wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,293
- 3,939
2020 naiona vita nzito ya ugombea urais kupitia CDM kati ya E.L na lisu.
Ukiitazama hiyo clip mpk mwisho utapata majibu mkuuAna udictator gani? Mbona wananchi hawuoni iweje uonwe na tundu lisu tu
Tundu lissu ni zaidi ya mwanaume. Nani anathubutu kufungua mdomo kwenye huu utawala huko CCM? Wote mmefanywa kama makondoo.rais anavunja katiba waziwazi anavunja taratibu za manunuzi ,ubinafsi , kuuwa upinzani. Lissu kamweleza waziwazi kama atachukia anywe sumu.Mie nadhani chadema wanamcoach huyu Tindu agombee nafasi ya urais..
Mnamuona mwenzenu anabwabwaja, hamjui ni strategy ya kujikuza jina ili 2020 agombee and na kuzuia Chadema isipotee hewani, manake reputation ya chama imeshuka recently.
"CUF ya Lipumba ilitusaliti kama Yuda Iskariot alivyomsaliti Yesu,"amesema Lissu.
Pesa za viwanda zimeelekezwa mahakamani kwenye kesi kesi kukomoana na kuwabambikia watu kesi.Nchi inaendeshwa bila weledi, masikini wanapata tabu na hawajuwi wamlilie nani
Amewaingiza chadema kwenye tego la ufisadi!
Mobutu akitelemka kijijini kwake
Bora kama walimu mmeanza kuliona hilo.nasikia na watumishi wa serikali wameambiwa mshahara ni huo huo hakuna nyongeza wala chochote asiyetaka aache kazi.poleni sana. Michango ya mwenge mmeshalipia?waalimu hatujapata ajira na yeye alikua mwalimu nyongeza za mishahara hakuna kodi kila mahali maisha magumu ivii anenda kujenga uwanja chato wakati wa dar tu wenyewe haujakamilika.. ni nini anafanya huyu baba na serikali yake ya mabavu..
KwA Kumwogopa nani this is our Nation.sio lazima kuishi tanzania, aende kuishi nje mpaka 2035
Imediately baada ya kuwa rais TLS, tayari jengo la TLS limeaanza kujengwa. Mawakili wamechangia hela ya jengo miaka nenda rudi , zilikuwa zinaliwa na viongozi waliopita.Huyu si aligombea TLS vipi amefanya nini kuleta mabadiliko
Magufuli hataweza kujibu tuhuma hizi mkuu , hii si mchezo ! Kumkamata Lissu pia haitawezekana , maana itabidi apelekwe mahakamani , swali ni nani ataweza kukanusha tuhuma hizi mahakamani ?Nimeisikiliza clip mwanzo mpaka mwisho na binafsi sioni jipya zaidi ya kuwa malalamiko haya ni kama yamerasimishwa kuliko ilivyokuwa mwanzoni ambapo yalikuwa yakiongelewa chinichini.
Naamini Mheshimiwa Raisi ana sababu za kufanya yote aliyoyafanya pia serikali ina majibu kwa hoja za Lissu kwa hivyo ni bora tusubiri response ya serikali kwa haya aliyoyataamka TL.
Jambo moja ni dhahiri,Lissu kajilipua.Amejiamini kitu gani,SIJUI!!