Video: Manji anahuzunisha, anataka kulia

Video: Manji anahuzunisha, anataka kulia

Bora wamfunge sasa maana ile kesi ya passport 3 haisikiki tena zinasikika za mikojo na kuhujumu uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala ya magwanda ya jeshi!! Hapa ni mwendo wa kuchomeka na kuchomoa! Kwa hili la Manji Nipo tayari kupimwa mkojo! Huyu ni mmoja wao! Na naamini kuwa hukumu anayoipata ni kwa mujibu wa viapo vyao!njia yao ni tofauti na njia zetu! Namhurumia sawa tu na ninavyomhurumia chui mfu anayetafunwa na kundi la tai(vulture?) japo wote ni wala nyama(cannibals)
 
Wala ya magwanda ya jeshi!! Hapa ni mwendo wa kuchomeka na kuchomoa! Kwa hili la Manji Nipo tayari kupimwa mkojo! Huyu ni mmoja wao! Na naamini kuwa hukumu anayoipata ni kwa mujibu wa viapo vyao!njia yao ni tofauti na njia zetu! Namhurumia sawa tu na ninavyomhurumia chui mfu anayetafunwa na kundi la tai(vulture?) japo wote ni wala nyama(cannibals)
Mkuu inafika kipindi hujui kipi ni kipi kesi ya khajiba huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimuona mtu analalamika kuhusu kushitakiwa kwa Manji, tambua kuwa ana akili ya mkopo.
Korea kusini wamemtia hatiani bosi wa sumsang nkajiuliza uku bongo ukimshitaki maji eti ni visasi, husipomshitaki eti serikali inabagua daaa
 
Dah! Mkuu umetoa hoja moja nzito sana.. Hata mkewe haonekani? Hata watoto wake hawaonekani? He has been left all alone na wale waliofaidi jasho lake!
Ccm mlivyo na roho mbaya hv hamkawii kuwapa kesi ya uraia, si kwamba hawataki kuja bali wanaogopa;ccm inainyanyasa sana familia ya manji
 
Back
Top Bottom