoosha Tena kikiwa Bado kidogo Hivi ndo utakubaliana namimi kuwa wazazi wa kike wa kizazi hiki hawawezi kumnyoosha mtoto mtukutu inabidi awepo mshua ambaye atakuwa anajua kunyoosha tabia.

Ningetamani sana Mama yangu Dkt. Gwajima D upate kutusaidia katika hili, sidhani kama limekaa vizuri bi mkubwa.
Mazingira yanayo mzunguko pia yanachangia sana. Na usikute baba ni teja, Mama anauza pusy na gongo, mtaa mzima wanavuta mabangi na visungura thus sigara inaonekana kitu kidogo sana.
 
Watanzania tuache unafiki wa kufuatilia maisha ya watu. Wewe mtoa mada tukianza kukuchungiza hayaishi masaa mawili tutajua wewe ni 🌈
Ni kweli kabsa! Tupo pamoja kwenye 🌈 bila shaka! Ndege wanaofanana huruka pamoja
 
Mazingira yanayo mzunguko pia yanachangia sana. Na usikute baba ni teja, Mama anauza pusy na gongo, mtaa mzima wanavuta mabangi na visungura thus sigara inaonekana kitu kidogo sana.
Hii yoote imetokana na Mwanaume kukimbia wajibu wake wa kuilinda Familia.

Penye Mwanaume hapaharibili neno.
 
Ja
Hii yoote imetokana na Mwanaume kukimbia wajibu wake wa kuilinda Familia.

Penye Mwanaume hapaharibili neno.
Jaribu kutembelea sehemu kama Mwananyamala, tandale, andika, maandazi road msasNi, MBAGALA na slam nyingine uone aine ya wanaume waliopo 24/7 wapo high, bang, gin and etc kwao mtoto kumgonga fegi ni kitu kidogo sana
 
Ja

Jaribu kutembelea sehemu kama Mwananyamala, tandale, andika, maandazi road msasNi, MBAGALA na slam nyingine uone aine ya wanaume waliopo 24/7 wapo high, bang, gin and etc kwao mtoto kumgonga fegi ni kitu kidogo sana
Na hao wanaume nao wamekuw aktk mazingira hayo hayo.....ni Generation to generation
 
Ja

Jaribu kutembelea sehemu kama Mwananyamala, tandale, andika, maandazi road msasNi, MBAGALA na slam nyingine uone aine ya wanaume waliopo 24/7 wapo high, bang, gin and etc kwao mtoto kumgonga fegi ni kitu kidogo sana
Blaza unatuonea wakata ufuta tunaoishi hayo maeneo.

Wala ganja na smart gin ni wengi ila sio vitoto vya kike vidogo. Ila vya kiume vipo sana ila vya kike haviwezi kusurvive hilo life kama havijakomaa.

Wengi unakuta ni wadada manunda, ambao walianza kua malaya, walipokubuhu na soko kushuka wanaenda kwa masela kuliwa kwa kete.
 
Kawaulize Chama Mboga kinachwaacha vijana wanazagaa mitaani huku hio mikopo ya Halmashauri wanayosema wanaitoa wakipeana wenyewe kwa kujuana
Tuweke siasa pembeni Mkuu, hili ni.swala la kimaadili. Mtu anaweza akawa na kila fursa na akawa na tabia mbaya tu.
 
Ukitafakari kwenye scale ndogo utaona ni mambo binafsi ila ukiweka kwenye picha kubwa, inatafakarisha.

Fikiria kipindi ambacho maadili yalizingatiwa sana hata kufika sehemu uhuru binafsi ukaingiliwa ili kuiweka sawa jamii, bado tumepata mafisadi, wezi, wala rushwa wa kutupa, makatili na wauaji n.k

Nchi ikabalehe, ikapitia ujana na sasa iko kwenye umri wa kustaafu, bado tu masikini wa kutupwa, tena umasikini wa kujitakia kwa kukosa nidhamu, kutojaliana, ubinafsi, matumizi mabaya ya fedha na mamlaka, tamaa za mali na ngono n.k

Sasa, picha kubwa ni kwamba, kizazi cha hao hao waliopitishwa kwenye tanuri ili wawe bora wakatoka wachafu, matokeo ya kizazi chao itakuaje?
- Taifa linafuata litakuwa na watu wa namna gani?

Sio sisi tena, wao! Hawa ambao leo tunawaita "watoto wa 2000", malezi yao kwa uzao wao yatakuaje? Matokeo ya malezi yao ni kupata taifa gani?
  • Wanawake walipambania uhuru na usawa.
  • Watoto wa 2000 wanapambania "chibaba" huku taasisi ya kimaadili ya ndoa na familia ikikaribia kutoweshwa, zaa, kaa kule, tukadaiane matumizi ya watoto ustawi wa jamii na mahakamani.

Mataifa mengine, wana mipango ya miaka 200 ijayo, kamuulize mama Abdul na genge lake wanachowaza, utakufa hapo hapo!
  • Traore ni mdogo kwa Abdul, Ridhi n.k
  • Wao sifa kubwa ni upumbavu, mwenzao sifa kubwa ni harakati za kuikomboa nchi yake kutoka kwenye dimbwi la umasikini, akiwalenga wananchi na sio circle ya majizi

Siwezi kumaliza, nikiendelea nitapoteza uelekeo.
 
Sasa hebu shangaa kama kinalelewa mama tu inamaana mama yake kimemshinda kukinyoosha Tena kikiwa Bado kidogo Hivi ndo utakubaliana namimi kuwa wazazi wa kike wa kizazi hiki hawawezi kumnyoosha mtoto mtukutu inabidi awepo mshua ambaye atakuwa anajua kunyoosha tabia.
Amevunja sheria namba ngapi ya nchi
 
Katika siku kadhaa kumekuwa na video ikimuonesha binti mdogo mwenye miaka inayokadiriwa kuwa kati ya 12 mpaka 14 akifika duka moja na kuwasha sigara kisha kuivuta. Ni video fupi ambayo imesambaa kwa kasi sana, Facebook, Tiktok na hapa X (Twitter).

Kwa baadhi ya watu inaweza kuwa ni video inayofurahisha na wengine kuona ni kawaida kukutana na hali hii ila kiuhalisia sio picha nzuri hata kidogo ukizingatia umri na rika ya mtu ambaye anaonekana akivuta sigara.
View attachment 3295551

Mimi Naona shida ni malezi ya mzazi mmoja yaani ndo wale watoto wanakuzwa na mama tu yaani single Maza japo nikweli mtoto akishakuwa mtukutu hata Kama atalelewa na wazazi Wote ila ataendelea tu kuwa mtukutu ila Kuna Hali flani kama baba yupo huyo mtoto hata Kama akiwa sugu atalegea maana kipigo Cha baba huwa sio cha hii nchi.

Hivi ushawahi kupigwa Kofi la uso ama banzi la mgongo? Wapo wanaokula kichapo na unafungiwa stoo, Ulijisikiaje? Ulijisikiaje maumivu ya mgongo ulipopigwa Kofi.
au ulishawahi kupigwa konzi la kichwa na baba?
View attachment 3295551

Sasa hebu imagine umepigwa Kofi la mgongo ile unajifikiria, ukapigwa Kofi la shavu hebu niambie mtoto utaendelea kuwa mtukutu?

Jamani acheni masiala watu tumepigwa hawa watoto wa siku hizi wanapapaswa ndo maana tabia mbovumbovu tu kitoto kidogo kama hiki.! Ukikiangalia hata miaka 15 hakijafikisha tayari kishahalibikiwa?

Sasa hebu shangaa kama kinalelewa mama tu inamaana mama yake kimemshinda kukinyoosha Tena kikiwa Bado kidogo Hivi ndo utakubaliana namimi kuwa wazazi wa kike wa kizazi hiki hawawezi kumnyoosha mtoto mtukutu inabidi awepo mshua ambaye atakuwa anajua kunyoosha tabia.

Ningetamani sana Mama yangu Dkt. Gwajima D upate kutusaidia katika hili, sidhani kama limekaa vizuri bi mkubwa.
Baada ya maelezo marefu kuwa wanawake hawawezi kumyoosha mtoto umemalizia kwa kujipiga finger unaomba msaada kwa mwanamke ambaye hawezi kufanya lolote kuhusu kadhia unayoizungumzia. Watu wanapitia mpaka jela za watoto( juvenile penitentiaries) zenye kila aina ya mateso lakini ambao huwa hawajaamua kunyooka kwa kukosa guidances sahihi huwa hawanyoosheki.
 
Back
Top Bottom