Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Hakika.Wacha tumuangalie ametia msitu moto na hakupima uelekeo wa upepo moto unamzingira!
Hakika.Wacha tumuangalie ametia msitu moto na hakupima uelekeo wa upepo moto unamzingira!
Hali yake kisiasa hata jimboni ni mbaya ndio maana amejikita kwenye maji taka.
Toa takwimu, kwani mimi nimetoa takwimu. Nimesema hivyo ili ajue pamoja na yeye kumpa dadake ubunge hakuna aliyejali sababu tulijua dadake ni mtanzania.Kwa hiyo ndio maana mkulu nae ameanza kuwapendelea wasukuma, ndg zake na ukanda?
Takwimu gani unazotaka zaidi ya zile za Lissu?Toa takwimu, kwani mimi nimetoa takwimu. Nimesema hivyo ili ajue pamoja na yeye kumpa dadake ubunge hakuna aliyejali sababu tulijua dadake ni mtanzania.
hahahahahahJust imagine Lissu kawa Raisi?
Yapi atakayoyafanya, hebu tujaribu kuyaweka hapa kwa mawazo yetu wana JF( lets predict what he will do in his first 3 months)::
1. Atayunga sheria mpya yeye mwenyewe na bila ya msaada ya wanasheria wengine.
2. Atawaweka kizuizini baadhi ya maraisi na viongozi wa ccm.
3. Atakifungia chama cha ccm na kukifutakabisa.
4. Atajenga kiwanda cha mafuta ya kupikia na kiwanja cha ndege cha kimataifa singida.
5.
6.
7.
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
AlaaaaVuvuzela huyu tumemzoea. Hata kwenye makinikia alisema tutanyolewa bila wembe na wenye makinikia badala yake wakapanda ndege kuja kuomba tuongee!! Sasa anatafuta kick nyingine kama anataka tususiwe na mataifa si angewafuata hukohuko hao mabwana zake??
Yupo anaendelea na dai la katiba.