chikambabatu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,334
- 1,318
Upenda 'half confused' hata mumewe anamashaka nae, niliona pale kanisani alimwambia ajitambue kuwa yuko kanisani!Na mzee baba alimuona ndio the best wa kumkabidhi hio ofisi.
Upenda 'half confused' hata mumewe anamashaka nae, niliona pale kanisani alimwambia ajitambue kuwa yuko kanisani!Na mzee baba alimuona ndio the best wa kumkabidhi hio ofisi.
Na mimi pia nakusaidia kuona aibu! 🤣 🤣 🤣 🤣. Like POLES ATTRACT (kanuni ya physics, kwenye sumaku)Aibu naona mimi !
Hakuna Waziri hapo, hana tofauti na Kangi Lugora. Natabiri huyo Mwajuma ndala ndefu Gwajima ndo atakuwa Waziri wa kwanza kutumbuliwa na Mjomba MaguNi vituko juu ya vituko !
View attachment 1694738
Aaaaaaa........hata Mollel nae ni kituko kabisaaaaa, kwanza Mollel sometimes anakosea hata kutamka maneno, anajiumagaumaga tu huyu without confidence!!Huyu mama kila aongeapo naona aibu mimi sijui kwanini? Kwann asingebak Mollel?
HeheheheheNi vituko juu ya vituko !
View attachment 1694738
Sawa tu nchi ya chama kimoja hii.Ni vituko juu ya vituko !
View attachment 1694738
aisee usihusishe bange na wapuuzi wa namna hiiBangi mtu
Wasukuma wanatamba wenyewe, maisha raha bwerere kwa kodi zetu.aisee usihusishe bange na wapuuzi wa namna hii
nadhani huyu mama sio msukuma, she is from somewhere in singidaWasukuma wanatamba wenyewe, maisha raha bwerere kwa kodi zetu.
Mama wa kisukuma yupo "Happy " mwenyewe anaiona Dunia yote yake.
Mpaka DHAIFU Ndugai anamuona kama sisimizi vile.
Anamuona ni kichaa kama yeye mwenyeweNa mzee baba alimuona ndio the best wa kumkabidhi hio ofisi.
Aah yeye na huyo Ndugai wote ni walewale tu.Wasukuma wanatamba wenyewe, maisha raha bwerere kwa kodi zetu.
Mama wa kisukuma yupo "Happy " mwenyewe anaiona Dunia yote yake.
Kaokotwa tu kwa kua Msukuma kapewa ubunge na uwaziri juu.
Mpaka DHAIFU Ndugai anamuona kama sisimizi vile.