Vicky Mtetema & Flora Nducha wa BBC Waula!

Unajua nini eeh?

Mpaka dakika kwanza hujaleta source, I mean authentic source ya thread yako. Yaani hii ni comical thread sop far na nashangaa mods kwa nini bado hawajaiwahisha kule kwenye jokes na utani. Kwa kuzingatia hili basi nadhani si busara kwangu kuendelea kuweka input ktk thread muflisi kama hii.. Endelea kubadilishana mawazo na hawa akina Pape maana inawezekana mpo level moja ya ufahamu.

Wasalaam
Mkubwa.......... naona umetukana watu KINYERERE ................. naipenda JF...............
 
Congrats Vick and Flora. Ila Flora is a determined woman. Ni mchapakazi, anaipenda kazi yake, ni mlimbwende, hana makuu. Yaani akiwa studio anakonga nyoyo za wasilikizaji.
 
Hongera SAAAAAAAAAAAAANA Flora,

Wasikilizaji wa BBC tuta-kumiss jaaamani! kha, mwe, mayo, chonka, duh,

Mola akuongeze na ufike mbali zaidi...
 
Bila shaka hata tukisema ma founder wa hii forum wamefanya kitu kizuri utakataa,coz wewe unaonekana ni mchawi uliye komaa,yani una jealous kiasi kwamba shetani anaichukia,acha tabia za kichawi wewe!!

Ati na wewe ni Great Thinker ?? shame! No wonder watu kama nyinyi JK anawaita wafuata upepo..yaani mpo tu akili ya kuku..Hata hujui una-respond nini, poor thing.

Yaani mtu akipata post fulani ndo kuula?! Kazi ni utumishi na ni sehemu ya m aisha ya binadamu, ila kwa sababu ya wapumbavu kama wewe, mtu akipata kazi anataka ku-capitalize kwa kuvuna na kujineemesha hata kama ni kwa kukwiba na kufanya forgery..maana hivyo ndivyo mlivyozoezwa kwamba ukipata fursa ya kazi fulani ni wakti wa kuketi kivulini na kula vinono.

Nway, I am saving my fingers to explain things to 'great sinker' like you.
 
This is great news to all out there as it shows no matter who you are or where you are from, if you really put your heart into doing something then it will definetely pay off at the end. All is needed is patience!
 
ati na wewe ni great thinker ?? Shame! No wonder watu kama nyinyi jk anawaita wafuata upepo..yaani mpo tu akili ya kuku..hata hujui una-respond nini, poor thing.

Yaani mtu akipata post fulani ndo kuula?! Kazi ni utumishi na ni sehemu ya m aisha ya binadamu, ila kwa sababu ya wapumbavu kama wewe, mtu akipata kazi anataka ku-capitalize kwa kuvuna na kujineemesha hata kama ni kwa kukwiba na kufanya forgery..maana hivyo ndivyo mlivyozoezwa kwamba ukipata fursa ya kazi fulani ni wakti wa kuketi kivulini na kula vinono.

Nway, i am saving my fingers to explain things to 'great sinker' like you.
hard to believe this is coming from you...........griti thinka
 
nawatakia kila kheri wakina mama na mungu hawajalie wafanikiwe zaidi.bbc wasione kama pigo kwao kwani wanatakiwa wajivunie wafanyakazi wao kupiga hatua kubwa kama hio na mungu na wao atawajalia watapata wafanyakazi wengine na waafanye makubwa zaidi ya hapo.
 
Kuna tetesi kwamba Vicky Mtetema kapata U-country Director wa shirika moja linaloshughulika na haki za Ma-ailbino - Under the Same Sun, lenye makao makuu nchini Canada!

Tetesi zaidi ni kwamba Flora Nducha kapata head office UN- New York kama UN Head of Information and Communication/Swahili.

Kama tetesi hizi ni kweli, bila shaka ni pigo kwa BBC kwani Vicky ndo alikuwa boss wa BBC Tanzania.

Hat hivyo hongereni akina mama mnaipaisha TZ yetu japo ufisadi ushatupaisha zaidi.

Hao uliowataja wana asili ya makabila gani ?tunaomba utupatie makabila yao.
 
Hao uliowataja wana asili ya makabila gani ?tunaomba utupatie makabila yao.
Mkuu ukeshajua kabila lao ndiyo utawapongeza na kuwatrakia kila la heri? Naomba unieleweshe kabila lao linahusiana vipi na nafasi mpya za kazi walizozipata.
 
Mkuu ukeshajua kabila lao ndiyo utawapongeza na kuwatrakia kila la heri? Naomba unieleweshe kabila lao linahusiana vipi na nafasi mpya za kazi walizozipata.

kana unayaelewa makabila yao nambie haya mambo ya Hallelujah baadae .kwani niaibu kuwa na kabila ?
 
Flora Nducha kweli kabisa, maana aliaga wasikilizaji wake wa BBC wiki iliyopita, huyu Vicky Ntetema sina uhakika naye. Flora alisoma BA (Political Science) milimani alikuwa nasoma na jamaa mmoja nafikiri alikuwa boyfriend wake anaitwa Deo Mshigeni na walihitimu mwaka kati ya 1997 au 1998, maana kipindi hicho ndiyo siye akina yekhe tunaanza chuo.

Too much information
 
Hivi ni lini watanzania tutaonekana tunaweza kazi za competition za dunia hii katika international forum. Nina maana kwamba ni kazi zile ambazo mnagombea na wanadunia wenzenu halafu akaibuka mtanzania akawa-beat wote.

Mimi naamini hizo ndizo zitakazotuongezea sifa kwamba Tanzania kuna intelligent people na kuongeza sifa kama Taifa.

Mfano kile alichothubutu Salim Ahmed Salim kugombea ukatibu mkuu UN ile mwaka 1980. Baada ya hapo tungesiki mtanzania mwingine anashindana kutoa consultation katika masuala ya kisayansi, na mwingine jambo lolote.

Zaidi ya hapo unaweza kufarijika kidogo kwa post kama ya Dr. Asha Rozi Migiro na Proffessor Anna Tibaijuka. Ni kazi ambazo unaweza kukaa kwenye ndege unaelekea Japan unamsimulia aliye pembeni mwako kwa kutamba kwamba "ona watanzania tulivyo wataalamu"

Lakini ukiziangalia hizi kazi nyingine unagundua si kwamba watanzania tulionyesha u-genious fulani. Utaona kwamba ni kazi ambazo inahitajika mtu aongee kiswahili. Jambo unaloweza kufananisha na ubalozi wa Brazil ulipofunguliwa hapa nchini. Kabla ya hapo kama kuna m-mozambique aliishi hapa nchini kwa kubangaiaza basi siku ikitangazwa kwamba ubalozi wa Brazil unahitaji mtu anayejua kireno basi m-mozambique huyo moja kwa moja aweza kupata kazi ubalozini.

Kama kule Mozambique (Msumbiji) kuna JF kama hii watamshangilia kwamba jamaa yetu kaula huko Tanzania.

Niliwahi kuambiwa jamaa yetu anafanya kazi taasisi ya kitaalamu hapa nchini. Siku moja akaenda Korea na kutoa presentation nzuri. Mimi nikaitafuta ile presentation kwenye google na nikaipata, kwani namjua yule jamaa tangu chuoni anapenda kujulikana ni kipanga.

Nilipoisoma ile presentation yake nilisema Mungu wangu! Nilishtuka kuona kilichoandikwa. Nilitarajia kwamba jamaa kule ata-present material makali ili wakorea wajue Tanzania kuna vipanga. Lakini nilichokikuta niliona report imejaa jinsi nchi yetu ilivyo masikini na inavyohitaji kusaidiwa.

Sikatai concept ya kusaidiwa. Lakini hakuna sehemu ya report ile iliyoonyesha kwamba watanzania tukiingia kwenye internationa forum tunaweza ku-compete na wenzetu kwenye internation issues iwe ajira, consultation au kitu kama hicho.

Niliwahi kukaa jiji la Yorkshire nchini Uingereza na siku moja nikatembelea daraja refu liitwalo Humber Bridge lililo karibu na jiji hilo. Hakika kwangu lilikuwa daraja refu kuliona kwa macho yangu. Na wenyeji wakasema wakati linajengwa lilikuwa refu duniani kote.

Lakini nikaambiwa kwamba project ya daraja hii ilifanywa na mtu asiye raia wa Uingereza ni mholanzi. Lakini miaka ya badaye nikagundua hakuwa na uhakika maana serach yangu kwenye net inaonysha aliyelijenga ni muingereza.

Lakini kabla ya kugundua hili nilibaki kujiuliza kwamba hivi ni lini na sisi watanzana tutagombaniwa kwenye proffession project kama hizi kama waholanzi wanavyothubtu kuwajengea waingereza daraja kama lile.

Hapo ndipo ilipolala concept yangu. Na siku zote nikisikia mtanzania kaitwa kufanya kazi majuu kwanza naangalia ni post yenye sura ya global competition au ni aina fulani ya automatic-favor.

Automatic-favorkwa maana ya kwamba kama ni kazi ambayo inahitaji ujuzi kiswahili, je, hapo kuna competition gani wakati sisi watanzania ndiyo wataalamu wa kiswahili duniani.

Kama ni kazi inahusu haki za ma-albino duniani, Unategemea succesfull candidate atoke wapi wakati Tanzania kila leo unasikia maalbino wanauawa au wanakatwa mikono.

Hizo ndizo kazi tunazozipata huko majuu na sisi tunashangilia kwamba wameonyesha mfano.

Mimi naamini hata kwa utani ikianzishwa kampuni ya kimataifa ifanye kazi duniani ya kutengeneza vikao vya harusi na kitchen party basi nadhani watanzania tunajijua tulivyo wataalamu eneo hilo. Kampuni hiyo itajaa watanzania kibao. Wenye kutumia neno "wenzetu wameula" watalitumia na wengne watsema "tumepaisha chati" ya nchi yetu.

Hebu tukae tutulie. Sisi ni vipanga (brilliant) kama wengine duniani. Ifike mahala ikitangazwa proffessional tender kama consultation nchini Netherland basi uwakute watanzania tunagombea huko. Hata kama hatuna hela za project basi walau wajue kwamba kuna watanzania vipanga. Si unakumbuka tumesoma nao hao wazungu na darasani tulikuwa tunawa-beat. Leo iweje watushinde mtaani, akili mpya waliipata wapi.

Tusiishie kukimbilia kazi kwa sababu kuna kampuni inafanya research kuhusu umasikini ulivyo Tanzania tukabweteka kwamba tunakumbukwa katika international forum.
 
Unajua nini eeh?

Mpaka dakika kwanza hujaleta source, I mean authentic source ya thread yako. Yaani hii ni comical thread sop far na nashangaa mods kwa nini bado hawajaiwahisha kule kwenye jokes na utani. Kwa kuzingatia hili basi nadhani si busara kwangu kuendelea kuweka input ktk thread muflisi kama hii.. Endelea kubadilishana mawazo na hawa akina Pape maana inawezekana mpo level moja ya ufahamu.

Wasalaam

Are you really a GRITI THINKA kama unavyopenda wanaJF waku-categorize that way???

Source ya nini kwanza nimekwambia ni TETESI???? Ok basi source ni kaunta, Mwajuma bar, Yombo Vituka! Si unataka source ya TETESI?????? na ya Breaking news je ? Wewe ulikuwa darasa la VIIB au VIIC, au umebobea zaidi kwenye kuruani?

Mimi na wewe nani mwenye mawazo mufilisi? You are just talking the talk!
 
Are you really a GRITI THINKA kama unavyopenda wanaJF waku-categorize that way???

Source ya nini kwanza nimekwambia ni TETESI???? Ok basi source ni kaunta, Mwajuma bar, Yombo Vituka! Si unataka source ya TETESI?????? na ya Breaking news je ? Wewe ulikuwa darasa la VIIB au VIIC, au umebobea zaidi kwenye kuruani?

Mimi na wewe nani mwenye mawazo mufilisi? You are just talking the talk!
Some people do not know what it means by TETESI...........
 
duh wanasepa lakabu wanayoyoma!!!!!! dah wako juu,kiukweli wako matiti ile mbayaaaa huwezi kudhani kama walianzia mikocheni kwenye vumbi na joto kali mpaka kwenye baridi kali
 
Ati na wewe ni Great Thinker ?? shame! No wonder watu kama nyinyi JK anawaita wafuata upepo..yaani mpo tu akili ya kuku..Hata hujui una-respond nini, poor thing.

Yaani mtu akipata post fulani ndo kuula?! Kazi ni utumishi na ni sehemu ya m aisha ya binadamu, ila kwa sababu ya wapumbavu kama wewe, mtu akipata kazi anataka ku-capitalize kwa kuvuna na kujineemesha hata kama ni kwa kukwiba na kufanya forgery..maana hivyo ndivyo mlivyozoezwa kwamba ukipata fursa ya kazi fulani ni wakti wa kuketi kivulini na kula vinono.

Nway, I am saving my fingers to explain things to 'great sinker' like you.

Inabidi uelewe kwamba lugha inakuwa Mr. Griti thinka! Tatizo mmejikita kubeba mabox hadi mnasahau kurudi nyumbani. Kuula haina uhusiano na kula rushwa, kufanya forgery ama kulia kivulini kama ulivyojaribu kuelezea in a "greater thinking" way!

Kuula maana yake kupanda hatua, kwende one step ahead! Hata kama kazi ni wajibu! Naona uliwashangaa sana waliokuwa wanampongeza Dr. Asha Rose Migiro kuwa Deputy Secretary General!
 
Back
Top Bottom