Video: Rais Magufuli Ampigia Simu Neema Mwita wambura, Ampeleka Hospitali




Neema Mwita aliunguzwa na moto kifuani alipomwagiwa uji wa moto na mumewe huko mkoani Mara.

Rais Magufuli amempa mama huyo msaada wa laki 5 na kuahidi kutoa hifadhi kwa watoto wake.

Vile vile Rais ameagiza Neema afanyiwe uchaguzi upya ktk hosipital ya Muhimbili.

Nimefurahishwa na jambo alilofanya Rais ila, sikuona umuhimu wa kupeleka waandishi kuchukua video kabisa wakati anaongea na huyo mama. Ingekaa poa sana kama msaada angeutoa kimya kimya bila kuhusisha media.

Nimejiuliza pia je, wapo watanzania wengi sana wenye hali kama hii au zaidi ya hii, Rais atawafanyia wote hivi kwa endapo akiwafahamu?
Tanzania bwana yaani rais wetu anahangaika na vitu vidogo vidogo sana and unsustainable issue, utawasaidia wangapi! Weka systems,boresha huduma,weka mazingira mazuri ya kuwawezesha watu kuwa na uwezo wa kujitatulia matatizo yao wenyewe.Dah Tanzania yangu am very sorry for you
 



Neema Mwita aliunguzwa na moto kifuani alipomwagiwa uji wa moto na mumewe huko mkoani Mara.

Rais Magufuli amempa mama huyo msaada wa laki 5 na kuahidi kutoa hifadhi kwa watoto wake.

Vile vile Rais ameagiza Neema afanyiwe uchaguzi upya ktk hosipital ya Muhimbili.

Nimefurahishwa na jambo alilofanya Rais ila, sikuona umuhimu wa kupeleka waandishi kuchukua video kabisa wakati anaongea na huyo mama. Ingekaa poa sana kama msaada angeutoa kimya kimya bila kuhusisha media.

Nimejiuliza pia je, wapo watanzania wengi sana wenye hali kama hii au zaidi ya hii, Rais atawafanyia wote hivi kwa endapo akiwafahamu?

Kwanza tunataka Daud Bashite alete vyeti vyake.
Hatutoki relini
 
miaka inaenda hivyo , yeye anafikiri ni raisi wa wasukuma . matukio kama hayo yapo mengi lakini yeye all eyes on sukuma zone.
 
Ukiwa raia halali wa nchi yeyote ama ufalme wowote suala la ulinzi, afya, na hata malazi SIYO HISANI ni wajibu wa serikali maana wao ndio wamejikusanyia jasho lako.

So maccm wekeni akili kichwani ku....
 
Hongera Rais kwa kuweka hadharani huu msaada. Hii inaonyesha kwamba Rais anajali wanaoenewa. Ni onyo kwa wanaoonea pia, kwani Rais ameahidi kuhakikisha kwamba sheria itafuata mkondo wake.

Wanaosema Rais angepashwa kufanya kimya kimya wanasahau yeye ni kiongozi ambaye anapashwa kuonyesha mfano. Taa haiwashwi na kufichwa chini ya meza, bali huwekwa mahali pa wazi ili iangazie wote. Kwa wale ambao ni Wakristu, niseme wazi kwamba hapa Rais kafanya Uinjilishaji wa hali ya juu.

Bila shaka ziko namna nyingi Rais anasaidia watu kama mtu binafsi, bila kusema na bila kutumia wafanyakazi wa serikali. Lakini lazima wakati mwingine afundishe taifa zima kwa kuonyesha matendo mema wazi na kutoa onyo kwa waovu.

Well done Mr President!

Suala la msingi, Raisi anapaswa kujua/kukumbushwa kwamba watu wake wengi wanamazingira magumu sana ktk suala la matibabu, hivyo anapaswa kutafuta suluhisho ambalo ni rafiki kwa wanachi wa hali ya chini.
 
Hongera Rais kwa kuweka hadharani huu msaada. Hii inaonyesha kwamba Rais anajali wanaoenewa. Ni onyo kwa wanaoonea pia, kwani Rais ameahidi kuhakikisha kwamba sheria itafuata mkondo wake.

Wanaosema Rais angepashwa kufanya kimya kimya wanasahau yeye ni kiongozi ambaye anapashwa kuonyesha mfano. Taa haiwashwi na kufichwa chini ya meza, bali huwekwa mahali pa wazi ili iangazie wote. Kwa wale ambao ni Wakristu, niseme wazi kwamba hapa Rais kafanya Uinjilishaji wa hali ya juu.

Bila shaka ziko namna nyingi Rais anasaidia watu kama mtu binafsi, bila kusema na bila kutumia wafanyakazi wa serikali. Lakini lazima wakati mwingine afundishe taifa zima kwa kuonyesha matendo mema wazi na kutoa onyo kwa waovu.

Well done Mr President!
Kuna wagonjwa pale ocean road hospt ukiwaangalia utalia,Kuna wagonjwa pale mhimbili wodi ya mwaisela ukienda na kuwaangalia utatoa machozi,Kuna wagonjwa pale Bugando hawajapata Dawa wanaendelea kuugulia kwa maumivu yao hutakuwa na hamu tena kutembelea maeneo hayo kwa uchungu wanaoupata.

Itabidi wagonjwa wetu tuwe tunawatangaza kupitia Clouse FM ili wapigiwe simu na mh.wapewe laki tano.Hakika nasema kwa aina ya uongozi tulionao sasa hili ni janga la kitaifa.
 
Hongera Rais kwa kuweka hadharani huu msaada. Hii inaonyesha kwamba Rais anajali wanaoenewa. Ni onyo kwa wanaoonea pia, kwani Rais ameahidi kuhakikisha kwamba sheria itafuata mkondo wake.

Wanaosema Rais angepashwa kufanya kimya kimya wanasahau yeye ni kiongozi ambaye anapashwa kuonyesha mfano. Taa haiwashwi na kufichwa chini ya meza, bali huwekwa mahali pa wazi ili iangazie wote. Kwa wale ambao ni Wakristu, niseme wazi kwamba hapa Rais kafanya Uinjilishaji wa hali ya juu.

Bila shaka ziko namna nyingi Rais anasaidia watu kama mtu binafsi, bila kusema na bila kutumia wafanyakazi wa serikali. Lakini lazima wakati mwingine afundishe taifa zima kwa kuonyesha matendo mema wazi na kutoa onyo kwa waovu.

Well done Mr President!
Mawazo ya kimaskini kabisa haya , tena sana haya ni mawazo ya mtu aliye kufa kimawazo ,ni ujinga kushabikia hili aisee.
 
Hivi kwan angempa bila kum-record angezulika nn?hii nchi sasa hailewek yan mpaka mkuu wa kaya naye anataka mkono wa kushoto ukitoa bhas wa kulia ujue!,haya mambo si akina Daudi Bashite wapenda sifa!
alistahili kuwa Diwani, wadanganyika mkadanganyika mkampa bonge la title , matokeo ndio hayo tunayaona sasa.
 
Asant San mkuuuuu kuweza kumsaidia huy mama maaan angerud hom bil hat kutibiw asant kwamoyo wako mzr ambao unaaangaza pand zot za ndunia
 
Hongera Rais kwa kuweka hadharani huu msaada. Hii inaonyesha kwamba Rais anajali wanaoenewa. Ni onyo kwa wanaoonea pia, kwani Rais ameahidi kuhakikisha kwamba sheria itafuata mkondo wake.

Wanaosema Rais angepashwa kufanya kimya kimya wanasahau yeye ni kiongozi ambaye anapashwa kuonyesha mfano. Taa haiwashwi na kufichwa chini ya meza, bali huwekwa mahali pa wazi ili iangazie wote. Kwa wale ambao ni Wakristu, niseme wazi kwamba hapa Rais kafanya Uinjilishaji wa hali ya juu.

Bila shaka ziko namna nyingi Rais anasaidia watu kama mtu binafsi, bila kusema na bila kutumia wafanyakazi wa serikali. Lakini lazima wakati mwingine afundishe taifa zima kwa kuonyesha matendo mema wazi na kutoa onyo kwa waovu.

Well done Mr President!
Yeye mwenyewe ndio muoneaji mkuu, anajikosha kiaina.
 
Jaman tuwe wa kweli hata kidogo hivi kitendo alichomfanyia huyo dada hamuoni kama ni jambo la kiungwana vipi asingetoa kabisa ?
 
Kwahiyo wewe unapotembea barabarani na kukuta masikini anaomba hela usimsaidie kwakuwa inabidi usaidie wote?Kinachotakiwa ni kumsaidia yule anae kugusa na si wote.
Mkuu wewe ulishamsaidia masikini njiani na kujipiga nae picha au video ukiwa unamsaidia alafu uitume kwenye media?
 
Kweli kila kona hapendwi na its obvious ana ROHO MBAYA anataka kuonekana mtu. Kutoa msaada ni obligation ya kiutu na kiroho wala sio attribute mojawapo ya uongozi bora, so ukitoa msaada ni vyema ufanye kimya kimya hesabu ni wewe na muumba wako.
Sure mkuu, kutoa msaada siyo kigezo cha uongozi bora unaweza ukawa hutoi misaada na ukawa kiongozi bora wa kiwango cha dunia
 
Kuna wagonjwa pale ocean road hospt ukiwaangalia utalia,Kuna wagonjwa pale mhimbili wodi ya mwaisela ukienda na kuwaangalia utatoa machozi,Kuna wagonjwa pale Bugando hawajapata Dawa wanaendelea kuugulia kwa maumivu yao hutakuwa na hamu tena kutembelea maeneo hayo kwa uchungu wanaoupata.

Itabidi wagonjwa wetu tuwe tunawatangaza kupitia Clouse FM ili wapigiwe simu na mh.wapewe laki tano.Hakika nasema kwa aina ya uongozi tulionao sasa hili ni janga la kitaifa.
Kwa uongozi huu, bora mkuu M. M. Mwanakijiji alivyosema mh ajiuzulu
 
Back
Top Bottom