Video: Mtanzania amdunda mchina kazini

Kumbe sio Kila mchina anajua Kung Fu😀😀
Hawa wanakuja siku izi naona ni matupu..ila kuna mwaka ule wachina wana tandika mabomba ya maji pale kimara Dsm basi kuna kibarua mmoja alijifanya mkaidi alichezea kung fu pale site hakuamini alichokivuna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom