ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,116
- 49,840
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi ,(CCM), Daniel Chongolo, amebaini kusimama Kwa mradi wa skimu ya umwagiliziaji kutokana na uchakavu wa miundombinu uliokithiri, mradi huo upo katika Kata ya Ugalla Kijiji cha Katambike, mkoani Katavi.
Chongolo amesema mradi huo haufanyi kazi tangu mwaka 2007, hivyo ataongea na Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu mradi huo ambao inatakiwa ufanyike usanifu wa kina unaoendana na mazingira husika ili upatikane mradi ambao utakua endelevu na wa uhakika.
Kwa hili Bw.Chongolo Katibu Mkuu wa CCM nakupa pongezi sana,umekuwa unaenda maeneo ambayo Mawaziri mnaowateua hata Wakuu wa Mikoa au DC Huwa hawafiki.
Tumewahi enda Chocho Fulani kwenye miradi ya Serikali ndani kabisa kwenye Wilaya yaani ndio ilikuwa mara ya kwanza Kwa DC kufika anashangaa harafu anaona ni mateso na kudai hatorudia tena maana mazingira ya kufikika sio salama.
Sasa viongozi wa dizaini hiyo ndio wamekaa Tzn ,kazi Yao kubwa na kuzunguka kwenye Bar Mjini lakini Huwa hawapendi maeneo yenye Changamoto kutatua kero.
Just imagine huko uliko ni ndani sana hata RC hajui na hana Mpango wowote wa ku push mradi ila wewe umefika.
My Take
Shida yenu huko ccm mnapeana madaraka Kwa kujuana sana ndio maana hakuna Cha maana wanafanya walio wengi kuanzia Mawaziri,RC na DC.
Chongolo amesema mradi huo haufanyi kazi tangu mwaka 2007, hivyo ataongea na Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu mradi huo ambao inatakiwa ufanyike usanifu wa kina unaoendana na mazingira husika ili upatikane mradi ambao utakua endelevu na wa uhakika.
Kwa hili Bw.Chongolo Katibu Mkuu wa CCM nakupa pongezi sana,umekuwa unaenda maeneo ambayo Mawaziri mnaowateua hata Wakuu wa Mikoa au DC Huwa hawafiki.
Tumewahi enda Chocho Fulani kwenye miradi ya Serikali ndani kabisa kwenye Wilaya yaani ndio ilikuwa mara ya kwanza Kwa DC kufika anashangaa harafu anaona ni mateso na kudai hatorudia tena maana mazingira ya kufikika sio salama.
Sasa viongozi wa dizaini hiyo ndio wamekaa Tzn ,kazi Yao kubwa na kuzunguka kwenye Bar Mjini lakini Huwa hawapendi maeneo yenye Changamoto kutatua kero.
Just imagine huko uliko ni ndani sana hata RC hajui na hana Mpango wowote wa ku push mradi ila wewe umefika.
My Take
Shida yenu huko ccm mnapeana madaraka Kwa kujuana sana ndio maana hakuna Cha maana wanafanya walio wengi kuanzia Mawaziri,RC na DC.