Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Mkuu, kukomboa nchi siyo lelemama. Aina ya watu kama hao unaosema wakakojoe walale ni wengi sana hapa nchini. Kazi ya cdm ni kuwaelimisha watu wa namna hiyo ili wafunguke.Wewe ndio unaumwa kweli, na wewe pia mbona ni kipeperushi cha CCM. Kwani hao tbc wasipotangaza habari za CHADEMA ndio kitakufa? tena ndio kitapanda chat, kabla ya kuchangia uwe unafikiria kwa kutumia akili, lakini kwa kuwa nawe ni kipeperushi sikushangai. Toka lini ukaona tbc inatangaza mazuri ya chadema? na hicho ulichoita kituo cha habari cha taifa kina msaada gani kwa taifa? kuonyesha ccm tu? wanashindwa kuonyesha matukio muhimu ya hapa tz wanaonyesha upuuzi mtupu. kakoje ulale:bange::bange::bange: