Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

Lisu, Mbowe, Lema, Sugu, Msigwa, na wengine wengi.

Taja hata mkoja huko lumumba ukianzia na maushungi uone jinsi tutakavyoshusha data za unafiki wake
Hawa walisema Lowassa fisadi mpaka wakamuweka kwenye list yao ya list of shames ya mafisadi nawakasema wanaushaidi ambao wakiweka hadharani nchi itasimama lakini Cha ajabu hao hao wakamteua Lowassa awe mgombea wao wa uraisi na pia wakafuta list of shames
 
unajua mwaka 2014 alishindwa kufunga ndoa na bwana wake kwa nini,na michango na maandalizi yalikua yamekwisha fanyika?? Dakika za mwisho msela akalala mbele??
Dah!...lile tukio lilikuwa la kufedhehesha sana..... anyway ndio maisha hayo.
 
Mtu timamu Utampigaje mwenzio risasi mia tano jamani? atakunyaje huyo? Mkewe atampaje vitu? wkt naniiliu ni matobo matupu! kwani hayo yooote vicky hakuyaona?? yaani amtetee tu sababu alimuimbia? kwani shetani awali si aliimba na Malaika?
Hizi comment zingine bhana....
 

Na sisi tuliovurugwa baada ya JPM kuondoka nani atutibu….

Mimi nafikiria jeshi ingechukua nchi kwa muda ili wote tupone…maana mpaka sasa kiza nikinene mno…
 

Kabisa
 
Atulie Huyo Ccm Reserve

Anajipendekeza kwa kocha, tutasikia mengi safari hii maadamu tu wamegundua yuko anayefarijika kwa kusikia hayo mengi. JPM amekufa mwili tu lakini anaishi ndani ya nyoyo za Watanzania walio wengi. Tabia hii ya baadhi ya wanasiasa kujaribu kupimana ubavu na aliyelala kaburini inapatikana Tanzania tu.
 
Nina chuki? Yaan tukifunguka kisa ni mwananke mwenzetu ndo chuki? Ulisikia nina dhiki ama? Mjinga kweli. Tunapenda haki. No matter where. Ama nani. Hatupendi dhuluma

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
ivi kumbe chuki ni dhiki? au unayo unayo kweli? mjinga? hata nikiwa ivooo! Vicky ni Bomba tu pasuka upasuke mie na vicky tuuuuuuuuu! watu weweeeeee!! simwachiiiii!
 
We nawe mmama nini

Kaungane na kahaba mwenzako

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mama si alikuzaa jamani au! yaani unamdharau aliye kuzaa?
kahaba siyo ugonjwa Mkuu hata Bibi yake Yesu alikuwa kahaba! Mtu anaetoa burudani Dodoma kwa mbunge wa jimboni kwako ni kahaba pekee! kwanza wana maisha bomba kuliko weye! hata ufanyeje huwezi fikia ile level ya kahaba! na hawafagi njaa wale! afu warembooooooo! km huyu..............

mtu pekee wa kwanza kumuona Yesu ktk ufufuo alikuwa kahaba!! lkn bado utakili kuwa yeye ni Bwana! utake usitake ! au shule imekuona mkuu sema tu tukusaidie!
 
Mkuu mwaka wowote utakao uwania uraisi, naomba uni-TAG coz una KURA yangu ya wazi.

#NAMAANISHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…