Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Kwa video hii napata Shida sana kuelewa kama wananchi wanajua majukumu ya mbunge wao.
Mbunge wa jimbo la Bukoba vijijini Jasson Rweikiza kwa kushirikiana na wananchi pamoja na wawindaji wameamua kuingia porini katika maeneo ya Kemondo wilaya ya Bukoba mkoani Kagera kwa ajili ya kuwaondoa Ngedere ambao wamekuwa kero kubwa kwa wananchi wa maeneo hayo.
Mbunge wa jimbo la Bukoba vijijini Jasson Rweikiza kwa kushirikiana na wananchi pamoja na wawindaji wameamua kuingia porini katika maeneo ya Kemondo wilaya ya Bukoba mkoani Kagera kwa ajili ya kuwaondoa Ngedere ambao wamekuwa kero kubwa kwa wananchi wa maeneo hayo.