Hilo Bunge Maalum la Katiba litaitishwa tena kwa Sheria ipi?nimefura hisa kamanda kuiona hii video ngoja kijana afunguke tuzidi kumwombea kwa MUNGU azidi kutuelimisha,
na ningependa hii katiba ipigwe chini ili Bunge la Katiba liitishwe upya na ukawa wadumbukie humo moto uwake
Kama Tanzania ni nchi ya ajabu wewe mwenyewe ni mtu wa ajabu, right?Tanzania ni nchi ya ajabu kweli; Balozi kutoka Zanzibar naye amekuja na %$^&*() &**&&^& yake
Chonde chonde akina Rwakatare wa CHADEMA wasije wakamteka nyara!Wasije tu kumdhuru manake Sikh hizi hatuna viongozi bali watesaji na wauaji
Kwa hiyo UKAWA tu ndio wenye mawazo "mazuri?"Godfrey aliyepiga simu katika dakika ya 50 kutoka sumbawanga alikuwa ni kilaza kweli kweli. Hao ndio aina ya raia wa Tanzania wasioona mambo, wapo kutetea kila linalofanywa na serikali bila kuliangalia kwa mapana. Polepole alisema kuwa ataongelea mapungufu tu kwa vile kuna mazuri yalioyomo ndani ya katiba hayahitaji kuboreshwa zaidil; hal;afu huyu jamaa anakurupuka na kudaia kuwa @#$@$%$^$&^%^*&
Kwa hiyo UKAWA tu ndio wenye mawazo "mazuri?"
Unfortunately the majority rules, samaki mmoja akioza basi ni wote pia wanakuwa wameoza; kwa hiyo sijitengi. Ndiyo maana naishi chini ya utawala unaoendekeza rushwa hata kama siupendi, au wewe hujui maana yake?Kama Tanzania ni nchi ya ajabu wewe mwenyewe ni mtu wa ajabu, right?
Hilo Bunge Maalum la Katiba litaitishwa tena kwa Sheria ipi?
Sheria ya kura ya maoni ambayo hadi leo mainterahamwe hayataki kuiweka hadharani wakati jiaoshou kikwete amesha iassent
Hawa jamaa ndo tabia zao siku hizi wakiona unaleta vikwazo wanakukili tuWasije tu kumdhuru manake Sikh hizi hatuna viongozi bali watesaji na wauaji
Jamaa gani hao mkuu!Hawa jamaa ndo tabia zao siku hizi wakiona unaleta vikwazo wanakukili tu
Mbona mwana-UKAWA Polepole alikuwa anaitaja hiyo Sheria tena alinukuu vifungu vyake, aliipatia wapi?Sheria ya kura ya maoni ambayo hadi leo mainterahamwe hayataki kuiweka hadharani wakati jiaoshou kikwete amesha iassent