Bodaboda hamnazo. Hawa bodaboda walipaswa kuuawa woteSijajua nini hasa jamaa alichokuwa analalamika hapa, ila jambo la kujifunza kupitia clip hii ni kwamba, usipoteze sana muda wako kumfokea mtu aliyekuzidi kwenye jambo fulani ikiwa hajaonesha dalili ya kukusikiliza.
View attachment 2785484
Hujajamba wakati unacheka?Nimecheka kinoma
Soon wabongo wataanza kuwafanyia hii kitu bodaboda mijiniSijajua nini hasa jamaa alichokuwa analalamika hapa, ila jambo la kujifunza kupitia clip hii ni kwamba, usipoteze sana muda wako kumfokea mtu aliyekuzidi kwenye jambo fulani ikiwa hajaonesha dalili ya kukusikiliza.
View attachment 2785484
Hawa jamaa huwa ni walalamishi sana barabaran,wakat wao ndo huwa wanamakosa mengi SanaBodaboda hamnazo. Hawa bodaboda walipaswa kuuawa wote
Hawa jamaa huwa ni walalamishi sana barabaran,wakat wao ndo huwa wanamakosa mengi SanaBodaboda hamnazo. Hawa bodaboda walipaswa kuuawa wote
Hata mimi nimeona raba kama ipo ktk mzingo ambao sio wa kawaidaItakuwa kavunjika mguu kabisa
Duh, hapo kungekuwa na gari lingine nyuma alikuwa anapitiwa juu.Sijajua nini hasa jamaa alichokuwa analalamika hapa, ila jambo la kujifunza kupitia clip hii ni kwamba, usipoteze sana muda wako kumfokea mtu aliyekuzidi kwenye jambo fulani ikiwa hajaonesha dalili ya kukusikiliza.
View attachment 2785484