mkishanyimwa posho ndio mnakuja huku .Safi sana Mbowe!
Inasemekana Chadema iliwakilishwa na wabunge 7 huku kukiwa hakuna mbunge wa ccm hata mmojaAmekwenda kuhudhuria maziko ya mstaafu aliyeagwa Dar juzi, eneo ni hilohilo.
Wote hao hawajajiandikisha lakin matokeo yakitoka wanadai kura zao zimeibiwa
Naamini kuanzia sasa mtaacha kuuliza uliza inapotekea kiongozi wa CCM ,au kaenda sahemu alafu akachukuliwa video za ghaflaKiongozi mzito kama huyu anayewindwa na awamu ya 5 kwa udi na uvumba hawezi kusafiri kibwege , anatembea na timu ya maofisa
Walijuaje yupo katika gari ,kwahiyo wakajiandaa kumrekodi ,haya ndio maswali wangejiuliza watu wa chadema kama ingekua ni kiongozi wa CCM
Yaani wewe dada ! Yaani saa saba usiku waamka / huku lala ajili ya kupost hako ka clip dhaifu hivyo 😳 du !Hebu jionee mwenyewe , ama kwa hakika usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 1231336
Chanzo kikuu cha umasikini ni usingizi na ccmYaani wewe dada ! Yaani saa saba usiku waamka / huku lala ajili ya kupost hako ka clip dhaifu hivyo 😳 du !
Kwa hili andiko la hovyo hivi ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri? Basi ni sawa na kusema kuwa wewe ndio genious huko ccm kwani iq yako iko below level na Kisha unajitapa! Wahi chamwino Kuna nyama na pombe ya bure iliyotolewa Kama ofa baada ya kujiandikisha!Ingekuwa haijiamini ingechagua watu wa kujiandikisha. Kwanza hii kubembelezwa ni uungwana tu wa rais. Miaka ya nyuma mwanaccm mmoja alikuwa na uwezo wa kujiandikisha hata mara tano na anapiga kura.
Mkipewa fursa mnaongea, mkinyimwa fursa mnaongea.
Wingi wa kura unatoa nafasi ya watu kujitafakari wamekosea wapi hata wakichakachua lakini ukweli unabaki kuwa hatukubaliki hapa. Mkiacha wengine wakichagua hata kumi na wakichagua ccm itaonekana wazi kuwa tunakubalika hapa isipokuwa wapiga kura ndio wachache. Tatizo la nyumbu ni kutotumia akili.
Kwa heshima ipi aliyokuwanayo kwa taifa hili?! Nilifikiri ni mmoja wa waliowaumiza sana watanzania!Inasemekana Chadema iliwakilishwa na wabunge 7 huku kukiwa hakuna mbunge wa ccm hata mmoja
usiteseke sana mkuuKweli hiki kijiji kina watu hawa tuu? Kweli wengi sana hongera kwa umati mkubwa sana uliojitokeza.
Kuna neno umesema ccm yako kwamba miaka ya nyuma mwana chama wenu alikuwa anauwezo wa kujiandikisha zaidi ya mara tano hii ni kwa maana bado mchezo mchafu wenu hujakomaa labda mfe wote ndipo tupate serikali mpyaIngekuwa haijiamini ingechagua watu wa kujiandikisha. Kwanza hii kubembelezwa ni uungwana tu wa rais. Miaka ya nyuma mwanaccm mmoja alikuwa na uwezo wa kujiandikisha hata mara tano na anapiga kura.
Mkipewa fursa mnaongea, mkinyimwa fursa mnaongea.
Wingi wa kura unatoa nafasi ya watu kujitafakari wamekosea wapi hata wakichakachua lakini ukweli unabaki kuwa hatukubaliki hapa. Mkiacha wengine wakichagua hata kumi na wakichagua ccm itaonekana wazi kuwa tunakubalika hapa isipokuwa wapiga kura ndio wachache. Tatizo la nyumbu ni kutotumia akili.