Aibu zingine bwana.
Mpaka mie nnae tazama naona aibu. daah
Haya mambo kwa kweli yalinipita kushoto sana.raha sana ngoja nitafute kiserengeti sasa hawa wazee wapo busy mara watumbuliwe majipu,mara ukuta , pressure tupu wanamuota tu magufuli,ila vivulana hv havina haraka na maisha raha tupu
Watu hatufanani wengine tunatafuta wazee hawana presha vijana hawajatuliaraha sana ngoja nitafute kiserengeti sasa hawa wazee wapo busy mara watumbuliwe majipu,mara ukuta , pressure tupu wanamuota tu magufuli,ila vivulana hv havina haraka na maisha raha tupu
The best couple in townNdio kina nani hao?
Mwanaume wa DarAlafu utakuta aliyeleta huu uzi ni mwanaume
Nipo hapa hata usiende miles nyingiraha sana ngoja nitafute kiserengeti sasa hawa wazee wapo busy mara watumbuliwe majipu,mara ukuta , pressure tupu wanamuota tu magufuli,ila vivulana hv havina haraka na maisha raha tupu
The best couple in town..!?The best couple in town
Mi mwenyew nimejikuta naona aibu kuitazama nikaishia tu kusoma postsAibu zingine bwana.
Mpaka mie nnae tazama naona aibu. daah