Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,132
- 10,514
Katika siku kadhaa kumekuwa na video ikimuonesha binti mdogo mwenye miaka inayokadiriwa kuwa kati ya 12 mpaka 14 akifika duka moja na kuwasha sigara kisha kuivuta. Ni video fupi ambayo imesambaa kwa kasi sana, Facebook, Tiktok na hapa X (Twitter).
Kwa baadhi ya watu inaweza kuwa ni video inayofurahisha na wengine kuona ni kawaida kukutana na hali hii ila kiuhalisia sio picha nzuri hata kidogo ukizingatia umri na rika ya mtu ambaye anaonekana akivuta sigara.
Mimi Naona shida ni malezi ya mzazi mmoja yaani ndo wale watoto wanakuzwa na mama tu yaani single Maza japo nikweli mtoto akishakuwa mtukutu hata Kama atalelewa na wazazi Wote ila ataendelea tu kuwa mtukutu ila Kuna Hali flani kama baba yupo huyo mtoto hata Kama akiwa sugu atalegea maana kipigo Cha baba huwa sio cha hii nchi.
Hivi ushawahi kupigwa Kofi la uso ama banzi la mgongo? Wapo wanaokula kichapo na unafungiwa stoo, Ulijisikiaje? Ulijisikiaje maumivu ya mgongo ulipopigwa Kofi.
au ulishawahi kupigwa konzi la kichwa na baba?
Sasa hebu imagine umepigwa Kofi la mgongo ile unajifikiria, ukapigwa Kofi la shavu hebu niambie mtoto utaendelea kuwa mtukutu?
Jamani acheni masiala watu tumepigwa hawa watoto wa siku hizi wanapapaswa ndo maana tabia mbovumbovu tu kitoto kidogo kama hiki.! Ukikiangalia hata miaka 15 hakijafikisha tayari kishahalibikiwa?
Sasa hebu shangaa kama kinalelewa mama tu inamaana mama yake kimemshinda kukinyoosha Tena kikiwa Bado kidogo Hivi ndo utakubaliana namimi kuwa wazazi wa kike wa kizazi hiki hawawezi kumnyoosha mtoto mtukutu inabidi awepo mshua ambaye atakuwa anajua kunyoosha tabia.
Ningetamani sana Mama yangu Dkt. Gwajima D upate kutusaidia katika hili, sidhani kama limekaa vizuri bi mkubwa.
Kwa baadhi ya watu inaweza kuwa ni video inayofurahisha na wengine kuona ni kawaida kukutana na hali hii ila kiuhalisia sio picha nzuri hata kidogo ukizingatia umri na rika ya mtu ambaye anaonekana akivuta sigara.
Mimi Naona shida ni malezi ya mzazi mmoja yaani ndo wale watoto wanakuzwa na mama tu yaani single Maza japo nikweli mtoto akishakuwa mtukutu hata Kama atalelewa na wazazi Wote ila ataendelea tu kuwa mtukutu ila Kuna Hali flani kama baba yupo huyo mtoto hata Kama akiwa sugu atalegea maana kipigo Cha baba huwa sio cha hii nchi.
Hivi ushawahi kupigwa Kofi la uso ama banzi la mgongo? Wapo wanaokula kichapo na unafungiwa stoo, Ulijisikiaje? Ulijisikiaje maumivu ya mgongo ulipopigwa Kofi.
au ulishawahi kupigwa konzi la kichwa na baba?
Sasa hebu imagine umepigwa Kofi la mgongo ile unajifikiria, ukapigwa Kofi la shavu hebu niambie mtoto utaendelea kuwa mtukutu?
Jamani acheni masiala watu tumepigwa hawa watoto wa siku hizi wanapapaswa ndo maana tabia mbovumbovu tu kitoto kidogo kama hiki.! Ukikiangalia hata miaka 15 hakijafikisha tayari kishahalibikiwa?
Sasa hebu shangaa kama kinalelewa mama tu inamaana mama yake kimemshinda kukinyoosha Tena kikiwa Bado kidogo Hivi ndo utakubaliana namimi kuwa wazazi wa kike wa kizazi hiki hawawezi kumnyoosha mtoto mtukutu inabidi awepo mshua ambaye atakuwa anajua kunyoosha tabia.
Ningetamani sana Mama yangu Dkt. Gwajima D upate kutusaidia katika hili, sidhani kama limekaa vizuri bi mkubwa.