VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

Sikiliza video clip sio unatetea ujinga au modem yako ina kb 45 unaogopa kudownload video?

Wewe ndio mwenye shida umbeya tunautaka sisi unaatck personalities hapa sio kinondoni umeleta kwa sababu umeset agenda tunakujua in and out hukawii kuita mods mwogakama panya na umbeya wako
 
ZeMarcopolo Josephine ni mwanamke shoka na mpambanaji asiyechoka.Nitamuunga mkono mpaka mwisho wa uhai wangu...!


Molemo issue sio kummunga au kutokumuunga mkono.

Issue ni kwamba yeye Josephine ana nafasi gani CHADEMA na kama anastahili kutumia rasilimali za chama kama kiongozi?

Ungeweza kujibu kuhusu nafasi yake na majukumu yake ndani ya CDM, ungemaliza ubishi wa hao wanaouliza.
 
Mimi ni mpenda maendeleo mkuu. Pesa ya chadema inatoka kwenye ruzuku. Ndio maana kuna mdau mmoja alishauri vyama visipewe ruzuku, viendeshwe kwa michango ya wanachama wake.
Tunasikia kwenu za chadema zinafunguliwa nyakati za uchaguzi tuu vipi usisaidie huko kama wenzio wafanyavyo
 
Molemo issue sio kummunga au kutokumuunga mkono.

Issue ni kwamba yeye Josephine ana nafasi gani CHADEMA na kama anastahili kutumia rasilimali za chama kama kiongozi?

Ungeweza kujibu kuhusu nafasi yake na majukumu yake ndani ya CDM, ungemaliza ubishi wa hao wanaouliza.

Mbona mimi nasupport shuguli za chadema na sio mwanachama napenda tuu mabadiriko nchi nzima nikizunguka vijana wenzangu na hakikisha nalala sahani moja nayo kama yeye anaweza wewe, mama mayo mukiweza all the best intimidation haikubaliki yaani mtu akose uhuru wake wa kidemokrasia kwa sababu head ma masalia atasema haa
 
Molemo issue sio kummunga au kutokumuunga mkono.

Issue ni kwamba yeye Josephine ana nafasi gani CHADEMA na kama anastahili kutumia rasilimali za chama kama kiongozi?

Ungeweza kujibu kuhusu nafasi yake na majukumu yake ndani ya CDM, ungemaliza ubishi wa hao wanaouliza.

Naona masalia mmeingilia huu uzi sitachangia tena.

Watu mmefukuzwa mambo ya Chadema yanawahusu tena nini?
 
Mkuu sisi Chadema tumeridhika kabisa.Wewe kinakuuma nini?
Haya ndio aliyapigia kelele marehemu Chacha Wangwe,ubadhirifu.Kwani ile kazi yake ya mkuu wa kitengo cha IT imeishia wapi au kimefutwa?
 
Halima ajikite akajenge chama Kawe kama akizembea kukuamini wewe janga la la kisiasa atajutia mwenyewe

Msioona na kuheshimu mchango wa Mdee Kawe ni wewe na Mushumbusi tu. Kabla ya 2010 chadema Kawe ilikuwa ni non existent. Unayoyaona leo yameletwa na Mdee. Sasa kama hamuamini endeleeni na harakati zenu, lakini hapa mjadala sio Kawe ni jinsi Mushumbusi anavyofuja pesa za chama kwa mgongo wa Slaa...
 
Na hili ndio tatizo kuu linaloikabili chadema sasa hivi...
Kwa heshima ya JF hatutataja majina lakini unajua mdada mweupe ng.ambo ya bahari wako,mdada aliyeko kwenye mgogoro na vijana wenzako wako hao ni wananchama wenzako na unajisuza angalia mkono wako vidole vingapi vimeangalia kwako
 
Naona masalia mmeingilia huu uzi sitachangia tena.

Watu mmefukuzwa mambo ya Chadema yanawahusu tena nini?
Molemo usikimbie tafadhali. Tangu Mbowe na Slaa walipoikimbia JF wewe ndio mtu pekee uliyebaki unayeweza kutolea ufafanuzi rasmi maswala ya chama. Tunakutegemea mkuu...
 
Last edited by a moderator:
Mwacheni shemeji yetu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Msioona na kuheshimu mchango wa Mdee Kawe ni wewe na Mushumbusi tu. Kabla ya 2010 chadema Kawe ilikuwa ni non existent. Unayoyaona leo yameletwa na Mdee. Sasa kama hamuamini endeleeni na harakati zenu, lakini hapa mjadala sio Kawe ni jinsi Mushumbusi anavyofuja pesa za chama kwa mgongo wa Slaa...

Mdee ananijua ni kati ya vijana tuliopambana kuhakikisha anapata ubunge mpaka sasa tunafanya kazi ya kufungua matawi na hata tumeenda kumueleza asikubaliane na umbeya wako wewe haswa kiongozi wewe mwenye roho ya korosho kwa sababu vijana na wananchi tunataka arudi bungeni tena kwa kuchaguliwa sio viti maalumu wewe unachangia sana kumchanganya wewe
 
Wewe ndio mwenye shida umbeya tunautaka sisi unaatck personalities hapa sio kinondoni umeleta kwa sababu umeset agenda tunakujua in and out hukawii kuita mods mwogakama panya na umbeya wako
Mtatumika sana kutetea uozo wa nyumbani kwa Babu.
 
Mbona mimi nasupport shuguli za chadema na sio mwanachama napenda tuu mabadiriko nchi nzima nikizunguka vijana wenzangu na hakikisha nalala sahani moja nayo kama yeye anaweza wewe, mama mayo mukiweza all the best intimidation haikubaliki yaani mtu akose uhuru wake wa kidemokrasia kwa sababu head ma masalia atasema haa

Of course wote tunapenda mabadiliko lakini swali ni kuwa wewe kama kijana ukiamua kuzunguka TZ nzima, ni nani atakayegharimia safari zako hizo? Lakini pia chama lazima kiwe na nidhamu ya nani anaweza kuzungumza kama msemaji wa chama, sio kila mtu mwenye uwezo wa kusema aseme! ebo!
 
Acha unafiki wewe wakujifanya unamtakia meme Halima Mdee kuzidi wanachadema! Hahahahahahah uzuri tunawafahamu kwa uchonganishi!
Tangia lini ukawa na uchungu na mwanachadema wewe!

Hatuto yumbishwa na propaganda hizi kamwe!

Msioona na kuheshimu mchango wa Mdee Kawe ni wewe na Mushumbusi tu. Kabla ya 2010 chadema Kawe ilikuwa ni non existent. Unayoyaona leo yameletwa na Mdee. Sasa kama hamuamini endeleeni na harakati zenu, lakini hapa mjadala sio Kawe ni jinsi Mushumbusi anavyofuja pesa za chama kwa mgongo wa Slaa...
 
Last edited by a moderator:
Kweli mbulula mna kazi mtu mwanamke kuvuruga ndoa ya watu bado mnamwita mama chadema.Aende Katesh kama yeye mwanamke kweli kama hajarudi hana kichwa
Wivu wa kike..
 
Molemo issue sio kummunga au kutokumuunga mkono.

Issue ni kwamba yeye Josephine ana nafasi gani CHADEMA na kama anastahili kutumia rasilimali za chama kama kiongozi?

Ungeweza kujibu kuhusu nafasi yake na majukumu yake ndani ya CDM, ungemaliza ubishi wa hao wanaouliza.

Barabara kabisa, hili ndio swali la msingi.
Izingatiwe pia kuwa Katibu Mkuu (Dr. Slaa) alitoa waraka wa kuwakataza baadhi ya viongozi wa chama kushiriki M4C. Viongozi hao wamelalamika lakini hawajasikilizwa, malalamiko yao yametupwa kapuni. Walipolalamika zaidi wamefutwa uanachama kinyemela bila kufuata katiba!!!
 
Anatumia pesa za M4C hana wasiwasi.
 
Back
Top Bottom