Serikali bana! Imekamata watuhumiwa tisa, lakini jina lililotajwa ni moja! Ha ha haa, mwenye akili jiulize!
Ukiunganisha kukamatwa kwa wasaudi hawa walioingia nchini siku moja kabla ya tukio na Ambrose inaonyesha kuwepo kwa mawasiliano ya muda mrefu. Kujua siku ya uzinduzi na mgeni mwalikwa.Wana JF,
Hata hivyo, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo, alisema waliokamatwa wamefikia 10, na raia hao wa nje ni wa Saudi Arabia.
Akielezea tukio hilo, Waziri Nchimbi alisema lilirushwa wakati mgeni rasmi, Balozi wa Vatican nchini na Mjumbe wa Baba Mtakatifu, Askofu Fransisco Padilla, akiwa ametoka nje ya kanisa akijiandaa kukata utepe kama ishara ya uzinduzi.
Alisema viongozi wa dini na Serikali waliohudhuria ibada hiyo, hawakupata madhara yoyote kutokana mlipuko huo. Udini Amewasihi Watanzania kuwa watulivu wakati vyombo vya dola vikiwasaka walihusika na shambulio hilo.
Source: Habari leo
The Fixer,
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kumbe upelelezi umeshakamilika? Maana kumtaja mmoja wa watuhumiwa kwa jina kama ni Victor Amrose na kuwaficha wengine kwa madai kuwa kunaweza kuharibu upelelezi kunazua maswali.
Bhati mbaya ndugu yangu Highlander huongei na "mtu" ingawa anaweza akawa ni "binadamu"!
Mkuu Ambrose ndiye aliyerusha bomu Kanisani.
Wewe unataka wasimtaje wakufurahishe wewe au ulikuwa unatamani usikie Muislam ndiyo karusha bomu.
Tafakari...
Kwahiyo kumtaja Mtuhumiwa kuwa ni Victor Ambrose ni Usenge ! Sawa bhanaaaa... Mie nakubali matusi yako maana yanatoka kwenye kinywa cha mtu aliyekula sakramenti ya Ubishi !
Ulitaka kusikia kuwa mtuhumiwa ni Ally Mohammed ili UFURAHIII.....!
Watanzania kuna watu wanatuchonganisha maana wadau wengi hawakutaka kusubiri ukweli na walichotaka wao ni Sheikh Ilunga tu akamatwe kana kwamba Sheikh Ilunga ana ugomvi nao !!
Baada ya kusikia ni Victor wameshakaa kimyaaa !
Kwanini alivaa kanzu ? Ili iweje ?
Acha u*enge wewe, kwani
kuitwa Victor ndiyo nini? Una hakika ndo jina lake halisi? Unajua watu
huwa wanakodiwa wakafanye uhalifu? Unajua aliyemtuma? Unajua njaa
inaweza ikakufanya ukaua hata baba yako mzazi? Umeshamhoji akakwambia
alitoa wapi hilo bomu? Ameshakwambia aliyemtuma? Ameshakwambia
aliahidiwa nini? Umeshajiuliza katika hao tisa waliokamatwa kwa nini
wametaja jina moja tu; kwani hao wengine hawana majina? Acheni kutuletea
hoja za kututia hasira hapa! Nyambafu!
Kwani Ally Mohammed hawezi kuwa Mkristo?
Serikali bana! Imekamata watuhumiwa tisa, lakini jina lililotajwa ni moja! Ha ha haa, mwenye akili jiulize!
Watanzania kuna watu wanatuchonganisha maana wadau wengi hawakutaka kusubiri ukweli na walichotaka wao ni Sheikh Ilunga tu akamatwe kana kwamba Sheikh Ilunga ana ugomvi nao !!
Baada ya kusikia ni Victor wameshakaa kimyaaa !
Kwanini alivaa kanzu ? Ili iweje ?
Kutajwa kwa Ambrose kumewahuzunisha sanaaaa wachonganishi wa UDINI - Tanzania hii !
Sitaki kuamini hata hao Wasaudia kama kuna mtu hapa atathubutu kuhoji hao watu ni dini gani !
Narudia tena kuwauliza ninyi ma Great thinker mngesikia kuwa Mtuhumiwa ni Ally Mohammed mmengohoji na Dini yake kweli ? Au ndio mngechora mstari ?
Tunakoelekea ni kubaya sanaaaa....
Ilunga ameliharibu taifaHuu wote ni Uchochezi wa viongozi wa CCM sasa kwa nini atajwe mtu mmoja mwenye jina la Ki-kristo wakati kuna wale wasaudia hawajatajwa kabisa huo ni Uchochezi wa CCM na Serikali yake ili kuficha madhambi yao kwa Watanzania sera zao za UDINI ndiyo chanzo wa si kingine chochote.
Kumtaja mtu mmoja tu wakati kuna wengine hilo ni CHANGA LA MACHO serikali inataka kuficha jambo.
Tunasubiri, Kama tulivyouwawaaa mwembechai na Zanzibar ! Tunasubiri na tumejipanga vizuri kwa uonevu wowoote this time and next time vilee vileee