Video: Manji anahuzunisha, anataka kulia

Video: Manji anahuzunisha, anataka kulia

CCM hawampendi sababu ya utajiri wa babu yake ndiyo maana wanamtesa wanavyotaka wao.

Mnazungumza vitu gani hapa lakini? - Hivi unajua vizuri historia ya Quality Garage? Mbinu za kumanipulate Mashirika ya UMMA hazikuanza leo tangu utawala wa awamu ya kwanza!!!
 
Ukimuona mtu analalamika kuhusu kushitakiwa kwa Manji, tambua kuwa ana akili ya mkopo.
Ukiona jitu linafurahia kushitakiwa kwa Manji hilo ni punguani limejaa wivu rohoni!! Huu siyo Ukristu haki ya nani! Hebu watu tuache visasi,, yaani kuambiwa tu siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa ndo ulipize visasi namna hiyo? Mungu hapendagi ujinga, watu watakufa vibaya sana!!
 
Your brain might has some problem.

Hivi unaifuatilia vizuri kesi ya Manji..au unafuatilia ushabiki?
Is there any part that suit Manji for insulting?

Jamii ya watu kama nyinyi ndiyo mnaofanya mpaka leo ccm inaendelea kutusumbua.
Ukiona jitu linafurahia kushitakiwa kwa Manji hilo ni punguani limejaa wivu rohoni!! Huu siyo Ukristu haki ya nani! Hebu watu tuache visasi,, yaani kuambiwa tu siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa ndo ulipize visasi namna hiyo? Mungu hapendagi ujinga, watu watakufa vibaya sana!!
 
Your brain might has some problem.

Hivi unaifuatilia vizuri kesi ya Manji..au unafuatilia ushabiki?
Is there any part that suit Manji for insulting?

Jamii ya watu kama nyinyi ndiyo mnaofanya mpaka leo ccm inaendelea kutusumbua.
Hakuna atakayeishi madarakani milele yote! Kulikuwa na enzi za akina Mkapa lakini zilipita,, na hii nayo itapita tu!!
 
CCM hawampendi sababu ya utajiri wa babu yake ndiyo maana wanamtesa wanavyotaka wao.
Siyo ccm bali ni mjomba. Sisi tunampenda sana amekuwa mwokozi wetu kwa mambo mengi. Alituokoa wkt wa kagoda agricultural alitulipia 40bln cash. Huyu jamaa hayajui haya na hata kama angekuwa anajua hana shukurani kbs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manji kawa kama mwarabu...kivipi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia hizo picha muonekano wake...
Yusuf-Manji-002.jpg
3X6A8524.jpg
mande.jpg
DSC_0275.JPG
3X6A8564-950x633.jpg
hqdefault.jpg
 
Mnazungumza vitu gani hapa lakini? - Hivi unajua vizuri historia ya Quality Garage? Mbinu za kumanipulate Mashirika ya UMMA hazikuanza leo tangu utawala wa awamu ya kwanza!!!
Ameshitakiwa kwa ufisadi wa Qwality Garage au ameshitakiwa kwa madawa ya kulevya?
 
Manji alijisahau sana aliiweka dola mfukoni hata polisi walimuogopa
 
Ameshitakiwa kwa ufisadi wa Qwality Garage au ameshitakiwa kwa madawa ya kulevya?

Fikiri kwanza is the most important thing kabla ya kukimbilia kujibu kishabeki tu, masaa yote mnasupport watu blindly bila ya kujua undani wao, mnapiga vita juhudi za JPJM za ku-deal na ma Demi Gods walio kuwa wanalipeleka puta Taifa letu kwa kufanya mambo ya ndio sivyo as if Serikali ilikuwa imekwenda likizo - kajitokeza Mzalendo wa ku-deal na vices hizi headon nyinyi mnambeza beza tu bila aibu!!!

Rais Micheal wa Msumbiji aliwahi kusema wakoloni wana ubaya wao, lakini wabaya zaidi ni Waafrika wanao wawezesha Wakoloni kutawala/Plundering Natural Resources za Bara letu na kufirisi Mashirika ya UMMA kwa kuwarubuni Waswahili walio pewa dhamana ya kuyasimamia, mambo haya yamefanyika sana hata hapa kwetu Tanzania - who needs watu wasio kuwa na uchungu wa kweli kuhusu Bara letu na watu wake - Kwa bahati mbaya baadhi yenu hilo amulioni, kila kitu mnakichukulia kisiasa siasa tu.

Back 2 the main point - jaribu kuangalia nilikuwa namjibu nani kuhusu nini? Alisema Babu/Baba yake alikuwa tajiri sana!! Mimi ndio nikamkumbusha kuhusu Quality Garage kama anajua historia yake.
 
Back
Top Bottom