Vicky Kamata amewashika Pabaya, tunaomba mumpatie majibu sasa

Pfizer

JF-Expert Member
Mar 25, 2021
304
518
Kuna watu wanajikakamua kuongea kutokana na mihemko au kutokana Makasiriko tu.

Vicky Kamata anatetea haki yake. Watanzania Tujifunze kubishana kwa hoja.

Haja, wale wote wanaohisi wapo sahihi na Vicky hayupo sahihi, yunaomba majibu Yenu.

Screenshot_20230921-114124.png
 
Back
Top Bottom