slowpancha
Senior Member
- Jul 27, 2014
- 184
- 102
Touch screen ndio mpango mzima
Tunatazama wowowooo!Me nimeridhika na flatskirini yangu na sitamani msambwanda
Wakukatisha tamaa hutawakosa watu wanapenda wanawake wa aina mbalimbali kwa uzoefu wangu.ndio ya baba kwani kuna tatizo.?
Kila mtu ana choice yake tatizo mnapenda mpendwe na kila mwanaume anaepita mbele yenu... hapo ndo mnapokoseaHahah huyo wa sponge pole ake maana lazima akubali kuvua nguo gizani tuu,...ila wangejua kuwa hawa viumbe hawajui wakitakacho waketulia tuu na flat zao.....maisha ni "simpo sana".
Mkuu bila picha huwa hatuelewi kabisaNilipokua mdogo nilikua nakasirika watu wakinisema Kuhusu wowowo langu ,,,kumbe hawakujua ......Leo ndo habari ya mujiniiiii
huwa sikatishwi Tamaa na wavulana mkuu.Wakukatisha tamaa hutawakosa watu wanapenda wanawake wa aina mbalimbali kwa uzoefu wangu.
Akisema ww mbaya wapo wengine wanaokutaman...
Wa umbo, rangi au kabila flani wapo wanaotaka wakat wengine hawatak
Mkielewa saikolojia ya wanaume wala hamtasilikiza hizi shombo.
Anakua huyo japo ana umri mkubwahuwa sikatishwi Tamaa na wavulana mkuu.
msimu huu wa kuelekea Christmas mjipange haswa...Mmh team flat screen full kuandamwa msimu huu
kAwaida mbona wanakua mwili akili ya kivulanaAnakua huyo japo ana umri mkubwa
Katika maisha sio kila kitu lazima uwe nacho au umiliki,vingine lazima ukubali kuvikosa tuu,hao wahivyo hawajielewi na kujitambua ndio maana nikaandika "maisha simpo sana" ukijua unachokitaka.....ila kila mtu na "hulka" yake.Kila mtu ana choice yake tatizo mnapenda mpendwe na kila mwanaume anaepita mbele yenu... hapo ndo mnapokosea
Ugonjwa wangu huo....Me nimeridhika na flatskirini yangu na sitamani msambwanda
Nafuu wewe maana kila mtu sikuhizi anaugonjwa wa kuku kubwa kubwaUgonjwa wangu huo....
Hio misambwana ione kwenye nguo tu, ikitoa nguo wala haitamanishi!Nafuu wewe maana kila mtu sikuhizi anaugonjwa wa kuku kubwa kubwa
Sio yote lakini michache inahamasisha ujue....Hio misambwana ione kwenye nguo tu, ikitoa nguo wala haitamanishi!
Inahamasisha ikiwa ndani ya jeans tight...kama unaitamani vileeeSio yote lakini michache inahamasisha ujue....
heeeeh makubwaMe nimeridhika na flatskirini yangu na sitamani msambwanda