Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,697
- 218,219
Hiki ndio kipaumbele cha kwanza kukishughulikia , hakuna mchezo hata kidogo !
Umeandika kutaka kuonyesha kuwa amekosea lakini hujui tu... amefanya vizuri sana. Sijui uelewa wako kwenye haya mambo ya unyago kwa watoto lakini nikuambie tu ni utamaduni mbaya na uliopitwa na wakati na unatakiwa ukomeshwe kama ile tabia ya kukeketa.Hiki ndio kipaumbele cha kwanza kukishughulikia , hakuna mchezo hata kidogo !
Mimi nimeleta taarifa tu mkuu , sihusiki na hayo mengineUmeandika kutaka kuonyesha kuwa amekosea lakini hujui tu... amefanya vizuri sana. Sijui uelewa wako kwenye haya mambo ya unyago kwa watoto lakini nikuambie tu ni utamaduni mbaya na uliopitwa na wakati na unatakiwa ukomeshwe kama ile tabia ya kukeketa.
wapi amesema amekosea??Umeandika kutaka kuonyesha kuwa amekosea lakini hujui tu... amefanya vizuri sana. Sijui uelewa wako kwenye haya mambo ya unyago kwa watoto lakini nikuambie tu ni utamaduni mbaya na uliopitwa na wakati na unatakiwa ukomeshwe kama ile tabia ya kukeketa.
Umeandika kutaka kuonyesha kuwa amekosea lakini hujui tu... amefanya vizuri sana. Sijui uelewa wako kwenye haya mambo ya unyago kwa watoto lakini nikuambie tu ni utamaduni mbaya na uliopitwa na wakati na unatakiwa ukomeshwe kama ile tabia ya kukeketa.
Wewe ni punguani!Umeandika kutaka kuonyesha kuwa amekosea lakini hujui tu... amefanya vizuri sana. Sijui uelewa wako kwenye haya mambo ya unyago kwa watoto lakini nikuambie tu ni utamaduni mbaya na uliopitwa na wakati na unatakiwa ukomeshwe kama ile tabia ya kukeketa.
Umeandika kutaka kuonyesha kuwa amekosea lakini hujui tu... amefanya vizuri sana. Sijui uelewa wako kwenye haya mambo ya unyago kwa watoto lakini nikuambie tu ni utamaduni mbaya na uliopitwa na wakati na unatakiwa ukomeshwe kama ile tabia ya kukeketa.
...🤔🤔🤔Alipaswa kusaidia kuboresha Elimu inayotolewa kwny Unyago sio kupiga Marufuku
Naunga mkono hoja. Tamaduni za ajabu ajabu ambazo hazimjengi mtoto kifikra zinatakiwa kupigwa chini.Hiki ndio kipaumbele cha kwanza kukishughulikia , hakuna mchezo hata kidogo !
Safi sana..Apige marufuku na jando kabisa ili wanyonge wasitumie fedha kiholela. Hapo kazi tu. #MATAGAHiki ndio kipaumbele cha kwanza kukishughulikia , hakuna mchezo hata kidogo !
Mbona Mimi sijaenda ndio wapi hukoUlivyoenda unyagoni ulifundishwa nini mkuu?
Anayepiga marufuku ni ambaye hajajengwa kifikra.Naunga mkono hoja. Tamaduni za ajabu ajabu ambazo hazimjengi mtoto kifikra zinatakiwa kupigwa chini.