Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,231
CCM imezidiwa nini huko Kilombero?!Hii ni aibu kubwa sana kwa Mtu mzima ambaye ni juzi tu ameteuliwa kutoka ccm Arusha na kuwa RC wa Morogoro .
Wewe muosha magari ya polepole utaijuaje nchi nzima ?CCM imezidiwa nini huko Kilombero?!
Acha urongo!
CCM imezidiwa nini huko Kilombero?!
Acha urongo!
Taarifa zinaonyesha kwamba 85% ya wagombea wa ccm wanamwaga rushwa kama mchanga , bali wanaokamatwa wanateuliwa maalumSio kilombero tu,nchi zima maana viongozi wanatoa rushwa kama wananunu uzima. Waambie MACCM wafanye ujinga wao tu lakini kifo kipo pale pale
Safari hii wizi wenu wa kura hautafanikiwa!Wewe muosha magari ya polepole utaijuaje nchi nzima ?
RPC Shilla(baba yake) hawezi kuingilia kati!!Hii ni aibu kubwa sana kwa Mtu mzima ambaye ni juzi tu ameteuliwa kutoka ccm Arusha na kuwa RC wa Morogoro .
😆😆😆😆Waziri Jafo amuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA jijini Arusha kwa kushindwa kuita Wananchi kushuhudia ufunguzi wa barabara
Waziri Jafo amuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA jijini Arusha kwa kushindwa kuita Wananchi kushuhudia ufunguzi wa barabara
Ila wewe Zuzu kweli sikutegemea kama utakuwa jinga kiasi hichiWewe muosha magari ya polepole utaijuaje nchi nzima ?
AiseeeeWewe muosha magari ya polepole utaijuaje nchi nzima ?
Hivi wanatumia vigezo gani kuteua ? huyu RC ana uwezo mdogo sanaYule Mkuu Wa mkoa Wa Moro uwezo wake mdogo sana, nimemsikiliza haeleweki kabisa.kiujumla Ni uonevu tu