Usichopenda ni nini sasa ....'msema ukweli' au ukweli wenyewe!? Ama ukweli umesingiziwa!
Wakuu, ukichukulia mkulu anavyonasibu huu mradi wa reli kwamba itakuwa ni masaa kumi tu kati ya Dar - Mza basi nashauri awasiliane ha hawa jamaa watuletee kama hizi!
Vichwa vinne vinavuta mabaehewa zaidi ya sitini.inabidi tuanze kufikiria shughuli mbadala wa malori yetu.Niache kuombea vitu vya msingi nimuombee huyo? Your not serious mkuu. labda kwa shetani but si kwa MUNGU ninaye muabudu. Over
Kweli huioni!? hebu azima miwani ya jirani yako!
Umeona eh, sema tatizo letu ni management na fitina. Ni wachache unajua kuwa TAZARA ni SGRDuuuh hiyo kitu sio mchezo...That thing is super huuuge! Ukipata hilo unasafirisha mizigo mara moja tu kwa week... Malori ni adui wa maendeleo
remember he's your excelenceNiache kuombea vitu vya msingi nimuombee huyo? Your not serious mkuu. labda kwa shetani but si kwa MUNGU ninaye muabudu. Over
Mkuu unavyo sema malori ni adui wa maendeleo unakuwa unamaanisha nini?Duuuh hiyo kitu sio mchezo...That thing is super huuuge! Ukipata hilo unasafirisha mizigo mara moja tu kwa week... Malori ni adui wa maendeleo
Expensive, Kuharibu miundombinu ya barabara, Risks na foleni barabarani, Environmental pollution etcMkuu unavyo sema malori ni adui wa maendeleo unakuwa unamaanisha nini?