Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,363
- 34,558
Ndio mkuuHahahahah unazitafuta ila unatumia za mumeo!
Ndio mkuuHahahahah unazitafuta ila unatumia za mumeo!
Hawa wanakuja siku izi naona ni matupu..ila kuna mwaka ule wachina wana tandika mabomba ya maji pale kimara Dsm basi kuna kibarua mmoja alijifanya mkaidi alichezea kung fu pale site hakuamini alichokivunaKumbe sio Kila mchina anajua Kung Fu😀😀
Vikolofi vichina avifaiDuh ila naye mchina kampiga na hiyo helmet kichwani hadi imelia paa! Sijui wamekwazana nini jamani🤔
Wakuta umerudi na manundunundu wanasema umepoteza mvuto.kumbe ni purukushani za utafutajiNdio muone hela mnazoomba omba kizembe zinapatikaneje
Unadhani kila mzungu ni padriKumbe sio Kila mchina anajua Kung Fu😀😀
Discipline kwanza ndio mpango mzimaHii tabia ya kishamba watu wanapigana sehemu yenye vitu vya hatari vyuma watu wako bizze kuchukua video je mmoja angechukua chuma akamuuwa mwenzie yaani kuna watu wa ajabu kweli
Mambo magumu kaziniWakuta umerudi na manundunundu wanasema umepoteza mvuto.kumbe ni purukushani za utafutaji
Kama vikorofi ni kupigwa tu hamna namna 😂Vikolofi vichina avifai