The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 968
- 1,064
Wakuu kwema
Mimi nimekua mhanga mkubwa saana wa kucheza video games kwenye computer na PlayStation kutokana Mimi nimejiajiri mwenyewe so nakua na mda mwingii Sasa hii imepelekea mahusiano yangu na baby mama kuzorota maana Mimi nikisahakaa kwenye PlayStation huwa sielewi Tena Jambo lolote naweza kulala saa 10 saa moja naaamka naenda kazini
Hili Jambo linamkera saana anaona Kama simjali kumbe nampenda saaana juzi tumeachana kisa videogames.
Wala sijamtafuta akanitumia text leo asubuhii saana akaniambia nichague kucheza games au yeye nikamuambia yeye Ila ukweli ni kwemba sitoweza kuacha kucheza game maana shaathirika kabisa
Wadau nampenda na sipendi nimkere Ila ndo hvo siwezi kuacha
Week moja iliyopita nimeagiza ps5 online soon inakujaa daah. Niko dilema naombeni ushauri ili niweze kutetea penzi langu
Mimi nimekua mhanga mkubwa saana wa kucheza video games kwenye computer na PlayStation kutokana Mimi nimejiajiri mwenyewe so nakua na mda mwingii Sasa hii imepelekea mahusiano yangu na baby mama kuzorota maana Mimi nikisahakaa kwenye PlayStation huwa sielewi Tena Jambo lolote naweza kulala saa 10 saa moja naaamka naenda kazini
Hili Jambo linamkera saana anaona Kama simjali kumbe nampenda saaana juzi tumeachana kisa videogames.
Wala sijamtafuta akanitumia text leo asubuhii saana akaniambia nichague kucheza games au yeye nikamuambia yeye Ila ukweli ni kwemba sitoweza kuacha kucheza game maana shaathirika kabisa
Wadau nampenda na sipendi nimkere Ila ndo hvo siwezi kuacha
Week moja iliyopita nimeagiza ps5 online soon inakujaa daah. Niko dilema naombeni ushauri ili niweze kutetea penzi langu