Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,490
- 215,332
Hebu jionee mwenyewe , ama kwa hakika usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upendo wa kweli hapo hakuna ving'ora, hakuna ngoma wala wasanii. Wananchi wanajua Mkombozi wa kweli.Hebu jionee mwenyewe , ama kwa hakika usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
Kwani hao wapiga kura si wanachagua mgombea wanaemtaka? Kwako ni kwaajili ya chadema tu CCM hawawahusu? Au CCM tayari wana kurazao zimesha pigwa zipo kwenye mabox mnasubiri kuingizwa Sikh ya uchaguzi ndiyo maana wapiga kura wote wanaonekana ni wa ChademaMunazidi kuwapoteza kiukweli wapiga kura munabaki na matapu tapu mpaka imefika mahala jafo anatuma maombi ya kutumika ubabe wa kulazimisha raia kujiandikisha kana kwamba ni wajibu nasio halali!!!!
Asikuambie mtu hii serikali ya ccm bado ina wasi wasi na haijiamini mpaka leo sijui kwa nini ngoja tuone mwakani itakuwaje watakuja na ngojera gani maana kauli mbiu ni itakuwa #ChaguatabuaunafuuKwani hao wapiga kura si wanachagua mgombea wanaemtaka? Kwako ni kwaajili ya chadema tu CCM hawawahusu? Au CCM tayari wana kurazao zimesha pigwa zipo kwenye mabox mnasubiri kuingizwa Sikh ya uchaguzi ndiyo maana wapiga kura wote wanaonekana ni wa Chadema
Ingekuwa haijiamini ingechagua watu wa kujiandikisha. Kwanza hii kubembelezwa ni uungwana tu wa rais. Miaka ya nyuma mwanaccm mmoja alikuwa na uwezo wa kujiandikisha hata mara tano na anapiga kura.Asikuambie mtu hii serikali ya ccm bado ina wasi wasi na haijiamini mpaka leo sijui kwa nini ngoja tuone mwakani itakuwaje watakuja na ngojera gani maana kauli mbiu ni itakuwa #Chaguatabuaunafuu
Sasa mnalamika nini?Ingekuwa haijiamini ingechagua watu wa kujiandikisha. Kwanza hii kubembelezwa ni uungwana tu wa rais. Miaka ya nyuma mwanaccm mmoja alikuwa na uwezo wa kujiandikisha hata mara tano na anapiga kura.
Mkipewa fursa mnaongea, mkinyimwa fursa mnaongea.
Wingi wa kura unatoa nafasi ya watu kujitafakari wamekosea wapi hata wakichakachua lakini ukweli unabaki kuwa hatukubaliki hapa. Mkiacha wengine wakichagua hata kumi na wakichagua ccm itaonekana wazi kuwa tunakubalika hapa isipokuwa wapiga kura ndio wachache. Tatizo la nyumbu ni kutotumia akili.
Na hafiutateseka sana , bila msaada wowote
wananchi wamechoka sana na hii electoral system na mfuko mzima siasa za vyama vingi. Uchaguzi si jambo la muhimu tena sababu maelekezo ya uongozi yana upendeleo wa wazi kwa CCM. Watanzania si wajinga sana na wanajua wanachokitaka.Ingekuwa haijiamini ingechagua watu wa kujiandikisha. Kwanza hii kubembelezwa ni uungwana tu wa rais. Miaka ya nyuma mwanaccm mmoja alikuwa na uwezo wa kujiandikisha hata mara tano na anapiga kura.
Mkipewa fursa mnaongea, mkinyimwa fursa mnaongea.
Wingi wa kura unatoa nafasi ya watu kujitafakari wamekosea wapi hata wakichakachua lakini ukweli unabaki kuwa hatukubaliki hapa. Mkiacha wengine wakichagua hata kumi na wakichagua ccm itaonekana wazi kuwa tunakubalika hapa isipokuwa wapiga kura ndio wachache. Tatizo la nyumbu ni kutotumia akili.
Kweli dunia haishi vituko!Hebu jionee mwenyewe , ama kwa hakika usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 1231336
Ushaanza kuwashwa kama kawaida yakoWote hao hawajajiandikisha lakin matokeo yakitoka wanadai kura zao zimeibiwa
Mungu mbariki Freeman MboweKweli dunia haishi vituko!
Kura yako siyo haki yako, ni haki ya CCM.Kwani hao wapiga kura si wanachagua mgombea wanaemtaka? Kwako ni kwaajili ya chadema tu CCM hawawahusu? Au CCM tayari wana kurazao zimesha pigwa zipo kwenye mabox mnasubiri kuingizwa Sikh ya uchaguzi ndiyo maana wapiga kura wote wanaonekana ni wa Chadema
Kiongozi mzito kama huyu anayewindwa na awamu ya 5 kwa udi na uvumba hawezi kusafiri kibwege , anatembea na timu ya maofisaWalijuaje yupo katika gari ,kwahiyo wakajiandaa kumrekodi ,haya ndio maswali wangejiuliza watu wa chadema kama ingekua ni kiongozi wa CCM
Amekwenda kuhudhuria maziko ya mstaafu aliyeagwa Dar juzi, eneo ni hilohilo.Walijuaje yupo katika gari ,kwahiyo wakajiandaa kumrekodi ,haya ndio maswali wangejiuliza watu wa chadema kama ingekua ni kiongozi wa CCM
MUGABE YA BONGO HAHAHAHebu jionee mwenyewe , ama kwa hakika usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 1231336