Fikiri kwanza is the most important thing kabla ya kukimbilia kujibu kishabeki tu, masaa yote mnasupport watu blindly bila ya kujua undani wao, mnapiga vita juhudi za JPJM za ku-deal na ma Demi Gods walio kuwa wanalipeleka puta Taifa letu kwa kufanya mambo ya ndio sivyo as if Serikali ilikuwa imekwenda likizo - kajitokeza Mzalendo wa ku-deal na vices hizi headon nyinyi mnambeza beza tu bila aibu!!!
Rais Micheal wa Msumbiji aliwahi kusema wakoloni wana ubaya wao, lakini wabaya zaidi ni Waafrika wanao wawezesha Wakoloni kutawala/Plundering Natural Resources za Bara letu na kufirisi Mashirika ya UMMA kwa kuwarubuni Waswahili walio pewa dhamana ya kuyasimamia, mambo haya yamefanyika sana hata hapa kwetu Tanzania - who needs watu wasio kuwa na uchungu wa kweli kuhusu Bara letu na watu wake - Kwa bahati mbaya baadhi yenu hilo amulioni, kila kitu mnakichukulia kisiasa siasa tu.
Back 2 the main point - jaribu kuangalia nilikuwa namjibu nani kuhusu nini? Alisema Babu/Baba yake alikuwa tajiri sana!! Mimi ndio nikamkumbusha kuhusu Quality Garage kama anajua historia yake.