kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Haya sasa! Ritz, Bocho, ZeMarcopolo, chama, NasDaz na genge lenu tunaomba maoni yenu kuhisiana na speech ya Lipumba. Sina la kuongeza, wacha Profesa atoe "lecture" mwenyewe akishirikiana na mashehe wenzake! Ha ha ha!
Duh! Haya mambo yanatisha wakuu! Kumbe ndio siasa za Tz zimefikia huko? UNBELIEVABLE!
Hapa hawawezi kutia neno.