Video clips: Godbless Lema mwoga dhidi ya Elizabeth Mambosho jasiri

Video clips: Godbless Lema mwoga dhidi ya Elizabeth Mambosho jasiri

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
17,562
Reaction score
27,633
Wakati Adv Mahinyila akipambana na Polisi, Godbless Lema akajifanya busy anakwenda kwa Msajili wa Mahakama Kuu. Angalia clip hapa:-


Wakati huohuo Elizabeth Mambosho mwanamama mjumbe wa mkutano mkuu CDM aliweza kumuokoa mwananchi kwenye kundi la askari 30. Angalia clip hapa:-


Chuma hiki hapa;-
20250917_181901.jpg
 

Attachments

  • tweeload_026cff30.mp4
    10.1 MB
  • 20250917_181901.jpg
    20250917_181901.jpg
    204.4 KB · Views: 19
Elizabeth alikuwa na nguvu nyuma yake.
Lema alikuwa peke yake. Halafu Lema aliambiwa ondoka au tutakufanya huyu. Halafu Lema alikuwa anaongea kama vile ana hangover.
 
Lema peke yake ulitaka afanye nini? Polisi wangepata nafasi ya kummaliza.

Tofautisha matukio. Huyo dada nyuma yake kulikuwa na watu wengine wa kumsaidia.

Still hiyo dada ni hero Lakini pia Lema alichukua maamuzi sahihi.
 
Lema peke yake ulitaka afanye nini? Polisi wangepata nafasi ya kummaliza.

Tofautisha matukio. Huyo dada nyuma yake kulikuwa na watu wengine wa kumsaidia.

Still hiyo dada ni hero Lakini pia Lema alichukua maamuzi sahihi.
Lema mwepesi sana. Huyu dada tumpe maua yake
 
Acheni kuwaza kwa kutumia hisia
Lema is most wanted person in the country now!
Analiwa target nalijua hilo na Nina uhakika na kuna mitego mingine mingi yaja dhidi yake !

Lema amepigania sana Tanzania si nje tu hadi ndani ya gereza !

Lema angekuwa mpuuzi angerusha ngumi!

Watu lazima tutumie akili kwanza
 
Acheni kuwaza kwa kutumia hisia
Lema is most wanted person in the country now!
Analiwa target nalijua hilo na Nina uhakika na kuna mitego mingine mingi yaja dhidi yake !

Lema amepigania sana Tanzania si nje tu hadi ndani ya gereza !

Lema angekuwa mpuuzi angerusha ngumi!

Watu lazima tutumie akili kwanza
Acha ushamba wewe kigagula mtu anazunguka kila mitaa anakuwaje target na asisikamatwe ,unapenda kuwalaza watu woga

USSR
 
Lema peke yake ulitaka afanye nini? Polisi wangepata nafasi ya kummaliza.

Tofautisha matukio. Huyo dada nyuma yake kulikuwa na watu wengine wa kumsaidia.

Still hiyo dada ni hero Lakini pia Lema alichukua maamuzi sahihi.
KIduku masema hivi:-
Screenshot_20250917_192304_X.jpg
 
Siasa Za maji taka.

Mpaka hapo lena bado Yuko sahihi, Ulitaka aanze kupigana na askari bila kujua hata kinaendelea nini? Unajua mwisho wake ingekuaje, Huoni wote wangekua kwenye kibano hapo akosekane hata wa kutoa dhamana?

Acheni chuki za kiwaki
 

Anae sema hivo yuko twitter na ID fake, Maelekezo meengi lkn alishindwa hata kwenda mahakamani kusikiliza kesi.

Watanzania wengi wana akili Ya kijinga kama hii, Inawezekanaje umdhihaki lema ambae amejitoa hata kuulizia kinaendelea niji mpaka kijana anakamatwa mzobe mzobe wakati yeye hata kuhudhuria mahakamani ameshindwa?
 
Acheni kuwaza kwa kutumia hisia
Lema is most wanted person in the country now!
Analiwa target nalijua hilo na Nina uhakika na kuna mitego mingine mingi yaja dhidi yake !

Lema amepigania sana Tanzania si nje tu hadi ndani ya gereza !

Lema angekuwa mpuuzi angerusha ngumi!

Watu lazima tutumie akili kwanza
Pale ndiyo Lema alipaswa kuonyesha ile sera ya KUKINUKISHA inavuofanyakazi.

Huwezi kuwa mwanaharakati halafu MUOGA. Ukiwa mwoga basi acha na na siasa fanya kazi nyingine.

Hii haina excuse kabusa kusema kuwa yuko targeted. Mbona Lissu yuko rumande kwa tuhuma za uhaini??

Ukifanya biashara ya utumbo usiogope nzi!!
 
Bora hata wewe Uliona Hio Gesture ya Lema aisee very defensive aisee, Mi mwanzo sikujua kuwa Wala askari kanzu wanamzogoa Mwenyekiti wa Bavicha, Kwa kweli Lema alizingua sana angefanya Vurugu nae aisee

Huwa nawaza inawezekana Lema ni Mpango wa The Old Chairman awepo chamani kwenye top position Ili kumonitor yanayoendelea chamani Ile Hali wenye Chama chao wakijipanga namna ya Kurejea au Kurudisha mtu wa Mlengo wao

Lema haaminiki hata kidogo
 
Pale ndiyo Lema alipaswa kuonyesha ile sera ya KUKINUKISHA inavuofanyakazi.

Huwezi kuwa mwanaharakati halafu MUOGA. Ukiwa mwoga basi acha na na siasa fanya kazi nyingine.

Hii haina excuse kabusa kusema kuwa yuko targeted. Mbona Lissu yuko rumande kwa tuhuma za uhaini??

Ukifanya biashara ya utumbo usiogope nzi!!
Anza wewe kukinukisha huku kwa kutumia majina yako matatu Kama lucas
 
Bora hata wewe Uliona Hio Gesture ya Lema aisee very defensive aisee, Mi mwanzo sikujua kuwa Wala askari kanzu wanamzogoa Mwenyekiti wa Bavicha, Kwa kweli Lema alizingua sana angefanya Vurugu nae aisee

Huwa nawaza inawezekana Lema ni Mpango wa The Old Chairman awepo chamani kwenye top position Ili kumonitor yanayoendelea chamani Ile Hali wenye Chama chao wakijipanga namna ya Kurejea au Kurudisha mtu wa Mlengo wao

Lema haaminiki hata kidogo
Nyie mashujaa wa I'd fake ni wajinga Sana
Anza wewe na kuandika majina yako rasmi humu alafu umkosoe mama

Busara ni muhimu kuliko nguvu
 
Key
Siasa Za maji taka.

Mpaka hapo lena bado Yuko sahihi, Ulitaka aanze kupigana na askari bila kujua hata kinaendelea nini? Unajua mwisho wake ingekuaje, Huoni wote wangekua kwenye kibano hapo akosekane hata wa kutoa dhamana?

Acheni chuki za kiwaki
Keyboard hero fake id ni wajinga Sana
 
Back
Top Bottom