Video: Haj Manara awashukia Waislamu

Video: Haj Manara awashukia Waislamu

Kwa hiyo wewe unamzidi manara kujua uislamu?!
Mwenzako alishakusa mkufunzi wa dini
Manara atamzidi Mtume Muhammad(SAW),aliyefanya kazi kwa Bi Khadija?Na pia akawa mfugaji?Role Model wa waislam ni Mtume Muhammad(SAW),sio Manara.Katika uislamu hakuna utofauti wa ibada kati ya Imam na waumini,wote wanafanya ibada sawa sawa,na wanaelekea muelekeo mmoja.
Ma Imam watafute kazi au wafanye biashara.Misikiti mingi ina frem.
na nje ya misikiti kuna wanaouza bidhaa mbali mbali.Mai
mam ,wafanye biashara,wafanyekazi.Uimam sio kazi,ni ibada.
 
Pengine Sio Tone nzuri ya kubembeleza lakini kwa jambo hili naamini nilikuwa sahihi!

Haiwezekani tusifiane Wafanyabiashara wengi ni Waislaam kisha Maimamu wengi wanaotuswalishia Miskiti yetu na Waalimu wanaotufundishia Watoto wetu elimu ya dini wawe omba omba na malofa!!

Tufikirie sasa kutengeneza mifumo sahihi itakayoondoa kabisa hili tatizo kwa jamii yetu!!

Mtu akiwa Imaam au Ustaadh wa Madrasa licha ya kulipwa malipo mema na Allah lakini tuwalipe vizuri ili kazi wanayoifanya iwe na thamani duniani na akhera Insha'Allah 🙏🙏

Nb: Msisahau tukifa hawa tunaowadharau hv sasa ndio wanaotustiri kwa kutuosha na kutuweka Makaburini

Maimam wafanyekazi,kama Mtume Muhammad(SAW)alifanyakazi kwa Bi Khadija kusimamia misafara ya biashara ya Bi Kadija na pia alikuwa mfugaji,hakusubiri sadaka.
 
Ni kweli Wafanyaniashara wengi ni Waislam ila ni Waarab, Wapemba Wahindi/Wapakistani na Wabangladesh. Hawa hawapendi mashirikiano na Waswahili, hata misikiti yao ya Upanga Maimam ni wao wenyewe

Washahili bado ni wagonga nyundo tu wakimiliki vigenge hapa na pale
Pana watu mna balaa sana daah eti sisi wagonga nyundo au ulimbo nimecheka saana.
 
Manara atamzidi Mtume Muhammad(SAW),aliyefanya kazi kwa Bi Khadija?Na pia akawa mfugaji?Role Model wa waislam ni Mtume Muhammad(SAW),sio Manara.Katika uislamu hakuna utofauti wa ibada kati ya Imam na waumini,wote wanafanya ibada sawa sawa,na wanaelekea muelekeo mmoja.
Ma Imam watafute kazi au wafanye biashara.Misikiti mingi ina frem.
na nje ya misikiti kuna wanaouza bidhaa mbali mbali.Mai
mam ,wafanye biashara,wafanyekazi.Uimam sio kazi,ni ibada.
sheikh hoja kubwa ya kuondoka nayo waumini wajitahidi kwa upande wa sadaka mkuu. haya ni malalamiko ya muda mrefu sadaka zitoke aisee
 
uimamu sio kazi,ni ibada,inatakiwa,Imam atafute kazi au biashara afanye.Mtume Muhammad (SAW),alifanyakazi Kwa Bi Khadija ya kusimamia misafara ya biashara za Bi Khadija,na pia alikuwa mfugaji wa wanyama,alifanyakazi,hakutegemea sadaka.N

Walizingatie hilo, ni kazi ya kujitoa.
 
Uimamu sio kazi,
walimu wa madrasa huwa wanaweka ada kwenye madrasa zao..
Tajiri anatakiwa atoe zaka na sadakaa huo ndio wajibu wao.
 
sheikh hoja kubwa ya kuondoka nayo waumini wajitahidi kwa upande wa sadaka mkuu. haya ni malalamiko ya muda mrefu sadaka zitoke aisee
Sadaka zinatakiwa za kuendeshea misikti sio kulipwa hao mashekhe,
Mashekhe wakatafute kazi za kufanya uzuri kwenye uislamu yoyote anaruhusiwa kuendesha swala hataa kama ni mtoto mdogo ukifika muda wa ibaada hakuna aliye wekwa alama lazima awepo yeye ndio mambo yaende kama upande wa pili..
Isipokuwa swala za jamaa.
 
Sadaka zinatakiwa za kuendeshea misikti sio kulipwa hao mashekhe,
Mashekhe wakatafute kazi za kufanya uzuri kwenye uislamu yoyote anaruhusiwa kuendesha swala hataa kama ni mtoto mdogo ukifika muda wa ibaada hakuna aliye wekwa alama lazima awepo yeye ndio mambo yaende kama upande wa pili..
Isipokuwa swala za jamaa.
mimi naendelea kukazia mkuu waumini waongeze nguvu kutoa sadaka. i know what am saying (hisani ya mkoloni)

mimi nipo upande wa kukazia tu
 
Ki ukwel inauma mi nakaa jirani msikiti wakati wa swala ya iddi imam yule anawaomba waumini wachangie 150k hadi unamuonea huruma anawavyobembeleza kuchangia kawapa hadi mwezi mzima..Sio poa
 
Ki ukwel inauma mi nakaa jirani msikiti wakati wa swala ya iddi imam yule anawaomba waumini wachangie 150k hadi unamuonea huruma anawavyobembeleza kuchangia kawapa hadi mwezi mzima..Sio poa
Walitoa kweli.
 
Kwahiyo wafanyabiashara ni hao tu.., unaangalia mapipa matatu yaliyojaa unaacha kuangali madumu milioni 1 yaliyojaa pia..
 
Sisi tunapotoa sadaka makanisan hawa hawa maimamu hutunanga kuwa tunaibiwa

UNGU MWENYEZI awasaidie
Wanaolalamikiwa wanaibia watu ni jamii ya kina mwamposa, zumaridi nk, nahii sio waislam tu hata Catholic, KKKT, ANGLICAN wanawaasa waumini wao kwenda huko wanaamini ni manabii wa uongo.
 
Back
Top Bottom