Video vibaka wakivunja fence ya umeme kwa miguu

Video vibaka wakivunja fence ya umeme kwa miguu

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,543
Reaction score
4,667
Hivi uzio wenye waya wa umeme unazuia kweli vibaka?

Kwenye video hapo chin ya CCTV iliyowanasa vibaka wakivunja fensi ya umeme kwa miguu.

Yani dawa yao hawa kenge ni rottweilers, Pitbull na German shepherd.

 
Humu ndani watu mna vituko 😆😆😆👆🏿

Trust me nimefunga, ni home security system...

Screenshot_20250717_130301_Tuya Smart.jpg
 
Hivi uzio wenye waya wa umeme unazuia kweli vibaka?

Kwenye video hapo chin ya CCTV iliyowanasa vibaka wakivunja fensi ya umeme kwa miguu.

Yani dawa yao hawa kenge ni rottweilers, Pitbull na German shepherd.

View attachment 3408690
HIIYO FENCE BILA SHAKA HAIKUWA NA POWER, KAMA INGEKUWA NA POWER HUYO MTU WA MWISHO KWA JINSI ALIVOSHUKA ASINGEKUWA SALAMA HATA KIDOGO. LAKINI PIA TUMEONA AKIVUNJA TAYARI AKIWA NDANI ALIINGIAJE NDANI HAPO BADO HAKUNA MAJIBU, MAMBO YAFUATAYO YANAWEZA KUWA YAMECHANGIA:-

1. Udhaifu wa Kiufundi kwenye Fence ya Umeme

# Inawezekana Voltage ya umeme ilikuwa ndogo na isiyotosha kuwazuia wavamizi.​

# System ya umeme inaweza kuwa imeharibika au imezimwa kwa muda fulani bila kufahamu.
# Ama Walioweza ku-bypass au ku-ground fence hiyo, wakapita bila kudhurika.
NGUZO ZILIZOSHIKA FEANCE ZINAONEKANA KUTOKUWA IMARA, FUNDI ALIYETANGENEZA FENCE HAKUWA AMEFANYA ASSESMENT YAKE KWA USAHIHI HUWEZI KUTENGENEZA FENCE NA UKAACHA NAFASI YA MTU KUWEZA KULALA NA KUPIGA NGUZO FENCE MATEKE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom