GE2025 Video: Dar, Mgombea Diwani Rajabu Shabani Manyinya wa Kivule Akitoa Rushwa hadharani. TAKUKURU Kazi kwenu

GE2025 Video: Dar, Mgombea Diwani Rajabu Shabani Manyinya wa Kivule Akitoa Rushwa hadharani. TAKUKURU Kazi kwenu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,654
Reaction score
59,078
TAKUKURU, pokeeni kazi hii. Mshindi wa kura za udiwani Kata ya Kivule ndungu Rajabu Shabani Manyinya akitoa rushwa waziwazi siku moja kabla ya uchanguzi kufanyika.

Kata ya Kivule ipo Jimbo jipya la Kivule Jijini Dar es Salaam.

Nategemea kupoka majibu sahihi kutoka kwenuo

Hii rushwa yeye alisema [machungwa] alikuwa anayaatoa kwa wajumbe siku moja kabla ya uchaguzi uliofanyiaja tarehe 4/8/2025

Uzuri majina kajitaja mwenyewe na kazi zake.. Hamtatumia nguvu kumpata.. Kwenye Video kuna Viongozi wa CCM wa Kivule wanaonekana. Watawasaidia
IMG-20250805-WA0016(1).jpg


 
TAKUKURU, pokeeni kazi hii. Mshindi wa kura za udiwani Kata ya Kivule ndungu Rajabu Shabani Manyinya akitoa rushwa waziwazi siku moja kabla ya uchanguzi kufanyika.

Kata ya Kivule ipo Jimbo jipya la Kivule Jijini Dar es Salaam.

Nategemea kupoka majibu sahihi kutoka kwenuo

Hii rushwa yeye alisema [machungwa] alikuwa anayaatoa kwa wajumbe siku moja kabla ya uchaguzi uliofanyiaja tarehe 4/8/2025

View attachment 3432002
View attachment 3432003
View attachment 3432005
Kwani TAKUKURU Bado wapo?
 
Kazi ya hatari hiyo ulofanya, ila ni njema.
Kwamba itakuaje? Mimi sina Urafiki na Watoa Rushwa. Hata unifanye mwenyekiti wa Kamati ya Harusi. Ukitoa Rushwa nakichoma tu.

Nikishakuchoma nakuachia kazi ya kuitafuta roho yangu.. Huo unabaki kuwa ugomvi wake na Mungu🤣🤣
 
Wewe hujui TAKUKURU ni tawi la CCM kama Tanpol?

TAKUKURU wangekuwa na meno wangeanza na huyo mama yenu alivyogawa pikipiki na baiskeli ,fulana , kofia na mabango hiyo ni kampeni kabla ya muda nashangaa hata hiyo tume ya mama inayoitwa huru imekaa kimya sababu imejaa makada wa CCM halafu ndio mnataka CHADEMA ishiriki upumbavu huo?

Huyo hakamatwi hiyo ni desturi ndani ya CCM.
 
TAKUKURU, pokeeni kazi hii. Mshindi wa kura za udiwani Kata ya Kivule ndungu Rajabu Shabani Manyinya akitoa rushwa waziwazi siku moja kabla ya uchanguzi kufanyika.

Kata ya Kivule ipo Jimbo jipya la Kivule Jijini Dar es Salaam.

Nategemea kupoka majibu sahihi kutoka kwenuo

Hii rushwa yeye alisema [machungwa] alikuwa anayaatoa kwa wajumbe siku moja kabla ya uchaguzi uliofanyiaja tarehe 4/8/2025

Uzuri majina kajitaja mwenyewe na kazi zake.. Hamtatumia nguvu kumpata.. Kwenye Video kuna Viongozi wa CCM wa Kivule wanaonekana. Watawasaidia
View attachment 3432002
View attachment 3432003
View attachment 3432005
Mungu awabariki kwenye rushwa?
 
Halafu mtegemee akiingia serikalini awasaidie wananchi, lazima ajilipe pesa zake walizokula kipindi cha uchaguzi..!!

Hii nchi ina laana
 
Back
Top Bottom