Victor Ambrose ndie aliyerusha bomu kanisani !

Victor Ambrose ndie aliyerusha bomu kanisani !

huanza kidogo kidogo, as time goes on madhara yake mtayaona, waleeni, mkijifanya mnapenda amani, they will finish u up
 
Watanzania kuna watu wanatuchonganisha maana wadau wengi hawakutaka kusubiri ukweli na walichotaka wao ni Sheikh Ilunga tu akamatwe kana kwamba Sheikh Ilunga ana ugomvi nao !!

Baada ya kusikia ni Victor wameshakaa kimyaaa !

Kwanini alivaa kanzu ? Ili iweje ?


habari leo ni gazeti la kikwete, tafuta source ingine, mnatuletea vikatuni wahusika wako mtaani na ilunga wanakula tende kwa mrija.
 
huu ni ugaidi, si kama kesi ya uli na washiriki wake. Huyo aliyekamatwa wanahakika kuwa ndie? Si wanashuku watu, subiria tena fbi waje na picha, tuache wataalamu wafanye kazi, waziri asubiri upelelezi ufanyike. Kama ishu ni ugaidi, proces zake ni ndefu.
 
kwani hao tisa hawana majina? au coz ni waislamu?wametaja la kikristo ili watu watulize munkari. ccm wanadhani watanzania wa sasa wana umbumbumbu kama wa miaka ya arobaini.
 
Mkuu,
Mungu apishe mbali hayo.. hapo wapi? Labda mbona inaonekana kama Afika ya kati/congo/Ruwanda hivi au IRAQ?
Lakini hii sijambo la kujifaraguwa nalo !! au jambo la kukebehi !! Tafadhali tuwe wakweli katika nafsi zetu. Amina
Ni bora kujenga ya maana kuliko kuvunja udugu na uzalendo uliyokuwepo tangu miaka hiyo.
Tusimame pamoja katika wakati huu mgumu.

Nahisi ni ww pekee tu (if not acting) ndo utakuwa mgeni na picha hiyo cozi imesharudi hapa jamvini na FB time immemorial. Kwa kifupi hao walikuwa wakristo wanasali kanisani huko Nigeria wakavamiwa na kikundi cha magaidi wa kiislamu kiitwacho BOKO KHARAM na wakatendewa ukatili huo kwa jina la Allah anayeaminika ku Mungu na anayewatuma wamfanyie kazi hiyo. Saaa hivi vikundi vya waislam vya aina na nia ya Boko Kharam vimeundwa vingi na sehemu nyingi Tanzania na ndiyo vimeanza kutekeleza kazi ya huyo Allah! Vinafadhiliwa na waatabu fulani kupitia viongozi wa kuu wa nchi ambao ni waislam. Ndiyo maana serikali imekula ganzi tu. umeelewa sasa?

Ndiyo maana tunaposhuhudia haya yanatendwa dhahiri na waislamu halafu ww unaniimbia ngonjera ya UNDUGU yaani napata moto kishenz, maana hizo ni kejelii. Natamani sijui nikuoneje live ili nipunguze pressure!
 
Tutashuhudia mengi sana yaliyo nyuma ya pazia

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nilikuwa nafikiria hicho hicho, hapa yule mwanzilishi wa udini kacheza karata ili kupunguza makali ya udini. Wanajua walichoma makanisa, wakakimbia na kreti za bia, wakaua mapadri BUT hakuna kilichotokea. Sasa hili wanataka kutufanya wote mazuzu kwa kukimbilia kutaja jina. Kama Victor kakamatwa na tayari wanajua alirusha bomu, hao wengine wa nini na uchunguzi gani unaendelea maana waziri tayari ana majibu yote...???!!!!

Huo mfano wa marekani ni wa kijinga na kitoto sana..... !! Kumbe wanasikiliza ya marekani, sasa mbona hawajiuzulu wakikutwa na ma AK 47 hotelini na mahela, huku wakiwa bwiii na machangudoa kibao....!!
Serikali bana! Imekamata watuhumiwa tisa, lakini jina lililotajwa ni moja! Ha ha haa, mwenye akili jiulize!
 
Watanzania kuna watu wanatuchonganisha maana wadau wengi hawakutaka kusubiri ukweli na walichotaka wao ni Sheikh Ilunga tu akamatwe kana kwamba Sheikh Ilunga ana ugomvi nao !!

Baada ya kusikia ni Victor wameshakaa kimyaaa !

Kwanini alivaa kanzu ? Ili iweje ?

mrusha bomu ni Ambrose naa mhusika ni sheikh Ilunga kutoka Oman. period, we unabisha?!...........
 
Tutashuhudia mengi sana yaliyo nyuma ya pazia

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

thubutuuuuuuuuuuu yaliyo nyuma ya pazia yabaki huko huko wengine hatupendi fujo bora tuiishi kwenye amani yetu hii ya uongo na kweli.

aka babu lo tena ikiwezekana serikali ifiche hayo majina kabisaaaaaaaaa maana wakiristo wanaamini moja kwa moja kwamba kitendo kimefanywa na kikundi au kundi la waislamu.

mie naogopa mapanga jamani, bora wafiche tu ukweli kama walivyoficha ile ya Shauritanga school
 
kwani hao tisa hawana majina? au coz ni waislamu?wametaja la kikristo ili watu watulize munkari. ccm wanadhani watanzania wa sasa wana umbumbumbu kama wa miaka ya arobaini.

tangu lini wakiristo wakawa na munkari weye?

sie tunajua maana ya FORGIVE AND FORGET SABA MARA SABINI.

Jamani wakiristo chonde chonde, inaweza ikawa ni siasa tu na si udini.

lo! naogopa fujo mie mpaka basi
 
Zimefika zile nyakati ambazo kuwa MUISLAMU ni zaidi ya kushika koo la moto !

Mimi ntaendelea kujitambulisha kwa dini yangu kama mkiihitaji kama Muislam na wala sitaogopa kitu...Endeleeni kuwafitinisha Waislamu na Tanzania yao kwa maslahi yenu !
We are waiting....


How long do you want to wait. A day? a week? a month? au mwaka....
I am also waiting to see how long YOU will wait. We are also still waiting for names of the Arabs.
I wonder why they can't be given
 
Ndg life is Short naona unajitahidi kuhoji kwa hisia kutetea "innocency" ya hiyo dini yako. Waislamu wanaoongea kama wewe muda huu naomba wanijibu maswali haya: mlikuwa wapi muda wote wakati mbegu ya chuki inapandwa????? wapanda chuki mbona walitumia mihadhara ya kidini na misikiti hiyo hiyo? Wewe na wenzako mnaotaka mjulikane sii kati ya hao unaowaita eti "wachache", mmetoa ushirikiano gani ili kufichua magenge na vituo vya mafunzo ya kigaidi vilivyotapakaa nchini - Tanga, Same, Arusha, Ukerewe na kwingineko??? Mbona hatujawahi sikia mseme hayo mafunzo ya ugaidi mnayalaani? Mbona hamjawakana hao waliokuwa wanawapandikiza chuki? Ninapokosa majibu ya maswali haya nawaona ni WANAFIKI TU!
mnafiki wa kwanza ni wewe uliyeficha ukweli. Peleka taarifa zako polic nasio kuja kuposti hapa mara ukerewe mara sijui nini
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu hatuwezi kuchukulia kwamba Waislamu woote ni wauwaji no!!
Kwa sababu wao wanaabudu dini kwa upeo wa kujua ni Mungu, si Mungu wakuuwa watu!! Huku vijijini na mijini tunaishi na ndugu waislamu tena ni wajomba shangazi, majirani hawana hiyo roho kuuwa watu!!
Sasa kuna watu kama Sheikhe Ilunga na kina Ponda wanapandikiza roho ya kuuwa watu kwa intrest zao, wala si dini kama Alqaida!! Ukiangalia kwa makini hata huko kwa serikali za kiislamu kama Iraq, Saudia, Misri watu wanauwana na ni dini moja!!
Hapa kwetu Tanzania tusikubali kuchonganishwa eti ni dini ya kiislamu ndio inaleta mauwaji, kusudi tukosane!!
Lengo la wauwaji ni kutaka tukosane tuingie kwenye vurugu, wanapandikizaji mbegu ya chuki, wanaleta uongo kwa kuleta kanda wanazouza na serikali inaziona kwenye vibanda, eti wawauwe makafiri wananyamaza!!
Matokeo ya uchochezi ndiyo hayo sasa, wamepata na mlango kuingia na kuuwa watu Mkuu anatangaza muuwaji mmoja mkristo eti tuamini wakristo waliusika , sawa lakini tujue kabisa kuna roho ya uchochezi!!!
Mbona kuna vituo vya madrasa wanafundisha kareti usiku na mchana hawachukuliwi hatua zozote, au kuna jeshi jipya limesajiliwa kwenye baadhi ya misikiti,na ni la nini hasa???
Hata ndugu zangu Waislamu tusikubali kupandikiziwa mbegu za chuki na uadui eti kuna makafiri, lazima tutumie akili kufikiri, mbona hawa makafiri tuliishi nao siku zote kuna nini sasa hadi tuwauwe???
Mungu huyo tunayemwabudu amebadili uelekeo, ameamua kumwaga damu sasa, tujiulize???



Nlichogundua humu JF kuna watu hazijui DINI zao na wala hawajui zinavitu gani zina miliki kama taasisi

WAKRISTO;
Benedict father's Jimbo la Peramiho - Songea wanamiliki silaha nzito za Kivita. Unajua wanataka kuzitumia wapi na kama kanisa wameziingiza hapa nchini wa kibali gani na kazi zake hasa ni gani ?

Source; Raia mwema

WAISLAMU:
Watoto wa Kiislam hawatakiwi kuchukua/ kufanya mazoezi ya karate wala judo kwani kufanya hayo mazoezi na mafunzo ndio kuharibu amani ya Tanzania ?

Kwahiyo watoto wetu tuwaimbishe " Mapambio " tu peke yake ?

Kwanini Tunaogopana na kujadili Ujinga na ilihali kuna mambo mazito yanafanywa na Makanisa na watu wamepiga kimyaa tu miaka kibao....??
 
Nahisi ni ww pekee tu (if not acting) ndo utakuwa mgeni na picha hiyo cozi imesharudi hapa jamvini na FB time immemorial. Kwa kifupi hao walikuwa wakristo wanasali kanisani huko Nigeria wakavamiwa na kikundi cha magaidi wa kiislamu kiitwacho BOKO KHARAM na wakatendewa ukatili huo kwa jina la Allah anayeaminika ku Mungu na anayewatuma wamfanyie kazi hiyo. Saaa hivi vikundi vya waislam vya aina na nia ya Boko Kharam vimeundwa vingi na sehemu nyingi Tanzania na ndiyo vimeanza kutekeleza kazi ya huyo Allah! Vinafadhiliwa na waatabu fulani kupitia viongozi wa kuu wa nchi ambao ni waislam. Ndiyo maana serikali imekula ganzi tu. umeelewa sasa?

Ndiyo maana tunaposhuhudia haya yanatendwa dhahiri na waislamu halafu ww unaniimbia ngonjera ya UNDUGU yaani napata moto kishenz, maana hizo ni kejelii. Natamani sijui nikuoneje live ili nipunguze pressure!

Nyetk,
Nna wasiwasi na Uraia wako !
Wewee sio RAIA mwema ila ni MNAFIKI mwemaa, Baada ya kuviona hivyo vikundi kama BOKO HARAMA hapa Tanzania umechukua hatua gani kuviripoti kwenye vyombo vya Usalama ?

Unatakiwa kuripoti maswala hayo mahali husika na sio humu JF,Kama hujafanya hivyo bado huna hata akili ya kuolewa na kuwekwa ndani kama Mke ( hujakamilika ) !
 
Baada ya Mkenya kuhusishwa na tukio la kutekwa na kuteswa kwa Dr.Ulimboka katika mazingira ya utatanishi, sasa jeshi la polisi linawashikilia raia wa Saudi Arabia likiwatuhumu kuhusika na mlipuko wa bomu katika kanisa moja mjini Arusha.

Kwa mujibu wa maelezo ya waziri mkuu leo bungeni, raia hao walikamatwa walipokuwa wakitaka kuvuka mpaka wa Tanzania na kenya mpaka ambao ulifungwa kufuatia tukio hilo. Katika maelezo yake,Waziri Mkuu Pinda alisema polisi waliwashuku raia hao waliokuwa wakitaka kuvuka.

Kwa mazingara haya,ni wazi huenda raia hao wameshukiwa kama alivyoshukiwa yule Mkenya. Sitashangaa na wala haitakuwa ajabu kesho tukiambiwa hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa kuwahusisha raia hao na tukio hilo na hivyo polisi kulazimika kuwaachia huru.

Intelijensia ya polisi wetu iko chini sana na inaonekana kitengo husika hakina competent people!

Tusubiri tuone movie nyingine inayokuja.
 
Sioni similarities ktk matukio mawili unayoyazungumzia zaidi naona unaonesha ujinga wako. Polisi wanawashikilia hao Waarabu kwa sababu za uchunguzi sasa sijui wewe kwa akili yako ulitaka wamshikilie nani? Mama yako alikuwa around pale?
 
Sioni similarities ktk matukio mawili unayoyazungumzia zaidi naona unaonesha ujinga wako. Polisi wanawashikilia hao Waarabu kwa sababu za uchunguzi sasa sijui wewe kwa akili yako ulitaka wamshikilie nani? Mama yako alikuwa around pale?

Hata mimi matusi nayajua ili sioni busara yeyote kukutukana.Tukirudu kwenye hoja mimi nasema "time will tell"
 
Sioni similarities ktk matukio mawili unayoyazungumzia zaidi naona unaonesha ujinga wako. Polisi wanawashikilia hao Waarabu kwa sababu za uchunguzi sasa sijui wewe kwa akili yako ulitaka wamshikilie nani? Mama yako alikuwa around pale?

matusi ya nn BRO? Au ndo mwana mtoka pabaya..?
 
Back
Top Bottom