Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,833
- 50,018
Akose kwa lipi? yeye ndo wa kwanza kufanya ujinga? hamuwaoni wanaomuattack. Ulitaka akae chini alie??Aache bange yeye ni brand kubwa sana anaweza jikosesha deal kipumbavu maana kulamba deal za corporate sio kazi ndogo