Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,859
- 38,463
ipo full pia gb 6. patch hiyoyeah nahisi pte patch ndo itakuwa fresh sana sema size yake
ipo full pia gb 6. patch hiyoyeah nahisi pte patch ndo itakuwa fresh sana sema size yake
Me nime sync Asilimia 37 mpaka sasa nakaribia kuimalizastory naielewa kwamba kenway ni babu yake connor.
mi mision za mameli ndo naonaga usenge hadi nimelifuta.. kuna mision nilikwama alimtail kamanda mmoja ikafika sehemu ikabidi amfukuze kwa miguu. basii hapo pamenisumbua hadi leo sijkavuka hiyo mision.
2019 seasonipo full pia gb 6. patch hiyo
Kwangu katika games kali ni call of duty hasa black ops 1 wakina mason, woods victor reznov acha kabisa jamaa wanajua sana
bado sijaanza rasmi kucheza cod opsKwangu katika games kali ni call of duty hasa black ops 1 wakina mason, woods victor reznov acha kabisa jamaa wanajua sana
Kweli kabisa but naona wazungu kuna ujumbe wanataka dunia ijue maana technology inayotumika humo siyo mchezo mfano black ops 2 kuna kumwokoa president wa USA ambaye ni mwanamke, pengine miaka inayo kuja mwanamke anaweza kuja kuongoza taifa la marekani.Noma sana.....kuna ile mission ya menendez ilikua noma...na kweny black ops 2 kuna mwana harper alkua anajua sana.
Woods mtu mbaya...yan cod za zaman zilkua poa..saiz cod hakuna kitu
Cod black ops ninoma kuna sehem wakina mason wanatumwa cuba wakamuue castro kinachotokea humo ni balaa, bila kusahau gereza la vorkuta na kichaa victor reznov akiwajaza morali wafungwa wenzake kutoroka We will be free or die trying. dah! Bonge la gamebado sijaanza rasmi kucheza cod ops
walifanikiwa kumuua castroCod black ops ninoma kuna sehem wakina mason wanatumwa cuba wakamuue castro kinachotokea humo ni balaa, bila kusahau gereza la vorkuta na kichaa victor reznov akiwajaza morali wafungwa wenzake kutoroka We will be free or die trying. dah! Bonge la game
Walimuua imposter and not Castrowalifanikiwa kumuua castro
Hawa kufanikiwa kumuua castro, castro alijitengeneza double kwahiyo walimua castro fake.walifanikiwa kumuua castro
so game itaisha bila kumuua castroWalimuua imposter and not Castro
ngoja nimalize metal gear solid five then nianze kucheza cod opsHawa kufanikiwa kumuua castro, castro alijitengeneza double kwahiyo walimua castro fake.
halafu me nimejaribu kuongeza viwanja lakini wapi. nilitaka vifike angalau 40. vipi wewe umefanikiwa2019 season
Tafuteni game inaitwa the Witcher 3 kuna jamaa alikua anacheza ni game moja taamu saana ina mission nzur mno za kusisimua
Hivi hii viiipii inafanana kidogo na assassin creed series?Tafuteni game inaitwa the Witcher 3 kuna jamaa alikua anacheza ni game moja taamu saana ina mission nzur mno za kusisimua
Mkuu ps4 unagame zipi bossPC YANGU
i5 3ghz
6gb ram
GTX 1030
BUT zile games kubwa kabisa nachezaga kwenye PS4 tu wala sina shida
nakushauri kama unataka kucheza games zote nzuri mpya tafuta ps4 au x box one