PostGE2025 Video: Wananchi wazika nguo na viatu mara baada ya mwili wa marehemu aliyeuawa na polisi kutopatikana

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Your browser is not able to display this video.
Inauma sana na kutia hasira kuona familia ina uhakika mpendwa wao kauwawa ila serikalii batili na dhalimu inaenda kutupa miili kama takataka na wanazika nguo. Ni Haki na Uwajibikaji! Bila haki hakuna amani! Huu si msemo ila ndo ukweli halisi wa maisha! Uhai wa binadamu hata moja ina thamani kubwa.
 
Hatari sana ,poleni ndugu ,jamaa na marafiki.

Tumeni taarifa ya waliopotea wote,kuuawa ,kujeruhiwa kwa ofisi ya chadema ili waandae ripoti itakayotumwa sehmu husika ila haki zao zipatikane.

Tusikubali huu uhuni utokee tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…