Vichaa wanaheshimu mambo matatu! Pesa magari na mapenzi

Vichaa wanaheshimu mambo matatu! Pesa magari na mapenzi

Kuna kichaa mmoja huko Kondoa ukiweka wimbo wa zamani wa Solemba anatulia na kuanza kulia mpaka uishe ndio ananyamaza.Sijui watoto wa kirangi walimfanya nini maskini?
 
giphy.gif
 
Mimi mwanamke mweupe na mwenye msambwanda na awe mlefu hao watu walinipaga shida katika ujana wangu.Pamoja na huu utu uzima nilio nao lakini bado wananisumbuaga .Hicho ndo kichaa changu.
 
Back
Top Bottom