ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,901
- 3,858
Akitaka kuokoka hii kesi basi aukatae Utanzania na abakie na passport ya Canada ama UK. Hapo atatetewa na wenyewe kama ni raia wao!
but kwa kesi gani?. kesi za manji unaziona zipo sawa na za boss wa sumsang. issue siyo kushitakiwa but mazingira na aina ya kesi zake ndiyo tatizoKorea kusini wamemtia hatiani bosi wa sumsang nkajiuliza uku bongo ukimshitaki maji eti ni visasi, husipomshitaki eti serikali inabagua daaa
Tazama hii video.....
Manji jikaze kaka
Sisi Watanzania tunaongoza kwa Unafiki wa kiwango cha SGR mkuu. Jamaa wa Samsung amehukumiwa kwenda jela miaka 5. Suala la Manji hawa hawa watetezi wake ndio walikuwa vinara wa kuibua mambo yake ya kifisadi kipindi cha nyuma. Leo hii sheria zinachukua mkondo wake wanasema anaonewa kwa visasi! Dah!Korea kusini wamemtia hatiani bosi wa sumsang nkajiuliza uku bongo ukimshitaki maji eti ni visasi, husipomshitaki eti serikali inabagua daaa
CCM ndo kirusi cha matatizo yote katika nchi hii. Huyo Manji hakuna lolote hapo serikali ya ccm wanataka kummaliza kwa sababu wanazozijua wao.
Bashite alimwambia aripoti Polisi Ijumaa yeye akakaidi akaenda Jtano. Tangu hiyo Jtano hajawahi kuwa guru hadi Leo. Ile sura yake nzuri imepotea Maskini!We Bashite unajua hoja gani?
Kama taifa tumenufaikaje?Bashite alimwambia aripoti Polisi Ijumaa yeye akakaidi akaenda Jtano. Tangu hiyo Jtano hajawahi kuwa guru hadi Leo. Ile sura yake nzuri imepotea Maskini!
tena hapa mipango mlionayo ni kuhakikisha anaikosa hata hiyo nafasi ya udiwani ili muweze kumshughulikia vizuri. chuki na visasi ni kitu mbaya sana.Kumbuka huyu ni diwani wa ccm Mbagala!?
Kweli nimeamini siyo wapinzani wote wanafaham wanachopinga.
Tumemuadabisha, akitoka sasa itakuwa anaongea na waliofugwa.Kama taifa tumenufaikaje?
Sawa BashiteT
Tumemuadabisha, akitoka sasa itakuwa anaongea na waliofugwa.