Vichaa wanaheshimu mambo matatu! Pesa magari na mapenzi

Vichaa wanaheshimu mambo matatu! Pesa magari na mapenzi

Naomba Mungu hii kitu ya misambwanda niache lakini nimeshindwa kabisa, nimekuwa mtu mzima lakini nateseka na misambwanda
Mi jioni hii kidogo nisamehe chakula ni mfate mdada alikuja kuagiza take away kajaaliwa sana mitaa Upanga hapa alivyoanza kuondoka moyo uliniuma utafkiri nimepigwa na kitu chenye ncha kali
 
Kuna wagonjwa vichaa wa pesa .. Akiwa hana ni mtulivu, mtakatifu yeye.. Mtu wa Mungu na hekima zote.. Akiikamata laki au mshahara utafikiri kuna pepo limempanda.. Akili zitamrudi pesa ikiisha...!
Namjua mmoja wa hivi iseee sio bure ni mapepo ya UMASIKINI...
 
Mi jioni hii kidogo nisamehe chakula ni mfate mdada alikuja kuagiza take away kajaaliwa sana mitaa Upanga hapa alivyoanza kuondoka moyo uliniuma utafkiri nimepigwa na kitu chenye ncha kali
Kumbe tupo wengi
 
Mi jioni hii kidogo nisamehe chakula ni mfate mdada alikuja kuagiza take away kajaaliwa sana mitaa Upanga hapa alivyoanza kuondoka moyo uliniuma utafkiri nimepigwa na kitu chenye ncha kali
Wakati mwingine naponea chupuchupu kupata ajali sababu ya misambwanda napenda Sana
Mimi sura siangalii ugonjwa wangu ni misambwanda tu
 
Mi jioni hii kidogo nisamehe chakula ni mfate mdada alikuja kuagiza take away kajaaliwa sana mitaa Upanga hapa alivyoanza kuondoka moyo uliniuma utafkiri nimepigwa na kitu chenye ncha kali
Hahahaha
 
Kila mwanadam hua ni kichaa , sema level tu ndio hua zimetofautiana , ukichaa wa MTU hujulikana pale anapokua amepandwa na hasira na mambo anayoyafanya akiwa na hasira
Sahihi kabisa
 
Wanasayansi nao kupitia tafiti zao naona ni ukichaa mtupu
JamiiForums1276641004.jpg
 
Back
Top Bottom