Video: Prof. Mbarawa awataka Mameneja wa TANROADS kwenda Kigoma kujifunza Ujenzi wa Barabara za Kisasa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,774
Habari Wadau..

Kuna msemo wa Kiswahili unasema kawia ila ufike..

Waziri wa Ujenzi Prof.Mbarawa amewaagiza Mameneja wa Mikoa wa TanRoads Nchi nzima kwenda Kigoma Kujifunza Ujenzi wa Barabara Bora na za Kisasa kuanzia underpasses,overpasses,pedestrian traffic lights,keep left nk zinafanywa Ili kuwa na matumizi Bora ya Barabara.

Baada ya Mkoa wa Kigoma kutengwa kimiundombinu ya umeme na Barabara Kwa muda mrefu, hatimaye Rais dokta Samia ameamua kufanya kweli.

Serikali ya awamu ya 6 imewafita machozi na maumivu ya miaka Mingi Wana Kigoma Kwa kuwamwagia miradi mikubwa ya Barabara za kufungua Mkoa huo Kila pande.

Kwa mujibu wa Meneja wa TanRoads Mkoa wa Kigoma ,Kuna jumla ya miradi 12 ya ujenzi wa Barabara inaendelea Mkoani huko huko Wachina wakikimbiza kazi Kwa Kasi kubwa.

Bila shaka Ile ndogo ya Kigoma kuwa kama Dubai huenda inaenda kutimia maana ukiacha Barabara za kuunganisha Nchi jirani, Mikoa na umeme Kuna ujenzi meli Ziwa Tanganyika, uwanja wa ndege, hospital ya Rufaa ya Kanda,Tawi la BoT na Mabwawa ya Umeme na Tactic.

Kigoma ya Sasa na itakayolnekana mwaka 2025 kamwa haitafanana na Miji yeyote uchwara hapa Tanzania kama Moshi,Tabora au Singida. Kazi iendelee.
👇
 
Kigoma ya zamani sio ya sasa, twende haraka kutumia fursa kwa sababu mkoa huu bado haujafikiwa na ardhi yake ni nzuri kwa kilimo na mvua ni ya uhakika.
 
Habari Wadau..

Kuna msemo wa Kiswahili unasema kawia ila ufike..

Waziri wa Ujenzi Prof.Mbarawa amewaagiza Mameneja wa Mikoa wa TanRoads Nchi nzima kwenda Kigoma Kujifunza Ujenzi wa Barabara Bora na za Kisasa kuanzia underpasses,overpasses,pedestrian traffic lights,keep left nk zinafanywa Ili kuwa na matumizi Bora ya Barabara.

Baada ya Mkoa wa Kigoma kutengwa kimiundombinu ya umeme na Barabara Kwa muda mrefu, hatimaye Rais dokta Samia ameamua kufanya kweli.

Serikali ya awamu ya 6 imewafita machozi na maumivu ya miaka Mingi Wana Kigoma Kwa kuwamwagia miradi mikubwa ya Barabara za kufungua Mkoa huo Kila pande.

Kwa mujibu wa Meneja wa TanRoads Mkoa wa Kigoma ,Kuna jumla ya miradi 12 ya ujenzi wa Barabara inaendelea Mkoani huko huko Wachina wakikimbiza kazi Kwa Kasi kubwa.

Bila shaka Ile ndogo ya Kigoma kuwa kama Dubai huenda inaenda kutimia maana ukiacha Barabara za kuunganisha Nchi jirani, Mikoa na umeme Kuna ujenzi meli Ziwa Tanganyika, uwanja wa ndege, hospital ya Rufaa ya Kanda,Tawi la BoT na Mabwawa ya Umeme na Tactic.

Kigoma ya Sasa na itakayolnekana mwaka 2025 kamwa haitafanana na Miji yeyote uchwara hapa Tanzania kama Moshi,Tabora au Singida. Kazi iendelee.

View attachment 2535914
Mkuu, kuna barabara ya Tabora-Kigoma, inakaribia miaka 10 bila kukamilika wakati ile ya Tabora-Katavi nasikia imekamilika, huko Lwama kulikoni?

Vv
 
Mkuu, kuna barabara ya Tabora-Kigoma, inakaribia miaka 10 bila kukamilika wakati ile ya Tabora-Katavi nasikia imekamilika, huko Lwama kulikoni?

Vv
Ni kweli hiyo Barabara ya Tabora to Kigoma Kuna vipande 2 vinasua sua na sababu kubwa ni pesa zinatolewa kidogo kidogo hasa awamu ya Jiwe alitelekeza Mkoa wa Kigoma kabisa
 
Baada ya Mkoa wa Kigoma kutengwa kimiundombinu ya umeme na Barabara Kwa muda mrefu, hatimaye Rais dokta Samia ameamua kufanya kweli.

Serikali ya awamu ya 6 imewafita machozi na maumivu ya miaka Mingi Wana Kigoma Kwa kuwamwagia miradi mikubwa ya Barabara za kufungua Mkoa huo Kila pande.

Kwa mujibu wa Meneja wa TanRoads Mkoa wa Kigoma ,Kuna jumla ya miradi 12 ya ujenzi wa Barabara inaendelea Mkoani huko huko Wachina wakikimbiza kazi Kwa Kasi kubwa.
Subirini yule wa rangi hii atajitokeza soon akisema ni juhudi zake
 
Ni kweli hiyo Barabara ya Tabora to Kigoma Kuna vipande 2 vinasua sua na sababu kubwa ni pesa zinatolewa kidogo kidogo hasa awamu ya Jiwe alitelekeza Mkoa wa Kigoma kabisa
Kila kitu ni jiwe, tunaenda miaka mitatu tangu afe bdo ni yeye tu we maku kweli
 
Back
Top Bottom