Hahahaah itabidi wabadili mtazamo Na waanze kuja huko.!
sema Abbas Mtemvu aliyekuwa mbunge wa temeke, usimuogope msororo69yule aliyekuwa mbunge wa nanihii hahusiki kweli
Mkuu upo!
Calm down. Unawajua waarabu wewe?Sasa huyo Sultan ndio nani? Bosi wake? Na amefanywa nini kiasi cha kulia hivyo? Amemwagiwa maji ya moto? Amechomwa na moto wa gesi? Amefanyiwa ukatili wa kijinsia systematically on a regular basis?, anatumikishwa kama punda na kunyimwa chakula na muda wa kupumzika? Ubalozi Wa Oman upo au haupo na kwanini hakwenda huko ubalozini? Wamemzuia kutoka nje ya nyumba na kumfungia ndani kama mfungwa/ mtumwa? Tungependa kujua haya na mengine mengi tu kabla hatujajadili chochote. Kwanza hii video umeitoa wapi?
Yeaaah USA BYB WAPE MPWAAA HUYO ATAKUWA ASHARIBIWA SANA KULEE ANALIA AKAPONE TU