MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,671
- 48,445
Muhimu hii iwafikie wafia dini wa JF ambao hupenda sana kuabudu watu wa Iran na Uarabuni.... kuvaa kwako kanzu na kuotesha ndevu ili ufanane na wale haitoshi, ukiingia kwenye anga zao wanakuua, walimuua Mtanzania mmoja na kumtesa mwenzake.
View: https://youtu.be/PC0e170GSug?si=ZHbPD25IF4W7Cz_h
View: https://youtu.be/PC0e170GSug?si=ZHbPD25IF4W7Cz_h