Victor Ambrose ndie aliyerusha bomu kanisani !

Victor Ambrose ndie aliyerusha bomu kanisani !

Watanzania kuna watu wanatuchonganisha maana wadau wengi hawakutaka kusubiri ukweli na walichotaka wao ni Sheikh Ilunga tu akamatwe kana kwamba Sheikh Ilunga ana ugomvi nao !!

Baada ya kusikia ni Victor wameshakaa kimyaaa !

Kwanini alivaa kanzu ? Ili iweje ?

Kumbe watu wote 8 waliolipua Bomu wanaitwa Victor Ambrose! Sikujua! Ni kwanini wanaficha majina ya hawa wengine? Halafu kumbuka kwamba jina la mtu halibebi dini/Imani ya Mtu. Ndio maana Jaji Ramadhan ni Mkristo tena Mlokole. Sheikh Ilunga kama wenzie tu ni Gaidi.
 
Nijukumu langu kama RAIA mwema nihuzunike na nipate uchungu kwa hisia zote:- MojakwaMoja sintotetea niAmini usiAmini naomba ufungue kanafasi kifuani upoke majibu ya haki na yenye kutoka kwa vitabu vya haki:
1. Uisalamu ni kuamini na kushuhudiya (ALLAH) mungu ni mmoja wakuabudiwa. Kwa hiyo kwanini tupandikize chuki za kishetani?
( hatuna sehemu moyoni na kiimani kuweka UOVU waina yyte. iLa kutii na kumuabudu ALLAH )
2. Misikii yote ni sehemu ya ibadaa na (hujulikana nyumba ya kuabudu Allah) Ndani ya misikiti hatuna maduka, kuna jamvii na misahafu tu, Maji ya kutawadha yapo pembeni. Al-muhadhara ni mada ya kukumbushana kufanya MEMA na Kukatazana MABAYA ili ALLAH (mungu) akubali yetu na atupe kheri na baraka zake.
3. Hatuwezi kuweka Dola ingine juu ya serikali na nguvu zake zilivyo ili tulinde au kuzui magenge (unayoyaita wewe) au vituo (pia umevitaja wewe) ambayo hatuna kithibitisho maalum. Huo ni nafikiri kuna WIZARA ya NCHI na idara za INTELIJNSIA hiyo ni kazi yao UFANISI wa serikali UTATAMBUA kabla ya mimi na wewe kuwaelekeza wapi waende.
4. Umesha wahi kusikia siku ya ijumaa kwa waisilamu ni ibadaa ya adhuhuri!! hapo kunasomwa HOTUBA ya kila wiki(WEEKLY SERMON) mawaidha ZAIDI na UHAKIKA ina lenga KUTENDEANA UAMINIFU,UHALALI WEMA,NK. na kukaripia UFUSUKA, UOVU ,UFISADI na mengi ya yasiyoambatana na mafunzo ya DINI hii ya msamaha. AMIN
5. SOMO na HOTUBA za kuLAANI zipo katika kila SALAA (prayer) tano za siku; husemagwa hivi, "3UDHU BILAHI MINA SHEYTWANI AL-RAJIIM"

Wandugu zetu sheria za kimataifa yote ni kila mmoja awajibike na watoto wake na wanawe, ikiwa kosa la wachache au wahuni ( wenye sifa mbaya ) Musichanganye au KUJUMULISHA (GENERALIZATION) na Umma wa SALAAM na AMANI. hao wahalifu watiwe nguvuni na SHERIA ifuate mkondo nasi hakuna wa kuwa tetea wala kuwafuata.
Naamini nimekuridhisha ili tuweze songa mbele na kurekebisha ya kiURAIA. Dola nayo ijihusishe kikatiba.
Al-SALAAM liman Taba Al-HUDA. ahsante

Bla bla bla bla hazikusaidii kitu. Jibu articulately maswali haya:
  1. Je, mlikuwa wapi muda wote wakati mbegu ya chuki inapandwa?
  2. Wapanda chuki mbona walitumia mihadhara ya kidini na misikiti hiyo hiyo?
  3. Wewe na wenzako mnaotaka mjulikane sii kati ya hao unaowaita eti "wachache", mmetoa ushirikiano gani ili kufichua magenge na vituo vya mafunzo ya kigaidi vilivyotapakaa nchini - Tanga, Same, Arusha, Ukerewe na kwingineko?
  4. Mbona hatujawahi sikia mseme hayo mafunzo ya ugaidi mnayalaani?
  5. Mbona hamjawakana hao waliokuwa wanawapandikiza chuki?
Nitaendelea kukuita MNAFIKI usipokuwa na uwezo wa kujibu maswali hayo kiweredi.
View attachment 92776
 
Awe Victor au wasaudia, washughulikiwe ipasavyo...coz hakuna justification ya kutuua watanzania kwa kuturushia maguruneti.....


quote_icon.png
By Nyetk
Ndg life is Short naona unajitahidi kuhoji kwa hisia kutetea "innocency" ya hiyo dini yako. Waislamu wanaoongea kama wewe muda huu naomba wanijibu maswali haya: mlikuwa wapi muda wote wakati mbegu ya chuki inapandwa????? wapanda chuki mbona walitumia mihadhara ya kidini na misikiti hiyo hiyo? Wewe na wenzako mnaotaka mjulikane sii kati ya hao unaowaita eti "wachache", mmetoa ushirikiano gani ili kufichua magenge na vituo vya mafunzo ya kigaidi vilivyotapakaa nchini - Tanga, Same, Arusha, Ukerewe na kwingineko??? Mbona hatujawahi sikia mseme hayo mafunzo ya ugaidi mnayalaani? Mbona hamjawakana hao waliokuwa wanawapandikiza chuki? Ninapokosa majibu ya maswali haya nawaona ni WANAFIKI TU!



Nijukumu langu kama RAIA mwema nihuzunike na nipate uchungu kwa hisia zote:- MojakwaMoja sintotetea niAmini usiAmini naomba ufungue kanafasi kifuani upoke majibu ya haki na yenye kutoka kwa vitabu vya haki:
1. Uisalamu ni kuamini na kushuhudiya (ALLAH) mungu ni mmoja wakuabudiwa. Kwa hiyo kwanini tupandikize chuki za kishetani?
( hatuna sehemu moyoni na kiimani kuweka UOVU waina yyte. iLa kutii na kumuabudu ALLAH )
2. Misikii yote ni sehemu ya ibadaa na (hujulikana nyumba ya kuabudu Allah) Ndani ya misikiti hatuna maduka, kuna jamvii na misahafu tu, Maji ya kutawadha yapo pembeni. Al-muhadhara ni mada ya kukumbushana kufanya MEMA na Kukatazana MABAYA ili ALLAH (mungu) akubali yetu na atupe kheri na baraka zake.
3. Hatuwezi kuweka Dola ingine juu ya serikali na nguvu zake zilivyo ili tulinde au kuzui magenge (unayoyaita wewe) au vituo (pia umevitaja wewe) ambayo hatuna kithibitisho maalum. Huo ni nafikiri kuna WIZARA ya NCHI na idara za INTELIJNSIA hiyo ni kazi yao UFANISI wa serikali UTATAMBUA kabla ya mimi na wewe kuwaelekeza wapi waende.
4. Umesha wahi kusikia siku ya ijumaa kwa waisilamu ni ibadaa ya adhuhuri!! hapo kunasomwa HOTUBA ya kila wiki(WEEKLY SERMON) mawaidha ZAIDI na UHAKIKA ina lenga KUTENDEANA UAMINIFU,UHALALI WEMA,NK. na kukaripia UFUSUKA, UOVU ,UFISADI na mengi ya yasiyoambatana na mafunzo ya DINI hii ya msamaha. AMIN
5. SOMO na HOTUBA za kuLAANI zipo katika kila SALAA (prayer) tano za siku; husemagwa hivi, "3UDHU BILAHI MINA SHEYTWANI AL-RAJIIM"

Wandugu zetu sheria za kimataifa yote ni kila mmoja awajibike na watoto wake na wanawe, ikiwa kosa la wachache au wahuni ( wenye sifa mbaya ) Musichanganye au KUJUMULISHA (GENERALIZATION) na Umma wa SALAAM na AMANI. hao wahalifu watiwe nguvuni na SHERIA ifuate mkondo nasi hakuna wa kuwa tetea wala kuwafuata.
Naamini nimekuridhisha ili tuweze songa mbele na kurekebisha ya kiURAIA. Dola nayo ijihusishe kikatiba.
Al-SALAAM liman Taba Al-HUDA. ahsante kwa wote.
 
Watanzania kuna watu
wanatuchonganisha maana wadau wengi hawakutaka kusubiri ukweli na
walichotaka wao ni Sheikh Ilunga tu akamatwe kana kwamba Sheikh Ilunga
ana ugomvi nao !!

Baada ya kusikia ni Victor wameshakaa kimyaaa !

Kwanini alivaa kanzu ? Ili iweje ?

waliokamatwa wapo 10 kwa nini litajwe jina moja tu!
 
Mchana mwema na pole kwa jamii yote;
Samahani kwa sintofahamu za wengi Lakini Balaa hili linatuGUSA wote. Ndugu kwa huzuni na simanzi tupo pamoja na wote tumeathirika. hayo yote yalosemwa au kukadiriwa na wachangiaji humu kuJF ni hisia za watu wachache sana, na mawazo yao tu ..Na siyo tamko la dini ya kiislamu au mmafundisho ya waiIsalamu. Amini wapo kundi dogo mno linatumia agenda zao na njama za ki-sh-en-zi (aiybu tupu kwa dini) na uhuni wao kwenye mgongo wa Dini ya kislamu.. Ambayo Dini hii ni (iNNOCENT) pure and clean to humankind. Mie kama ni mmoja wawaumini niakuthibitishia kuwa wapo wahuni wasiyo ogopa mungu wala kuheshimu mwaongozo wa imani za dini, huwa wanajificha katika kivuli cha dini. Tunaiomba serikali ichukuwe jukumuu la kuwa ngo'a na kuwa kashifu hadharani, kwani hao wahalifu ndo walotufikisha hapa na kutupakazia matope kwa kutumia jina la mungu na dini yake.... Again nasikitika kusema tumeguswa sana na tukio la ugaidi huu usiyo na tija la aina yeyote. kama siye ni wananchi wenzenu naomba tuvumiliane na kushirikiana lisiendelee na kulikomesha papo hapo!! God forbid.
Udugu uendelee watanzania. amen

Mchana mwema na wewe.
 
Ni mara ngapi viongozi wa dini ya kikristu wamelalamika kwa serikali kuwa usalama wa wakristu uko mashakani?
Hivi inawezekana katika ule umati mkubwa na ugeni ule pale Arusha serikali ilishindwa kabisa kuweka japo doria?
sasa ni kwanini wakristu tuu? kwa kweli wananchi tunahitaji majibu mengi sana kutoka kwa serikali, Mbona serikali inasema ni sikivu? usikivu uko wapi? makanisa yalichomwa serikali kimya viongozi wakapigwa risasi kimya, viongozi wakauwawa bado serikali haikuona kulikuwa na kila sababu ya kuweka ulinzi pale Arusha?
 
Bla bla bla bla hazikusaidii kitu. Jibu articulately maswali haya:
  1. Je, mlikuwa wapi muda wote wakati mbegu ya chuki inapandwa?
  2. Wapanda chuki mbona walitumia mihadhara ya kidini na misikiti hiyo hiyo?
  3. Wewe na wenzako mnaotaka mjulikane sii kati ya hao unaowaita eti "wachache", mmetoa ushirikiano gani ili kufichua magenge na vituo vya mafunzo ya kigaidi vilivyotapakaa nchini - Tanga, Same, Arusha, Ukerewe na kwingineko?
  4. Mbona hatujawahi sikia mseme hayo mafunzo ya ugaidi mnayalaani?
  5. Mbona hamjawakana hao waliokuwa wanawapandikiza chuki?
Nitaendelea kukuita MNAFIKI usipokuwa na uwezo wa kujibu maswali hayo kiweredi.
View attachment 92776
Kaka yangu Samahani si nilikuambia UFUNGUE kifua kuMoyo kidogo:-
Nina uhakika SERIKALI au GOVT. zote huwapo " Ma-Iformers, MaPayi, MaJasusi au sijui mnawaitaje siku hizi hao wamekuwa wakihudhuriya MISIKITINI na Mikahawani mwa Waswahili na hata URAIANI na mitaani. hayo yalikuwepo
HONESTLY tangu nchi hii ilipopata UHURU !! hiyo injulikana !! ULIZA waliyokuzidi UMRI watakupa takwimu yakukuridhisha.
Hvi sasa wapo na harakati maalum. Kwahiyo nimesema vya kutosha, ukitaka kunielewa uhuru ni wako... Naukitaka KUTUKANA hakuna wakukuzuia, Sote tuna midomo na kila mmoja akasome KITABU alichoteremshewa.... Mwisho wasiku
wote tutafika katika MAHAKAMA HUU na kosomewa tuliyotenda hapa maishani mwetu.
Ndiyo maana husikii mchezo na nchi katika NATIONAL INTEREST & SECURITY.
 
inalilahi wa inahilai rajunVictor ndiyo nini? Una hakika ndo jina lake halisi? Unajua watu huwa wanakodiwa wakafanye uhalifu? Unajua aliyemtuma? Unajua njaa inaweza ikakufanya ukaua hata baba yako mzazi? Umeshamhoji akakwambia alitoa wapi hilo bomu? Ameshakwambia aliyemtuma? Ameshakwambia aliahidiwa nini? Umeshajiuliza katika hao tisa waliokamatwa kwa nini wametaja jina moja tu; kwani hao wengine hawana majina? Acheni kutuletea hoja za kututia hasira hapa! Nyambafu![/QUOTE]
 
quote_icon.png
By Nyetk
Ndg life is Short naona unajitahidi kuhoji kwa hisia kutetea "innocency" ya hiyo dini yako. Waislamu wanaoongea kama wewe muda huu naomba wanijibu maswali haya: mlikuwa wapi muda wote wakati mbegu ya chuki inapandwa????? wapanda chuki mbona walitumia mihadhara ya kidini na misikiti hiyo hiyo? Wewe na wenzako mnaotaka mjulikane sii kati ya hao unaowaita eti "wachache", mmetoa ushirikiano gani ili kufichua magenge na vituo vya mafunzo ya kigaidi vilivyotapakaa nchini - Tanga, Same, Arusha, Ukerewe na kwingineko??? Mbona hatujawahi sikia mseme hayo mafunzo ya ugaidi mnayalaani? Mbona hamjawakana hao waliokuwa wanawapandikiza chuki? Ninapokosa majibu ya maswali haya nawaona ni WANAFIKI TU!



Nijukumu langu kama RAIA mwema nihuzunike na nipate uchungu kwa hisia zote:- MojakwaMoja sintotetea niAmini usiAmini naomba ufungue kanafasi kifuani upoke majibu ya haki na yenye kutoka kwa vitabu vya haki:
1. Uisalamu ni kuamini na kushuhudiya (ALLAH) mungu ni mmoja wakuabudiwa. Kwa hiyo kwanini tupandikize chuki za kishetani?
( hatuna sehemu moyoni na kiimani kuweka UOVU waina yyte. iLa kutii na kumuabudu ALLAH )
2. Misikii yote ni sehemu ya ibadaa na (hujulikana nyumba ya kuabudu Allah) Ndani ya misikiti hatuna maduka, kuna jamvii na misahafu tu, Maji ya kutawadha yapo pembeni. Al-muhadhara ni mada ya kukumbushana kufanya MEMA na Kukatazana MABAYA ili ALLAH (mungu) akubali yetu na atupe kheri na baraka zake.
3. Hatuwezi kuweka Dola ingine juu ya serikali na nguvu zake zilivyo ili tulinde au kuzui magenge (unayoyaita wewe) au vituo (pia umevitaja wewe) ambayo hatuna kithibitisho maalum. Huo ni nafikiri kuna WIZARA ya NCHI na idara za INTELIJNSIA hiyo ni kazi yao UFANISI wa serikali UTATAMBUA kabla ya mimi na wewe kuwaelekeza wapi waende.
4. Umesha wahi kusikia siku ya ijumaa kwa waisilamu ni ibadaa ya adhuhuri!! hapo kunasomwa HOTUBA ya kila wiki(WEEKLY SERMON) mawaidha ZAIDI na UHAKIKA ina lenga KUTENDEANA UAMINIFU,UHALALI WEMA,NK. na kukaripia UFUSUKA, UOVU ,UFISADI na mengi ya yasiyoambatana na mafunzo ya DINI hii ya msamaha. AMIN
5. SOMO na HOTUBA za kuLAANI zipo katika kila SALAA (prayer) tano za siku; husemagwa hivi, "3UDHU BILAHI MINA SHEYTWANI AL-RAJIIM"

Wandugu zetu sheria za kimataifa yote ni kila mmoja awajibike na watoto wake na wanawe, ikiwa kosa la wachache au wahuni ( wenye sifa mbaya ) Musichanganye au KUJUMULISHA (GENERALIZATION) na Umma wa SALAAM na AMANI. hao wahalifu watiwe nguvuni na SHERIA ifuate mkondo nasi hakuna wa kuwa tetea wala kuwafuata.
Naamini nimekuridhisha ili tuweze songa mbele na kurekebisha ya kiURAIA. Dola nayo ijihusishe kikatiba.
Al-SALAAM liman Taba Al-HUDA. ahsante kwa wote.

Kaka yangu Samahani si nilikuambia UFUNGUE kifua kuMoyo kidogo:-
Nina uhakika SERIKALI au GOVT. zote huwapo " Ma-Iformers, MaPayi, MaJasusi au sijui mnawaitaje siku hizi hao wamekuwa wakihudhuriya MISIKITINI na Mikahawani mwa Waswahili na hata URAIANI na mitaani. hayo yalikuwepo
HONESTLY tangu nchi hii ilipopata UHURU !! hiyo injulikana !! ULIZA waliyokuzidi UMRI watakupa takwimu yakukuridhisha.
Hvi sasa wapo na harakati maalum. Kwahiyo nimesema vya kutosha, ukitaka kunielewa uhuru ni wako... Naukitaka KUTUKANA hakuna wakukuzuia, Sote tuna midomo na kila mmoja akasome KITABU alichoteremshewa.... Mwisho wasiku
wote tutafika katika MAHAKAMA HUU na kosomewa tuliyotenda hapa maishani mwetu.
Ndiyo maana husikii mchezo na nchi katika NATIONAL INTEREST & SECURITY.
 
Hata hao Wasaudia tutaambiwa majina yao ni John, Christopher, Paul etc ili mradi tu kuficha ukweli. Serikali itaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wale wasaudia walikuwa wasafiri halali wasio na kosa hivyo serikali inawaachia huru na kuwaomba radhi kwa kuwachelewesha safari yao. Hatimaye Chadema wataundiwa zengwe walipanga ugaidi ili nchi isitawalike!
 
Habari kila nikikaa na kuangalia hili swala yanakuja maswali mengi kichwani
1. Kwanini kila siku ni Wakatoliki tu?
2. Kwanini waziri nchimbi na Mh Lema wanataka kutulazimisha ni chuki za kidini?
3. Kwanini aliekamatwa sio muislam?
4. Kwanini hao waarabu na wakenya waliokuwa wakitaka kuvuka wamekamatwa na majina hayajatajwa?
5. Mpaka wetu ulifungwa kwa tangazo la nani na mamlaka ya nani?
6. Nani mwenye mamlaka ya kufunga mipaka ya nchi?
7. Nchi yetu inaelekea wapi?
8. Wale viongozi wa dini walioshiriki mauwaji ya kimbari rwanda amabao hawajaonekana hadi leo wapo wapi?
9. Hizi tuhuma za uuzaji wa madawa ya kulevya hazina nafasi katika hili?
10. Malalamiko yote ya siku zote leo ndio yanaonekana?
Wacha nivute pumzi mie.
Hii ndio tanzania yangu inawenyewe kama Clouds FM na wanaamua kufanya watakavyo
 
wakati wa maombolezi si muafaka kutafuta mchawi inalilahi wa ina ilaih rajuun aswa kwa tatizo ili mwenyezi mungu lipige ghalika lipotee katika uso wa nchi yetu na dunia kwa ujumla AMEEN.
 
Unajuaje kama hakupewa mpunga? Jamaa wanatumia fedha. Kwani Yuda hakumsaliti Yesu kwa vipande thelathini vya fedha? Tunao watu wenye tabia kama za Yuda Iskariote wengi katika nchi hii. Kinachosikitisha ni mauaji ya watu wasiokuwa na hatia. Hata hivyo njama na mipango imefanywa na hao hao ndugu zetu Waislamu. Ukubali au Ukatae. Habari ndio hiyo. Siko upande wowote wa dini siegemei kokote mods naomba ni declare interest. Dhamira yangu inanieleza kwamba hawa waarabu wanatumia ngawira kutuua. Huku Mtwara kuna waarabu wanajifanya kuja kuwekeza kwa kununua ma hekta na mahekta ya mashamba na wanavijiji wanajengewe only Misikikiti, Narudia only Misikiti (mgogoro mkubwa sana unafukuta chini kwa chini- baina ya mkuu wa Wilaya na hao wawekezaji kupitia vibaraka wao wanaotumia pia mbegu ya Udini na Hawa Ghasia mmojawapo. Kama naongopa Jamii Intelligence ichunguze.) Wanapita kwa huyo JK, TIC na kote huko. Ndio maana waswahili wanasema ficha ujinga wako onyesha hekima yako.
Ndugu yangu hatuwezi kuchukulia kwamba Waislamu woote ni wauwaji no!!
Kwa sababu wao wanaabudu dini kwa upeo wa kujua ni Mungu, si Mungu wakuuwa watu!! Huku vijijini na mijini tunaishi na ndugu waislamu tena ni wajomba shangazi, majirani hawana hiyo roho kuuwa watu!!
Sasa kuna watu kama Sheikhe Ilunga na kina Ponda wanapandikiza roho ya kuuwa watu kwa intrest zao, wala si dini kama Alqaida!! Ukiangalia kwa makini hata huko kwa serikali za kiislamu kama Iraq, Saudia, Misri watu wanauwana na ni dini moja!!
Hapa kwetu Tanzania tusikubali kuchonganishwa eti ni dini ya kiislamu ndio inaleta mauwaji, kusudi tukosane!!
Lengo la wauwaji ni kutaka tukosane tuingie kwenye vurugu, wanapandikizaji mbegu ya chuki, wanaleta uongo kwa kuleta kanda wanazouza na serikali inaziona kwenye vibanda, eti wawauwe makafiri wananyamaza!!
Matokeo ya uchochezi ndiyo hayo sasa, wamepata na mlango kuingia na kuuwa watu Mkuu anatangaza muuwaji mmoja mkristo eti tuamini wakristo waliusika , sawa lakini tujue kabisa kuna roho ya uchochezi!!!
Mbona kuna vituo vya madrasa wanafundisha kareti usiku na mchana hawachukuliwi hatua zozote, au kuna jeshi jipya limesajiliwa kwenye baadhi ya misikiti,na ni la nini hasa???
Hata ndugu zangu Waislamu tusikubali kupandikiziwa mbegu za chuki na uadui eti kuna makafiri, lazima tutumie akili kufikiri, mbona hawa makafiri tuliishi nao siku zote kuna nini sasa hadi tuwauwe???
Mungu huyo tunayemwabudu amebadili uelekeo, ameamua kumwaga damu sasa, tujiulize???

 
Tunajidanganya sana tukisema Tanzania ni kisiwa cha amani na utulivu. Hebu tajeni na majina ya hao tisa na wale waliotorokea kenya. Mmeshawajua walikuja lini na wametoka lini kwa hiyo majina mnayo acheni longolongo
 
Acha u*enge wewe, kwani kuitwa Victor ndiyo nini? Una hakika ndo jina lake halisi? Unajua watu huwa wanakodiwa wakafanye uhalifu? Unajua aliyemtuma? Unajua njaa inaweza ikakufanya ukaua hata baba yako mzazi? Umeshamhoji akakwambia alitoa wapi hilo bomu? Ameshakwambia aliyemtuma? Ameshakwambia aliahidiwa nini? Umeshajiuliza katika hao tisa waliokamatwa kwa nini wametaja jina moja tu; kwani hao wengine hawana majina? Acheni kutuletea hoja za kututia hasira hapa! Nyambafu!

Kwani hasira zako zikipanda ndio zitakutuma nini. Wewe katafute dawa akili zi poe. yoyote aliyehusika na hili jambo ni gaidi awe john, abdalah au pateli, hayo ni majina tuu, lazima source ya hii fitna ipatkane na mzizi ukatwe. Sisi watanzani first anything else to follow. Long live Tanzania.
 
Nimefurahi aliyekamatwa ni Ambrose, angekuwa mwingine sijui hali humu ingekuwaje.
 
Nijukumu langu kama RAIA mwema nihuzunike na nipate uchungu kwa hisia zote:- MojakwaMoja sintotetea niAmini usiAmini naomba ufungue kanafasi kifuani upoke majibu ya haki na yenye kutoka kwa vitabu vya haki:
1. Uisalamu ni kuamini na kushuhudiya (ALLAH) mungu ni mmoja wakuabudiwa. Kwa hiyo kwanini tupandikize chuki za kishetani?
( hatuna sehemu moyoni na kiimani kuweka UOVU waina yyte. iLa kutii na kumuabudu ALLAH )
2. Misikii yote ni sehemu ya ibadaa na (hujulikana nyumba ya kuabudu Allah) Ndani ya misikiti hatuna maduka, kuna jamvii na misahafu tu, Maji ya kutawadha yapo pembeni. Al-muhadhara ni mada ya kukumbushana kufanya MEMA na Kukatazana MABAYA ili ALLAH (mungu) akubali yetu na atupe kheri na baraka zake.
3. Hatuwezi kuweka Dola ingine juu ya serikali na nguvu zake zilivyo ili tulinde au kuzui magenge (unayoyaita wewe) au vituo (pia umevitaja wewe) ambayo hatuna kithibitisho maalum. Huo ni nafikiri kuna WIZARA ya NCHI na idara za INTELIJNSIA hiyo ni kazi yao UFANISI wa serikali UTATAMBUA kabla ya mimi na wewe kuwaelekeza wapi waende.
4. Umesha wahi kusikia siku ya ijumaa kwa waisilamu ni ibadaa ya adhuhuri!! hapo kunasomwa HOTUBA ya kila wiki(WEEKLY SERMON) mawaidha ZAIDI na UHAKIKA ina lenga KUTENDEANA UAMINIFU,UHALALI WEMA,NK. na kukaripia UFUSUKA, UOVU ,UFISADI na mengi ya yasiyoambatana na mafunzo ya DINI hii ya msamaha. AMIN
5. SOMO na HOTUBA za kuLAANI zipo katika kila SALAA (prayer) tano za siku; husemagwa hivi, "3UDHU BILAHI MINA SHEYTWANI AL-RAJIIM"

Wandugu zetu sheria za kimataifa yote ni kila mmoja awajibike na watoto wake na wanawe, ikiwa kosa la wachache au wahuni ( wenye sifa mbaya ) Musichanganye au KUJUMULISHA (GENERALIZATION) na Umma wa SALAAM na AMANI. hao wahalifu watiwe nguvuni na SHERIA ifuate mkondo nasi hakuna wa kuwa tetea wala kuwafuata.
Naamini nimekuridhisha ili tuweze songa mbele na kurekebisha ya kiURAIA. Dola nayo ijihusishe kikatiba.
Al-SALAAM liman Taba Al-HUDA. ahsante
Mkuu nimeyapenda maelezo yako, lakini je kanda za Shekhe Ilunga na mafundisho ya Bwana Ponda, unakubaliana nayo???
Kama sivyo je kugeuza madrasa shule za kareti na judo mafunzo ya kigaidi kwa manufaa gani na kwa faida ya nani???
Mbona hamjakemea hayo mafunzo na mapandikizi ya roho za chuki na kuuwa watu???
Mifano ni mingi, hadi hapa tulipofika unasemaje???

 
Mkuu nimeyapenda maelezo yako, lakini je kanda za Shekhe Ilunga na mafundisho ya Bwana Ponda, unakubaliana nayo???
Kama sivyo je kugeuza madrasa shule za kareti na judo mafunzo ya kigaidi kwa manufaa gani na kwa faida ya nani???
Mbona hamjakemea hayo mafunzo na mapandikizi ya roho za chuki na kuuwa watu???
Mifano ni mingi, hadi hapa tulipofika unasemaje???


Sifa zote zako mkuu Mtumishi wa jamii,
Niwajibu wangu na jukumuu langu kujishirikisha kukupa matumainimema na HAKI;
aa. Straight SIKUBALIANI nazo kiufundi hata kimantiki, kwetu mafundisho ni from Qura'an(kuwa siye na dini yetu nayie na DINI yenu).
bb. Ofoz. shule zote huwepo mazoezi ya kuimarisha afya ya vijana, Kwetu wasichana hawaruhusiwi kucheza michezo ovoyovyo kwa sbbu. kuhifadhi usafi(ubikira) wao. Kama uliona ya kigaidi peleka ushauri huo kwenye idara za husika/wizar.
cc. Mkuu siye waiislamu huwa tuna siku ya Ijumaa hapo adhuhuri kunakuwepo na Hotuba ya wiki nzima (weekly sermon)
zaiidi hotuba huzingatia matokeo yote ya kijamii na kulenga usuluhisho,uadilifu,ushirikiano,huruma kwa wanyonge na kukaripia maovu,uhalifu ,DHULUMA na matendo machau ya kisheitwani. na kumalizia kwa SALAA ya pamoja.
bila kusahau humo ndani ya msikiti wanakuwepo majasusi, mainformer na watu wa kutumwa toka serikalini, hayo yalikuwepo tangu nchi hii kupata uhuru, kwa hiyo habari zetu zote zipo katika mafili ya wakuu wa usalama nchini.

Mkuu weka imani kuwa tupo pamoja na wote tumeguswa na msiiba huu. naomba radhi kama sija weza kukamilisha
ombi lako muhimu. God bless us all .
 
Watanzania kuna watu wanatuchonganisha maana wadau wengi hawakutaka kusubiri ukweli na walichotaka wao ni Sheikh Ilunga tu akamatwe kana kwamba Sheikh Ilunga ana ugomvi nao !!

Baada ya kusikia ni Victor wameshakaa kimyaaa !

Kwanini alivaa kanzu ? Ili iweje ?
Ilunga anatakiwa akamatwe kwa kosa lake, na Victor kakamatwa na kosa lake.Ni watu wawili tofauti na makosa tofauti japo anaweza kuwa ametumwa na mtandao wa Ilunga
Kinachonishangaza ni kwa vipi Ilunga hakamatwi wakati ndiye aliyetoa maagizo. alisema kamata padri, askofu, walei ueni.Na ndiyo yanayotokea,Je unamtetea Ilunga kwa vigezo vipi.
 
Back
Top Bottom